Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Warabu kuisaidia Marekani dhidi ya ISIL

Nchi 10 za kiarabu zimekubaliana kuisaidia Marekani kupambana na Islamic State.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

Uingereza kuisaidia Tanzania mapambano dhidi ya ujangili


NA MWANDISHI WETU
SERIKALI ya Uingereza imeahidi kushirikiana na Tanzania kuhifadhi tani 120 za pembe za ndovu zinazotunzwa nchini.
Aidha, imeahidi kusaidia harakati za Tanzania katika mapambano dhidi ya uwindaji na mapambano dhidi ya majangili.
Waziri wa Uingereza anayehusika na bara la Afrika, Mark Simmonds, alisema hatua hiyo inatokana na juhudi za nchi kukomesha uwindaji haramu.
Simmonds aliyekuwa akizungumza kwenye mkutano wa pamoja na waandishi wa habari uliohudhuriwa pia na Waziri wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nchi 10 za kiarabu kuisaidia Marekani

John Kerry apinga ripoti kwamba mataifa ya kiarabu hayaungi mkono juhudi zake za kubuni muungano wa kukabiliana na kundi la IS.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaanza kuisaidia Iraq vitani

Marekani imesema kuwa kundi la kwanza la wanajeshi wake waliotumwa kulisaidia jeshi la Iraq limeanza kazi

 

10 years ago

BBCSwahili

Udukuzi wa Marekani dhidi ya Ujerumani

Ujerumani imeashiria kuwa Marekani imewafanyia udukuzi viongozi wake zaidi ya ilivyodhaniwa hapo awali

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yasema imefanikiwa dhidi ya IS

Mkuu wa majeshi wa Marekani amesema kampeni ya miezi mitatu dhidi ya dola ya kiislamu Islamic State imekuwa na mafanikio.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya IS vyaigharimu Marekani

Marekani imetumia zaidi ya dola bilioni 2.5 katika kufadhili vita dhidi ya Islamic State, kupitia kutekeleza mashambulizi ya angani nchini Iraq na Syria tangu mwezi Agosti mwaka jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani inaamini itafanikiwa dhidi ya IS

Ikulu ya Marekani imesema ina imani mkakati wa kutoa mafunzo kwa vikosi vya Iraq utafanikiwa dhidi ya Islamic State.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi kuongezwa kupambana na ISIL

Muungano wa majeshi yanayopambana dhidi ya Islamic State yakiongozwa na Marekani, yako tayari kupeleka vikosi zaidi nchini Iraq.

 

9 years ago

Quartz

As a Muslim, I believe its my responsibility to help defeat ISIL


Times Gazette
As a Muslim, I believe its my responsibility to help defeat ISIL
Quartz
Where I come from in Dar es Salaam, Tanzania, we have a concept known as “Utani”. This Kiswahili term means teasing or critiquing with affection. Now, I am a Muslim and I love America. I have written about why right here at Quartz, in fact. But it is ...
As A Muslim, I Believe It Is My Responsibility To Help Defeat ISILTimes Gazette

all 2

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani