Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Iran yataka vita dhidi ya Houthi kusitishwa.

Rais wa Iran Hassan Rouhani, ametoa wito wa kusitishwa kwa mashambulio dhidi ya wapiganaji wa Kihouthi nchini Yemen, akiyataja kama makosa makubwa.

Iran pia imepinga madai ya Saudi Arabia kuwa utawala wa Tehran unawapa wapiganaji hao wa Kihouthi ambao ni wa shia mafunzo ya Kijeshi.

Balozi wa Saudi Arabi mjini Tehran, alishutishwa kufika mbele ya wizara ya mambo ya nje ya Iran, kupokea rasmi malalamishi ya Iran.

Nchini Yemen, Ndege za kivita za muungano unaongozwa na Saudi Arabia, zimefanya...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Iran yataka vita dhidi ya Houthi kukoma

Rais wa Iran Hassan Rouhani, ametoa wito wa kusitishwa kwa mashambulio dhidi ya wapiganaji wa Kihouthi nchini Yemen,

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran yajitegemea katika vita dhidi ya IS

Maafisa wa kijeshi wa Marekani na Iran wamesema hawana ushirikiano katika vita dhidi ya wapiganaji wa IS

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yataka ghasia kusitishwa Libya

Marekani na mataiafa manne ya bara Ulaya yamelaani ghasia zinazoendelea nchini Libya na kutaka mapigano hayo kusitishwa mara moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi dhidi ya Houthi yasitishwa

Majeshi ya muungano yakiongozwa na jeshi la Saudi Arabia yamesitisha mashambulizi yake ya angani nchini Yemen, baada ya kuanza muafaka wa amani wa kusitisha mapigano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia waandamana dhidi ya Houthi Yemen

Maelfu ya watu wameingia katika mitaa ya mji wa Yemen Sanaa katika maandamano ya kupinga waasi wa kishia wa Houthi

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni vigumu kusitishwa vita Sudan K.

Msemaji wa Jeshi amesema kuna matumaini madogo ya kusitishwa kwa mapigano nchini Sudan Kusini kwa sasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kusitishwa vita kwaleta nafuu Ukraine

Mpango wa kusitisha mapigano kati ya waasi na majeshi ya serikali ya Ukraine kumeleta nafuu mashariki mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nuklia Iran:China yataka mwafaka

China imetaka kuwepo kwa maelewano kwenye mazungumzo ya nuklia na Iran

 

9 years ago

BBCSwahili

Iran yataka waislamu kunusuru hadhi ya Uislamu

Rais wa Iran ametoa wito kwa ulimwengu wa Kiislamu kusimama na kukabiliana na vurugu ambayo anasema ''inaipaka tope'' dini ya Uislamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani