Usafiri wa treni Dar es Salaam kuongezwa
HUDUMA ya usafiri wa treni ya abiria jijini Dar es Salaam inatarajiwa kuongezwa mwaka huu watu wengi zaidi wanufaike. Aidha mchakato wa ujenzi wa barabara za juu ya nyingine katika njia panda za Tazara na Ubungo umeshaanza.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo26 Mar
Treni ya kisasa yazinduliwa Dar es Salaam
TRENI nne za kisasa za mizigo mali ya Shirika la Reli nchini (TRL) zinazokwenda nchi nne za Ukanda wa Kati zimezinduliwa jana jioni Dar es Salaam kwenda kwenye nchi hizo, tukio lililoshuhudiwa na marais na wawakilishi wa nchi husika.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xskr19HQTjM/VUsZOF2FyPI/AAAAAAAHV1M/Kd6BPG55L48/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
usafiri wa pantoni jijini Dar es salaam leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-xskr19HQTjM/VUsZOF2FyPI/AAAAAAAHV1M/Kd6BPG55L48/s640/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HCqO0eanTWY/VUsZOR1-q0I/AAAAAAAHV1Q/l8-w4_ex220/s640/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B2s5R9GCCvM/VUsZN22FoEI/AAAAAAAHV1I/OGiYUW9Az7Y/s640/unnamed%2B(67).jpg)
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
UDART: Tunaleta heshima ya usafiri wa umma Dar es Salaam
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ameelekeza ije mvua liwake jua, mradi wa mabasi ya mwendo kasi lazi
Mwandishi Wetu
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sa1lHw5QuZ8/Xvc682JyTKI/AAAAAAABMnw/oPE3CnNRZ2IypTgZh9SaeeGaWcJvszj7ACLcBGAsYHQ/s72-c/SGR.jpg)
MUONEKANO WA STESHENI YA TRENI YA MWENDO KASI SGR DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-sa1lHw5QuZ8/Xvc682JyTKI/AAAAAAABMnw/oPE3CnNRZ2IypTgZh9SaeeGaWcJvszj7ACLcBGAsYHQ/s400/SGR.jpg)
11 years ago
Dewji Blog17 Jun
UDA yasisitiza nia yake ya kuboresha usafiri Dar Es Salaam
Na Mwandishi Wetu,
KAMPUNI ya Simon Group Limited imesisitiza dhamira yake ya kuboresha sekta ya usafiri katika Jiji la Dar es Salaam licha ya kampeni zinazoendelea kutoka kwa washindani binafsi ikiwa na lengo la kuvuruga mpango unaoendelea wa uwezekezaji katika Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ili waweze kuitawala biashara ya usafiri.
Kwa mujibu wa taarifa ya UDA, mpango unaendelea wa kuifanya Dar es Salaam liwe jiji lenye urahisi katika usafiri kwa kufanya kazi kwa karibu na...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Usafiri treni Bara wasitishwa
KAMPUNI ya Reli Tanzania (TRL), imesitisha kwa muda huduma ya usafiri wa treni kwenda mikoani. Kusitishwa kwa usafiri huo unaotegemewa na Watanzania wengi nchini, kumetokana na kujaa maji katika stesheni...
10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Usafiri wa treni kuboresha uchumi TZ?
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Serikali yatafuta mwekezaji usafiri wa treni
SERIKALI imeruhusu mtu yeyote mwenye uwezo wa kuwekeza katika usafiri wa treni ajitokeze, ili kuuboresha. Naibu Waziri wa Uchukuzi, Charles Tizeba, alieleza hayo mjini hapa jana katika kongamano la uwekezaji...