Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mataifa ya kiarabu yataka suluhu Libya

Kundi la mataifa ya nchi za magharibi limetaka kuwepo kwa hatua za dharaua kutafuta suluhu ya kisiasa nchini Libya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mataifa ya milki za kiarabu kukabili IS

Muungano wa milki ya nchi za kiarabu unasema kuwa unatuma ndege za kivita aina ya F-16 kwenda nchini Jordan kusaidia taifa hilo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mataifa ya kiarabu kubuni jeshi la pamoja

Rais wa Misri Abdul Fattah al-Sisi amesema kuwa viongozi wenzake wa nchi za kiarabu wamekubali kuunda jeshi la pamoja.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kwa nini mataifa ya kiarabu hayawachukui wakimbizi wa Syria

Picha za wakimbizi wa Syria waliokwama katika mipaka na vile vile katika vituo vya treni bila kutaja picha ya mvulana mdogo wa miaka mitatu Alan Kurdi aliyekuwa amesombwa na maji katika ufukwe wa bahari wa Uturuki zimezua hisia kwa juhudi zaidi kuchukuliw

 

10 years ago

BBCSwahili

NATO yataka suluhu Macedonia

Viongozi wakuu wa NATO wametoa wito wa kuzuia ghasia zinazoendelea Macedonia kufuatia ghasia zilizozuka mwishoni mwa wiki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yataka ghasia kusitishwa Libya

Marekani na mataiafa manne ya bara Ulaya yamelaani ghasia zinazoendelea nchini Libya na kutaka mapigano hayo kusitishwa mara moja.

 

9 years ago

Michuzi

TANZANIA YATAKA MASHIRIKA YA UMOJA WA MATAIFA KUTEKELEZA KWA VITENDO DHANA YA UWAZI NA UWAJIBIKAJI

Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi ( picha ya Maktaba) ametoa wito kwa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Ofisi zake kutekeleza kwa vitendo dhana ya uwazi na uwajibikani kama yanavyozishikiza Nchi Wanachama, kwa kile alichosema, utekelezaji wa dhana hiyo haupashwi kuwa jukumu la Serikali peke yake. Ametoa wito huo wakati wa majadiliano ya Ripoti ya Baraza la Haki za Binadamu iliyowasilishwa siku ya jumatatu mbele ya Baraza Kuu la Umoja wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nchi 10 za kiarabu kuisaidia Marekani

John Kerry apinga ripoti kwamba mataifa ya kiarabu hayaungi mkono juhudi zake za kubuni muungano wa kukabiliana na kundi la IS.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majina ya kiarabu yaenziwa Uingereza

Utafiti nchini Uingereza umeonyesha kuwa mwaka huu jina Muhammad ndilo limekuwa maarufu sana linalopewa watoto wavulana Uingereza

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama na uhusiano wa Falme za Kiarabu

Rais wa Marekani Barack Obama anaongoza mkutano wa viongozi wa falme za kiarab ambao unalenga kuhakikisha uhusiano baina yao na Marekani na Iran

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani