Warabu kuisaidia Marekani dhidi ya ISIL
Nchi 10 za kiarabu zimekubaliana kuisaidia Marekani kupambana na Islamic State.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jul
Uingereza kuisaidia Tanzania mapambano dhidi ya ujangili
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI ya Uingereza imeahidi kushirikiana na Tanzania kuhifadhi tani 120 za pembe za ndovu zinazotunzwa nchini.
Aidha, imeahidi kusaidia harakati za Tanzania katika mapambano dhidi ya uwindaji na mapambano dhidi ya majangili.
Waziri wa Uingereza anayehusika na bara la Afrika, Mark Simmonds, alisema hatua hiyo inatokana na juhudi za nchi kukomesha uwindaji haramu.
Simmonds aliyekuwa akizungumza kwenye mkutano wa pamoja na waandishi wa habari uliohudhuriwa pia na Waziri wa...
10 years ago
BBCSwahili13 Sep
Nchi 10 za kiarabu kuisaidia Marekani
John Kerry apinga ripoti kwamba mataifa ya kiarabu hayaungi mkono juhudi zake za kubuni muungano wa kukabiliana na kundi la IS.
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Marekani yaanza kuisaidia Iraq vitani
Marekani imesema kuwa kundi la kwanza la wanajeshi wake waliotumwa kulisaidia jeshi la Iraq limeanza kazi
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Udukuzi wa Marekani dhidi ya Ujerumani
Ujerumani imeashiria kuwa Marekani imewafanyia udukuzi viongozi wake zaidi ya ilivyodhaniwa hapo awali
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Marekani yasema imefanikiwa dhidi ya IS
Mkuu wa majeshi wa Marekani amesema kampeni ya miezi mitatu dhidi ya dola ya kiislamu Islamic State imekuwa na mafanikio.
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Vita dhidi ya IS vyaigharimu Marekani
Marekani imetumia zaidi ya dola bilioni 2.5 katika kufadhili vita dhidi ya Islamic State, kupitia kutekeleza mashambulizi ya angani nchini Iraq na Syria tangu mwezi Agosti mwaka jana.
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Marekani inaamini itafanikiwa dhidi ya IS
Ikulu ya Marekani imesema ina imani mkakati wa kutoa mafunzo kwa vikosi vya Iraq utafanikiwa dhidi ya Islamic State.
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Wanajeshi kuongezwa kupambana na ISIL
Muungano wa majeshi yanayopambana dhidi ya Islamic State yakiongozwa na Marekani, yako tayari kupeleka vikosi zaidi nchini Iraq.
9 years ago
Quartz09 Dec
As a Muslim, I believe its my responsibility to help defeat ISIL
Times Gazette
Quartz
Where I come from in Dar es Salaam, Tanzania, we have a concept known as “Utani”. This Kiswahili term means teasing or critiquing with affection. Now, I am a Muslim and I love America. I have written about why right here at Quartz, in fact. But it is ...
As A Muslim, I Believe It Is My Responsibility To Help Defeat ISILTimes Gazette
all 2
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania