Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yatafuta mwekezaji usafiri wa treni

SERIKALI imeruhusu mtu yeyote mwenye uwezo wa kuwekeza katika usafiri wa treni ajitokeze, ili kuuboresha. Naibu Waziri wa Uchukuzi, Charles Tizeba, alieleza hayo mjini hapa jana katika kongamano la uwekezaji...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Usafiri treni Bara wasitishwa

KAMPUNI ya Reli Tanzania (TRL), imesitisha kwa muda huduma ya usafiri wa treni kwenda mikoani. Kusitishwa kwa usafiri huo unaotegemewa na Watanzania wengi nchini, kumetokana na kujaa maji katika stesheni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Usafiri wa treni kuboresha uchumi TZ?

Je uboreshwaji wa usafiri wa treni unawezaje kuboresha uchumi na maisha ya mtanzania?

 

11 years ago

Habarileo

Usafiri wa treni Dar es Salaam kuongezwa

HUDUMA ya usafiri wa treni ya abiria jijini Dar es Salaam inatarajiwa kuongezwa mwaka huu watu wengi zaidi wanufaike. Aidha mchakato wa ujenzi wa barabara za juu ya nyingine katika njia panda za Tazara na Ubungo umeshaanza.

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yatafuta mtaalamu abomoe ghorofa

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema Sh bilioni moja zimetengwa kwa ajili ya kubomoa jengo lenye ghorofa 16 lililopo kwenye barabara ya Indira Gandhi, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YATAFUTA SOKO LA UTALII UAE - PINDA

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali imeamua kutafuta soko la utalii kutoka nchi za Ghuba na Mashariki ya Kati ili kuongeza idadi ya watalii nchini na kukuza pato la Taifa kupitia sekta hiyo.
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumatano, Desemba 17, 2014) wakati akizungmuza an waandishi wa habari mara baada ya kufungua Kongamano la siku mbili la Utalii na Uwekezaji lilionza leo kwenye hoteli ya Le Meridien, jijini Dubai, Falme za Kiarabu.
“Tunao mkakati wa kukuza utalii nchini lakini wengi...

 

10 years ago

Michuzi

ABIRIA WA TRENI MKOANI DODOMA KUTUMIKA KITUO KIDOGO CHA KATOSHO BADALA YA STESHENI YA TRENI YA KIGOMA KWA TRENI ZA ABIRIA KUANZIA FEBRUARI 18, 2015

Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania –TRL unasikitka kutangaza kuwa treni za abiria za kwenda Kigoma hazitofika katika stesheni ya Kigoma badala yake zitatumia kituo kidogo cha Katosho.
Kwa mujibu wa wa taarifa ya Uongozi wa TRL lilitolewa Februari 16, 2015 uamuzi wa treni  kutofika katika stesheni ya Kigoma  unatokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini  Kigoma na hivyo kuzoa mchanga ambao umefunika tuta la reli katika eneo la  stesheni ya Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo abiria wote...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwekezaji Kiwanda cha Mponde alia na serikali

 HIVI karibuni, Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati akizungumza na wakazi wa Tanga kwenye mkutano wa hadhara, amesema suluhu ya mgogoro kati ya mwekezaji wa Kiwanda cha Mponde Tea Estate Ltd...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ilivyouza wananchi na mali zao kwa mwekezaji

>Hivi karibuni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka alifika katika Kijiji cha Kapunga wilayani Mbarali na kutamka wazi kwamba mgogoro uliodumu karibu miaka 10 umesababishwa na makosa ya  watendaji wa Serikali.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yatakiwa kununua treni za kisasa

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imesisitiza kuwa ili mradi wa treni ya kusafirisha abiria jijini Dar es Salaam, ufanyike kwa kasi na kwa ufanisi, Serikali iharakishe kununua angalau treni mbili za kisasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani