Website maarufu ya Marekani Buzzfeed yaitaja Tanzania nchi ya 8 katika nchi 20 zinazovutia duniani
Website maarufu ya Marekani, Buzzfeed imeitaja Tanzania kuwa ni nchi ya nane katika orodha yake ya nchi 20 zinazovutia zaidi duniani.
Afrika Kusini imekata nafasi ya kwanza kwenye orodha hiyo.
Kuhusu Tanzania website hiyo imeandika:
Land of the Serengeti, Lake Victoria, Lake Natron and Lake Manyara, the Ngorongoro Crater, Zanzibar, the Spice Islands, Dar Es Salaam and a million more, Tanzania is almost beyond belief.
Mount Kilimanjaro rises over 3 miles above the surrounding plains, making...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo15 Aug
10 years ago
Dewji Blog05 Aug
Nchi wahisani watoa dola za Marekani milioni 802.15 kukabili mabadiliko ya tabia nchi
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Tausi Kida akimkaribisha ofisini kwake Mwakilishi wa mtandao wa FANPRAN, Sithembile Ndema kwa ajili ya kusaini kitabu cha wageni kabla ya kuelekea kwenye ukumbi wa mikutano.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi wetu
JUMLA ya dola za Marekani milioni 802.15 zimetolewa na nchi wahisani katika kusaidia mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia nchi katika kipindi cha miaka miaka mine iliyopita.
Hayo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mNtikCdLRTQ/Xphv0QRrbdI/AAAAAAAC3Mw/NB3npuPKqDE9G-oytYF4X3m-wT9yiEhHQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
NCHI 20 ZENYE NGUVU KIUCHUMI WAKUBALIANA KUSAMEHE KWA MUDA MADENI YA NCHI MASIKINI DUNIANI ILI ZIWEZE KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-mNtikCdLRTQ/Xphv0QRrbdI/AAAAAAAC3Mw/NB3npuPKqDE9G-oytYF4X3m-wT9yiEhHQCLcBGAsYHQ/s400/1.png)
Mawaziri wa fedha na magavana wa benki kuu wa G20 wamesema wanaunga mkono kusimamisha kwa muda malipo ya madeni kwa nchi hizo ambazo zinahitaji kuvumiliwa.
Uamuzi huo umefikiwa jana katika mkutano wao uliofanyika kwa njia ya video.
Muda huo unaanza Mei Mosi hadi mwishoni mwa mwaka 2020 na deni kuu pamoja na malipo yote ya riba yatasimamishwa.
Mkurugenzi...
9 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AWAUSIA MABALOZI WANAOWAKILISHA TANZANIA NCHI MBALIMBALI DUNIANI
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Norway: Tanzania isiige mpango wa gesi kutoka nchi nyingine duniani
11 years ago
MichuziCRDB YAKABIDHI MCHANGO WAKE KWA UBALOZI WA TANZANIA NCHI MAREKANI
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa CRDB Dr. Charles Kimei (kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya CRDB Bwn. Martin Mmari kwenye kikao cha makabidhiano ya mchango wa CRDB kwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani kwa ajili ya sherehe ya miaka 50 ya Muungano itakazoadhimishwa kitaifa Washington, DC April 26, 2014 CRDB kupitia kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ilimkabidhi Mhe. Liberata Mulamula fedha taslimu za Kimarekani...
10 years ago
Vijimambo04 Mar
UDSM KUIWAKILISHA NCHI KATIKA MASHINDANO YA KIMATAIFA YA UENDESHAJI KESI BANDIA(MOOT COURT)WASHINGTON,MAREKANI
![](http://api.ning.com/files/vu2giU6L5Of9HrWWwTUtR19H4BABCWAmLsHSRfFfOx4g7AwH0fLq0RHSzgtswpFu-34OHqpJMoLaOzX6TOPIJgAivas4dDt6/unnamed36.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/vu2giU6L5OcouPw-tZX*FhzEO21tek4QizB5y8P9nd7GaOaK3LGEKFbY29NuoIvYNWYYA3EmFHeY*oUSrD09Mf1cNoVtiZuH/unnamed37.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/vu2giU6L5OcIWeyZwO8xnpAQ-mQZlB23P2P0pgqOiSGIzk8y*lRJ9-NR4-Qk6VmaZaKH5Js*D04CkI0OhTJB9NVG3fj9qng*/unnamed39.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EKdrL-k9Wnc/VPbLL6O2O1I/AAAAAAAHHhk/JQcv8YKB0Y0/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
UDSM KUIWAKILISHA NCHI KATIKA MASHINDANO YA KIMATAIFA YA UENDESHAJI KESI BANDIA(MOOT COURT)WASHINGTON,MAREKANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-EKdrL-k9Wnc/VPbLL6O2O1I/AAAAAAAHHhk/JQcv8YKB0Y0/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-50mA1z7Spe4/VPbLL7BqzZI/AAAAAAAHHhc/qHxUr1j9G1g/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bHRQP6DQ0aE/VPbLOemdz6I/AAAAAAAHHh0/a9lBakKQhjc/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vu2giU6L5Of9HrWWwTUtR19H4BABCWAmLsHSRfFfOx4g7AwH0fLq0RHSzgtswpFu-34OHqpJMoLaOzX6TOPIJgAivas4dDt6/unnamed36.jpg?width=650)
UDSM KUIWAKILISHA NCHI KATIKA MASHINDANO YA KIMATAIFA YA UENDESHAJI KESI BANDIA(MOOT COURT)WASHINGTON, MAREKANI