Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yataka ghasia kusitishwa Libya

Marekani na mataiafa manne ya bara Ulaya yamelaani ghasia zinazoendelea nchini Libya na kutaka mapigano hayo kusitishwa mara moja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Iran yataka vita dhidi ya Houthi kusitishwa.

Rais wa Iran Hassan Rouhani, ametoa wito wa kusitishwa kwa mashambulio dhidi ya wapiganaji wa Kihouthi nchini Yemen, akiyataja kama makosa makubwa.

Iran pia imepinga madai ya Saudi Arabia kuwa utawala wa Tehran unawapa wapiganaji hao wa Kihouthi ambao ni wa shia mafunzo ya Kijeshi.

Balozi wa Saudi Arabi mjini Tehran, alishutishwa kufika mbele ya wizara ya mambo ya nje ya Iran, kupokea rasmi malalamishi ya Iran.

Nchini Yemen, Ndege za kivita za muungano unaongozwa na Saudi Arabia, zimefanya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghasia zasababisha mauaji ya watu Libya

Zaid ya watu kumi wameuawa katika msururu wa ghasia viungani mwa mji mkuu wa Libya Tripoli.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mataifa ya kiarabu yataka suluhu Libya

Kundi la mataifa ya nchi za magharibi limetaka kuwepo kwa hatua za dharaua kutafuta suluhu ya kisiasa nchini Libya

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanaume aliyesababisha ghasia Marekani ni nani?

Mwanaume huyu ambaye ni mwanamichezo, rafiki na baba, alikuwa na maisha gani?.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Uhamiaji wa nchini Marekani kusitishwa kutokana na janga la corona, asema Trump

Marekani ina jumla ya wagonjwa wa corona 782,159 na vifo 41,816 kutokana na virusi hivyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yafunga ubalozi Libya

Marekani imeamua kufunga ubalozi wake mjini Tripoli ulio karibu na uwanja wa ndege ambako mapigano ni makali

 

11 years ago

BBCSwahili

Libya yawaachia wanajeshi wa Marekani

Makao Makuu ya Ulinzi nchini Marekani, Pentagon imesema wanajeshi wake wanne waliokuwa wakishikiliwa waameachiwa Libya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yakamata meli ya Libya

Meli kubwa ya mafuta mali ya serikali ya Libya inashikiliwa na kikosi cha maalum cha wanamaji wa Marekani baada ya kukamatwa katika bahari ya kimataifa kusini mwa Cyrus.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waasi wafukuza jeshi la Marekani Libya

Wanajeshi 20 wa Marekani waliondoka kuzuia vurugu baada ya kukabiliwa na wapiganaji wanaodhibiti eneo walilotua huko Libya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani