Serikali yatakiwa kusimamisha malipo
Wakazi wa Kijiji cha Mkurumuzi, Kata ya Maweni, mkoani Tanga, wameomba Serikali kusimamia ili walipwe fidia ya mashamba na nyumba zao, baada ya mwekezaji kushindwa kutekeleza makubaliano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboWADAU WA USAFIRISHAJI WAIOMBA SERIKALI KUSIMAMISHA ONGEZEKO LA TOZO BANDARINI
9 years ago
Habarileo25 Dec
Serikali kushughulikia malipo ya kocha Stars
SERIKALI imesema suala la malipo ya kocha wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars linashughulikiwa na likikamilika itatoa majibu. Taarifa ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana ilisema serikali haijakataa kumlipa kocha wa timu iliyopita.
9 years ago
StarTV31 Dec
Serikali yatakiwa kurekebisha sheria ya manunuzi
Serikali imetakiwa kurekebisha sheria ya manunuzi pamoja na kuweka kipaumbele utoaji wa zabuni kwa viwanda vya ndani kwa nia ya kuvilinda na kuongeza ustawi wa sekta ya viwanda Ili kuendeleza viwanda vilivyopo hapa nchini.
Sambamba na hilo serikali imetakiwa kuzuia uingizaji holela wa bidhaa kutoka nje ya nchi ili kutoa nafasi kwa bidhaa zinazozalishwa hapa nchini.
Wakizungumza katika kiwanda cha utengenezaji wa transforma cha TANELEC kilichopo katika eneo la viwanda, njiro jijini...
11 years ago
Habarileo28 May
Serikali yatakiwa kununua treni za kisasa
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imesisitiza kuwa ili mradi wa treni ya kusafirisha abiria jijini Dar es Salaam, ufanyike kwa kasi na kwa ufanisi, Serikali iharakishe kununua angalau treni mbili za kisasa.
10 years ago
Habarileo26 Jan
Serikali yatakiwa kugharamia ukusanyaji takwimu
ASASI inayoshughulika na Mambo ya Takwimu (OSSO) imeonya kuwa kitendo cha Serikali kutegemea fedha za wahisani kuwezesha ukusanyaji wa takwimu za ndani ya nchi ni hatari kwa taifa, kwani kunawapa fursa wahisani hao kujua mipango yote ya nchi.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7wJ3m8SDCBQ/U3OZC5sIfxI/AAAAAAAFht4/4wwK-30NkvU/s72-c/Mkuu-4.jpg)
SERIKALI IMESEMA MATIBABU YA DENGUE HUTOLEWA BILA MALIPO
![](http://3.bp.blogspot.com/-7wJ3m8SDCBQ/U3OZC5sIfxI/AAAAAAAFht4/4wwK-30NkvU/s1600/Mkuu-4.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Said Meck Sadiki, amewataka wananchi wa mkoa huo wanapohisi wana dalili za ugonjwa wa dengue kuwenda katika hospitali za Serikali kwa kuwa matibabu hutolewa bila malipo.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu huyo wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuulizwa swali juu ya gharama kubwa za matibabu ya ugonjwa huo, kwenye ukumbi wa mkutano wa Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
“Tunaomba wananchi wanapohiisi...
10 years ago
StarTV26 Jan
Serikali Zanzibar yatakiwa kuwawezesha wakulima wa Mwani.
Na Abdallah Tilata,
Zanzibar.
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Abdulrahman Kinana ameitaka Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuweka mikakati ya kuwawezesha wakulima wa Mwani kupata bei bora itakayokidhi gharama ya uendeshaji kutokana na zao hilo kushuka bei sokoni.
Kwa sasa zao hilo lenye soko kubwa nchini China limeshuka bei na kuwafanya wakulima kuuza mwami kwa bei ya chini.
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Abdulrahman Kinana akiwaongoza...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Serikali yatakiwa kupeleka maboza ya maji Kondoa
MBUNGE wa Viti Maalum, Moza Abeid (CUF), ameitaka serikali kufanya haraka kuwapelekea maboza ya maji wananchi wa Mji Mdogo wa Kondoa wakati wakishughulikia mashine za kusukuma maji katika mji huo....
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Serikali yatakiwa kuwakamata wafanyabiashara meno ya tembo
HERIETH FAUSTINE NA IDDY ABDALLAH (RCT), DAR ES SALAAM
SERIKALI ya awamu ya tano imetakiwa kuwakamata na kuwashtaki wafanyabiashara wanaojihusisha na biashara ya meno ya tembo.
Imetakiwa ichukue hatua hiyo bila kujali utaifa, hadhi na mamlaka waliyonayo watu hao.
Mjumbe wa Kampeni ya Okoa Tembo wa Tanzania, Lameck Mkuburo, alisema kufanya hivyo kutasaidia kuvunja mtandao wa ujangili nchini.
Alikuwa akizungumza Dar es Salaam jana alipotoa wito kwa serikali jinsi ya kukabiliana na tatizo...