wosia wa baba wa taifa dhidi ya ukabila na udini katika kipindi cha uchaguzi mkuu
![](http://img.youtube.com/vi/iWx3Rjj7Jyk/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/tTHyefrQy0g/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AR-hRWEL2bQ/VfQN02J9daI/AAAAAAAH4No/U4Nv6s1YiaE/s72-c/New%2BPicture.png)
BASATA YAONYA LUGHA CHAFU, MAADILI HUSUSAN KATIKA KIPINDI HIKI CHA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-AR-hRWEL2bQ/VfQN02J9daI/AAAAAAAH4No/U4Nv6s1YiaE/s320/New%2BPicture.png)
Lugha hiyo chafu ambayo inajidhihirisha kwa matusi ya wazi, maneno ya uchochezi, kashfa, kejeli, dharau na udhalilishaji wa kada mbalimbali za kijamii wakiwemo viongozi wa kitaifa inaonesha wazi kulenga katika kuigawa jamii na kufifisha...
9 years ago
Vijimambo02 Sep
UJUMBE WANGU KWA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA KATIKA KUELEKEA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI MKUU OCTOBER 25
![](https://fbcdn-photos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-0/p206x206/11051210_912080395509439_5714058352690894029_n.jpg?oh=e66a17a0012cd76d268bf8b7c226d3ea&oe=56ABE6ED&__gda__=1451464971_71e7e2b7f6402c1f843658bd47b2daf1)
Kalamu yangu mdomo wangu leo nataka nizungumze na wanahabari wenzangu waandishi na wataangazaji pia nataka mjue kwambaa karama hii au kipaji hiki tumepewa sio kwamba sisi tulistahili sana kuliko wengine hapana ni kwamba tuliaminiwa kwamba tunaweza kutumia midomo yetu na kalamu zetu katika kusema na kuandika ukweli ili tuweze kuelimisha,kutoa habari na hata kuburudisha ikiwezeekana naomba niwashauri tutumie karama zetu vizuri tuache ushabiki ambao hautakuwa na manufaa yeyote kwa...
11 years ago
Michuzi19 Feb
wosia wa baba wa taifa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OyDgsXHkaUKiXPvbxOvYxXty9S2qlXvHfS9fpmEyzScwE8PWKt7q5LlF*lOMHTFcCUppoACk3y6RpFToRqWMAdTV8EAPWFEf/president_julius_nyerere.jpg?width=650)
WOSIA WA BABA WA TAIFA VIONGOZI TUNAOWATAKA-5
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Udini, ukabila ni ukaburu
KATI ya nukuu ama wosia muhimu wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kwa Watanzania ni kukataa
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mtanzania30 Apr
Dk. Shein akemea udini, ukabila
NA AMON MTEGA, RUVUMA
RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk. Ali Mohamed Shein, amewataka Watanzania wasigawanyike kwa masuala ya kidini na ukabila kwa kuwa wanaweza kuvuruga amani ya nchi.
Dk. Shein alitoa wito huo jana mjini Songea alipokuwa akizindua mbio za mwenge wa uhuru katika Uwanja wa Majimaji mkoani Ruvuma.
“Kuna baadhi ya makundi yamekuwa yakifanya jitihada za kuwagawa Watanzania kwa kuingiza masuala ya udini na
wengine wanaanza kueneza ukabila.
“Mambo hayo tusiyaruhusu...
9 years ago
Habarileo08 Sep
Bulembo aonya udini na ukabila
MWENYEKITI wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Abdallah Bulembo, ameonya juu ya siasa za udini na ukabila kwenye kampeni na kuitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuchukua hatua dhidi ya mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.
11 years ago
Habarileo20 Jan
Mbatia ahofia udini, ukabila NCCR-Mageuzi
MWENYEKITI wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia ameonya juu ya `virusi’ vya udini, ukabila na ukanda vilivyoanza kukinyemelea chama hicho na kutaka wanachama kuepuka dhambi hiyo. Aidha, ameonya kuwa chama hicho ni sehemu ndogo tu ya nchi, hivyo ni hatari kuanza kukumbatia mambo hayo.