Serikali yatakiwa kununua treni za kisasa
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imesisitiza kuwa ili mradi wa treni ya kusafirisha abiria jijini Dar es Salaam, ufanyike kwa kasi na kwa ufanisi, Serikali iharakishe kununua angalau treni mbili za kisasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo26 Mar
Treni ya kisasa yazinduliwa Dar es Salaam
TRENI nne za kisasa za mizigo mali ya Shirika la Reli nchini (TRL) zinazokwenda nchi nne za Ukanda wa Kati zimezinduliwa jana jioni Dar es Salaam kwenda kwenye nchi hizo, tukio lililoshuhudiwa na marais na wawakilishi wa nchi husika.
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Serukamba ataka treni mbili za kisasa
SERIKALI imetakiwa kununua treni mbili za kisasa ambazo ni maalumu kwa safari fupi ambapo gharama yake kila moja ni sh bilioni 8. Kamati ya Bunge ya Miundombinu, inayoongozwa na Peter...
11 years ago
Mwananchi19 Dec
‘Treni ya kisasa Dar kutatua tatizo la foleni’
9 years ago
Bongo523 Sep
Ethiopia wazindua treni ya kisasa mjini Addis Ababa
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-eR65OgyYB6U/VSuStw0a5zI/AAAAAAAAapk/8zJHm94NcGE/s72-c/1.jpg)
Treni Mpya Ya Kisasa Yaanza Safari za Mwanza kuelekea Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-eR65OgyYB6U/VSuStw0a5zI/AAAAAAAAapk/8zJHm94NcGE/s640/1.jpg)
Treni mpya ya kisasa ya Deluxe jana imeanza safari zake kutoka Dar es Salaam kuelekea Mwanza.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Meneja Uhusiano wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), Midladjy Maez, alisema safari hii ni ya pili tangu treni hiyo izinduliwe Aprili Mosi mwaka huu ambapo ilikwenda Kigoma.“Safari za Delux zitakuwa kwa wiki mara moja, siku ya Jumapili itaondoka stesheni ya Dar es Salaam saa 2:00 usiku ikiwa na mabehewa 15.
“Treni hiyo itakuwa na madaraja matatu ambapo daraja la...
10 years ago
MichuziWizara ya uchukuzi yasaini mkataba na kutekeleza amradi wa treni za kisasa nchini
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s72-c/DSC07352.jpg)
ABIRIA WA TRENI MKOANI DODOMA KUTUMIKA KITUO KIDOGO CHA KATOSHO BADALA YA STESHENI YA TRENI YA KIGOMA KWA TRENI ZA ABIRIA KUANZIA FEBRUARI 18, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s1600/DSC07352.jpg)
Kwa mujibu wa wa taarifa ya Uongozi wa TRL lilitolewa Februari 16, 2015 uamuzi wa treni kutofika katika stesheni ya Kigoma unatokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini Kigoma na hivyo kuzoa mchanga ambao umefunika tuta la reli katika eneo la stesheni ya Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo abiria wote...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Serikali yatakiwa kusimamisha malipo
11 years ago
Habarileo14 Jun
Serikali kununua mafuta kielektroniki
SERIKALI itaanzisha mfumo mpya wa kielektroniki wa kununua, kutunza na kuuza mafuta yanayotumika katika magari yake.