Treni ya kisasa yazinduliwa Dar es Salaam
TRENI nne za kisasa za mizigo mali ya Shirika la Reli nchini (TRL) zinazokwenda nchi nne za Ukanda wa Kati zimezinduliwa jana jioni Dar es Salaam kwenda kwenye nchi hizo, tukio lililoshuhudiwa na marais na wawakilishi wa nchi husika.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboRIPOTI YA HALI YA BIASHARA YA MAZAO YATOKANAYO NA BIOTEKNOLOJIA YA KISASA YA MWAKA 2014 YAZINDULIWA DAR ES SALAAM LEO
11 years ago
Mwananchi19 Dec
‘Treni ya kisasa Dar kutatua tatizo la foleni’
9 years ago
GPLMAABARA YA KISASA YA TFDA YAZINDULIWA JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-eR65OgyYB6U/VSuStw0a5zI/AAAAAAAAapk/8zJHm94NcGE/s72-c/1.jpg)
Treni Mpya Ya Kisasa Yaanza Safari za Mwanza kuelekea Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-eR65OgyYB6U/VSuStw0a5zI/AAAAAAAAapk/8zJHm94NcGE/s640/1.jpg)
Treni mpya ya kisasa ya Deluxe jana imeanza safari zake kutoka Dar es Salaam kuelekea Mwanza.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Meneja Uhusiano wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), Midladjy Maez, alisema safari hii ni ya pili tangu treni hiyo izinduliwe Aprili Mosi mwaka huu ambapo ilikwenda Kigoma.“Safari za Delux zitakuwa kwa wiki mara moja, siku ya Jumapili itaondoka stesheni ya Dar es Salaam saa 2:00 usiku ikiwa na mabehewa 15.
“Treni hiyo itakuwa na madaraja matatu ambapo daraja la...
11 years ago
Habarileo03 Jan
Usafiri wa treni Dar es Salaam kuongezwa
HUDUMA ya usafiri wa treni ya abiria jijini Dar es Salaam inatarajiwa kuongezwa mwaka huu watu wengi zaidi wanufaike. Aidha mchakato wa ujenzi wa barabara za juu ya nyingine katika njia panda za Tazara na Ubungo umeshaanza.
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Paisha yazinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam
Mgeni rasmi ambae pia ni rais wa Makampuni ya Convivium Africa Investment, Ndg Alfonso ippolito akizungumza machache wakati wa uzinduzi wa platform mpya ya matangazo iliyozinduliwa hapo jana katika hoteli ya Serena.Paisha ni platform ya matangazo ambayo inapatikana kupitia simu za mkononi yaani smartphone na kupitia tovuti ambapo watumiaji wa simu za smartphone wanaweza kuipakua kupitia google play and playstore bure kabisa.
Meneja bidhaa wa Paisha, Godfrey Fataki akizungumzia jinsi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sa1lHw5QuZ8/Xvc682JyTKI/AAAAAAABMnw/oPE3CnNRZ2IypTgZh9SaeeGaWcJvszj7ACLcBGAsYHQ/s72-c/SGR.jpg)
MUONEKANO WA STESHENI YA TRENI YA MWENDO KASI SGR DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-sa1lHw5QuZ8/Xvc682JyTKI/AAAAAAABMnw/oPE3CnNRZ2IypTgZh9SaeeGaWcJvszj7ACLcBGAsYHQ/s400/SGR.jpg)
9 years ago
MichuziTAASISI YA MOYO YA JAKAYA KIKWETE YAZINDULIWA LEO DAR ES SALAAM
Akizindua Taasisi hiyo...
10 years ago
VijimamboPAISHA YAZINDULIWA RASMI JIJINI DAR ES SALAAM HAPO JANA