Nchi 10 za kiarabu kuisaidia Marekani
John Kerry apinga ripoti kwamba mataifa ya kiarabu hayaungi mkono juhudi zake za kubuni muungano wa kukabiliana na kundi la IS.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo16 Sep
Kwa nini nchi za Kiarabu haziwachukui wakimbizi wa Syria
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/08/27/150827173511_syria_refugees_640x360_reuters_nocredit.jpg)
Picha za wakimbizi wa Syria waliokwama katika mipaka na vile vile katika vituo vya treni bila kutaja picha ya mvulana mdogo wa miaka mitatu Alan Kurdi aliyekuwa amesombwa na maji katika ufukwe wa bahari wa Uturuki zimezua hisia kwa juhudi zaidi kuchukuliwa ili kuwasaidia wale wanaotoroka vita.
Hasira zaidi zimelenga mataifa ya uarabuni kama vile Saudi Arabia,Bahrain,Kuwait,Qatar,Oman na UAE ambao wamefunga milango yao kwa wakimbizi hao.
Kufuatia ukosoaji huo,ni muhimu...
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Marekani yaanza kuisaidia Iraq vitani
10 years ago
BBCSwahili12 Sep
Warabu kuisaidia Marekani dhidi ya ISIL
11 years ago
MichuziCLOUDS MEDIA YAPATA LESENI YA URUSHAJI WA MATANGAZO KATIKA NCHI ZA FALME ZA KIARABU.
Clouds TV kimataifa ni mwendelezo wa televisheni maarufu sana kwa vijana nchini Tanzania, hata hivyo sehemu kubwa ya maudhui yatakayokuwemo kwenye Clouds TV...
10 years ago
Dewji Blog05 Oct
Makamu wa rais Dkt. Bilal ahudhuria kongamano la biashara la kimataifa kwa nchi za Afrika jijini Dubai, falme za kiarabu
Mfanyabiashara mwenye ukwasi mkubwa Afrika, Bw. Aliko Dangote katika mazungumzo na Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal kuhusu uwekezaji wake katika kiwanda cha simenti mkoani Mtwara. Dangote alisema kazi ya ujenzi inakwenda kama ilivyopangwa na kwamba kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kabisa kwa uzalishaji simenti katika ukanda wa Afrika Mashariki. (Picha na OMR).
Picha ya pamoja baada ya mazungumzo.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/--wr-0EkKM8I/VC5swFvyc6I/AAAAAAADG5o/NW2Nx1VaMf0/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA KONGAMANO LA BIASHARA LA KIMATAIFA KWA NCHI ZA AFRIKA JIJINI DUBAI, FARME ZA KIARABU
![](http://2.bp.blogspot.com/--wr-0EkKM8I/VC5swFvyc6I/AAAAAAADG5o/NW2Nx1VaMf0/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-INlvWxbsZHo/VC5tHVuGDTI/AAAAAAADG54/4WKYfNw25FU/s1600/4.jpg)
9 years ago
Bongo505 Jan
Website maarufu ya Marekani Buzzfeed yaitaja Tanzania nchi ya 8 katika nchi 20 zinazovutia duniani
![enhanced-7309-1430834722-9](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/enhanced-7309-1430834722-9-300x194.jpg)
Website maarufu ya Marekani, Buzzfeed imeitaja Tanzania kuwa ni nchi ya nane katika orodha yake ya nchi 20 zinazovutia zaidi duniani.
Afrika Kusini imekata nafasi ya kwanza kwenye orodha hiyo.
Kuhusu Tanzania website hiyo imeandika:
Land of the Serengeti, Lake Victoria, Lake Natron and Lake Manyara, the Ngorongoro Crater, Zanzibar, the Spice Islands, Dar Es Salaam and a million more, Tanzania is almost beyond belief.
Mount Kilimanjaro rises over 3 miles above the surrounding plains, making...
10 years ago
Dewji Blog05 Aug
Nchi wahisani watoa dola za Marekani milioni 802.15 kukabili mabadiliko ya tabia nchi
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Tausi Kida akimkaribisha ofisini kwake Mwakilishi wa mtandao wa FANPRAN, Sithembile Ndema kwa ajili ya kusaini kitabu cha wageni kabla ya kuelekea kwenye ukumbi wa mikutano.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi wetu
JUMLA ya dola za Marekani milioni 802.15 zimetolewa na nchi wahisani katika kusaidia mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia nchi katika kipindi cha miaka miaka mine iliyopita.
Hayo...
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Polisi waua raia St Louis nchi Marekani