Rais Kenyatta, mwenyekiti mpya wa ALMA, aainisha vipaumbele vyake katika vita dhidi ya Malaria
![](https://1.bp.blogspot.com/-tAVAG12uBLY/XmebNtJOpuI/AAAAAAALib8/_qpWnmk-C2o_K3mszbU9QQ5StjTLIB8CgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
Rais wa Kenya, Mheshimiwa Uhuru Kenyatta, ambaye hivi karibuni ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa Umoja wa Marais wa Afrika wanaopambana na Malaria (African Leaders Malaria Alliance (ALMA), ametangaza vipaumbele vyake vinne vitakavyokuwa msingi wa juhudi za kutokomeza malaria kote Afrika ifikapo mwaka 2030.
Vipaumbele hivyo vinavyotajwa kuleta mapinduzi makubwa, vinalenga kutafuta suluhu dhidi ya changamoto za mapambano ya kutokomeza malaria. Changamoto hizi zinajumuisha; ushiriki hafifu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Et_rxpQ9WXo/VUCTccoFRxI/AAAAAAAHT9Q/rhDgM9blaNo/s72-c/NET%2BPIX%2B1%2B-%2BARUSHA.jpg)
BENKI YA EXIM YAJIDHATITI KUIUNGA MKONO SERIKALI KATIKA VITA DHIDI YA MALARIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Et_rxpQ9WXo/VUCTccoFRxI/AAAAAAAHT9Q/rhDgM9blaNo/s1600/NET%2BPIX%2B1%2B-%2BARUSHA.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TdpFTQha9Sc/VUCThiA9OtI/AAAAAAAHT9Y/UQeifz3WzKI/s1600/NET%2BPIX%2B2%2B-%2BMTWARA.jpg)
10 years ago
MichuziNEPAD YAPIGA HATUA KATIKA VIPAUMBELE VYAKE - DKT. MAYAKI
Na Ally Kondo, Addis AbabaKamati ya Uongozi ya NEPAD imekutana leo Jumatatu jijini Addis Ababa, Ethiopia kutathmini utekelezaji wa programu mbalimbali wa chombo hicho. Akitoa taarifa ya utekelezaji wa shuguli za NEPAD kwa mwaka 2014, Mtendaji Mkuu wa NEPAD, Dkt. Ibrahim Mayaki alieleza kuwa Chombo hicho kimepiga hatua kubwa katika maeneo ya kipaumbele...
10 years ago
VijimamboNEPAD YAPIGA HATUA KATIKA VIPAUMBELE VYAKE, DKT. MAYAKI
Na Ally Kondo, Addis AbabaKamati ya Uongozi ya NEPAD imekutana leo Jumatatu jijini Addis Ababa, Ethiopia kutathmini utekelezaji wa programu mbalimbali wa chombo hicho. Akitoa taarifa ya utekelezaji wa shuguli za NEPAD kwa mwaka 2014, Mtendaji Mkuu wa NEPAD, Dkt. Ibrahim Mayaki alieleza kuwa Chombo hicho kimepiga hatua kubwa katika maeneo ya...
9 years ago
Mtanzania15 Oct
Manji ataja vipaumbele vyake
NA HERIETH FAUSTINE, DAR ES SALAAM
MGOMBEA udiwani wa Kata ya Mbagala Kuu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Manji, amesema akishinda atahakikisha anaanza na elimu, afya, kuboresha huduma ya maji na kutoa ahadi kwa vijana.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam juzi, wakati wa uzinduzi wa kampeni zake katika Viwanja vya Zakhem.
“Suala la elimu limekuwa tatizo katika kata hiyo, hivyo nitatoa shilingi milioni 200 kila mwaka kwa ajili ya kusaidia kujenga miundombinu ya elimu,” alisema...
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Mosha ataja vipaumbele vyake Moshi Mjini
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Kesi dhidi ya rais Kenyatta ni Oktoba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OQbVc*b-KB8oz*EFEr0S6s*DGZQz06NIU45jHY*Txq-0ERjGXvEGviQV5nmoYPe31m0FHGWi8-4t1leFVdSOv6pcmAB2mJO5/uhuru.jpg)
KESI DHIDI YA RAIS KENYATTA YAAHIRISHWA
10 years ago
GPLJANUARY MAKAMBA ATANGAZA NIA YA URAIS, ATOA VIPAUMBELE VYAKE 5
9 years ago
MichuziAFRIKA KUZINGATIA VIPAUMBELE VYAKE WAKATI WA UTEKELEZAJI WA MALENGO MAPYA YA MAENDELEO