Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi kuongezwa kupambana na ISIL

Muungano wa majeshi yanayopambana dhidi ya Islamic State yakiongozwa na Marekani, yako tayari kupeleka vikosi zaidi nchini Iraq.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WANAJESHI 54 WA NIGERIA WAHUKUMIWA VIFO KWA KUSHINDWA KUPAMBANA NA BOKO HARAM

Wanajeshi hao wakiwa mbele ya Mahakama ya Kijeshi jijini Abuja nchini Nigeria. Mahakama ya Kijeshi nchini Nigeria imewahukumu adhabu ya vifo wanajeshi wake 54 waliokataa kupambana na wapiganaji wa Kundi la Boko Haram. Wanajeshi hao walikutwa na hatia ya uasi, kushambulia na uoga. Wanajeshi hao wanashutumiwa kukataa kupigana kurudisha miji mitatu iliyokuwa ikishikiliwa na Boko Haram mwezi Agosti. Mwanasheria wa wanajeshi hao...

 

9 years ago

Quartz

As a Muslim, I believe its my responsibility to help defeat ISIL


Times Gazette
As a Muslim, I believe its my responsibility to help defeat ISIL
Quartz
Where I come from in Dar es Salaam, Tanzania, we have a concept known as “Utani”. This Kiswahili term means teasing or critiquing with affection. Now, I am a Muslim and I love America. I have written about why right here at Quartz, in fact. But it is ...
As A Muslim, I Believe It Is My Responsibility To Help Defeat ISILTimes Gazette

all 2

 

10 years ago

BBCSwahili

Warabu kuisaidia Marekani dhidi ya ISIL

Nchi 10 za kiarabu zimekubaliana kuisaidia Marekani kupambana na Islamic State.

 

10 years ago

9news.Com.Au

ISIL executioner 'Jihadi John' says sorry for family shame


9news.com.au
ISIL executioner 'Jihadi John' says sorry for family shame
9news.com.au
A University of Westminster photo of Mohammed Emwazi (left) and dressed as Jihadi John (right). (Supplied). 9NEWS. Mohammed Emwazi, the ISIL executioner dubbed “Jihadi John”, has reportedly apologised to his family for bringing them shame.
'Jihadi John' says sorry to family after identity revealedAl-Arabiya
'Jihadi John' apologizes to family for trouble he has caused themHaaretz
'Jihadi John' apologises to family,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama:tumeipiga ISIL kwa nguvu Novemba

Rais wa Marekani Barack Obama amesema majeshi yake yameipiga ISIL kwa nguvu kuliko mwezi mwingine wowote

 

10 years ago

Mwananchi

Wataalamu anga kuongezwa

Wizara ya Uchukuzi, imesema wakati wowote itakutana na Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) kujadili namna ya kuuongezea fedha mfuko wa mafunzo ya udhamini wa marubani na wahandisi ili kuongeza idadi ya wataalamu hao.

 

11 years ago

Habarileo

Bunge la Bajeti kuongezwa muda

MKUTANO wa 15 wa Bunge la Bajeti uliopangwa kumalizika Juni 27, mwaka huu, sasa utaongezewa muda kuruhusu Muswada wa Serikali na Azimio la Bunge juu ya migogoro ya wafugaji na wakulima. Kabla ya kuahirisha kikao cha juzi, Spika wa Bunge, Anne Makinda alieleza kuwa upo uwezekano huo wa Bunge kusogezwa mbele zaidi.

 

10 years ago

Habarileo

Yashauriwa mishahara watumishi wa umma kuongezwa

Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango nchini, Dk Philip MpangoKATIBU Mtendaji wa Tume ya Mipango nchini, Dk Philip Mpango ameishauri kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kuisisitiza serikali kuongeza mishahara ya watumishi wa umma na kupunguza kodi inayokatwa kwenye mishahara hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Usafiri wa treni Dar es Salaam kuongezwa

HUDUMA ya usafiri wa treni ya abiria jijini Dar es Salaam inatarajiwa kuongezwa mwaka huu watu wengi zaidi wanufaike. Aidha mchakato wa ujenzi wa barabara za juu ya nyingine katika njia panda za Tazara na Ubungo umeshaanza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani