Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yatakiwa kusimamisha malipo

Wakazi wa Kijiji cha Mkurumuzi, Kata ya Maweni, mkoani Tanga, wameomba Serikali kusimamia ili walipwe fidia ya mashamba na nyumba zao, baada ya mwekezaji kushindwa kutekeleza makubaliano.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

WADAU WA USAFIRISHAJI WAIOMBA SERIKALI KUSIMAMISHA ONGEZEKO LA TOZO BANDARINI

 Rais wa Chama cha Wasafirishaji Tanzania (TAT), Zacharia Hans Pope (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu  changamoto ya sheria ya ongezeko la thamani VAT katika mizigo inayosafirishwa kwenda nje ya nchi. Kulia ni Rais wa Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA), Stephen Ngatunga Rais wa Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA), Stephen Ngatunga (kushoto), akizungumza katika mkutano huo. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa TAT, Omar Kiponza. Makamu...

 

9 years ago

Habarileo

Serikali kushughulikia malipo ya kocha Stars

SERIKALI imesema suala la malipo ya kocha wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars linashughulikiwa na likikamilika itatoa majibu. Taarifa ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana ilisema serikali haijakataa kumlipa kocha wa timu iliyopita.

 

9 years ago

StarTV

Serikali yatakiwa kurekebisha sheria ya manunuzi

Serikali imetakiwa kurekebisha sheria  ya manunuzi pamoja na kuweka kipaumbele utoaji wa zabuni kwa  viwanda vya ndani kwa nia ya kuvilinda na kuongeza ustawi wa sekta ya viwanda Ili kuendeleza viwanda vilivyopo hapa nchini.

Sambamba na hilo serikali imetakiwa kuzuia  uingizaji holela wa bidhaa kutoka nje ya nchi ili kutoa nafasi kwa bidhaa zinazozalishwa hapa nchini.

Wakizungumza katika kiwanda cha utengenezaji  wa transforma  cha TANELEC  kilichopo katika eneo la viwanda, njiro jijini...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yatakiwa kununua treni za kisasa

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imesisitiza kuwa ili mradi wa treni ya kusafirisha abiria jijini Dar es Salaam, ufanyike kwa kasi na kwa ufanisi, Serikali iharakishe kununua angalau treni mbili za kisasa.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yatakiwa kugharamia ukusanyaji takwimu

ASASI inayoshughulika na Mambo ya Takwimu (OSSO) imeonya kuwa kitendo cha Serikali kutegemea fedha za wahisani kuwezesha ukusanyaji wa takwimu za ndani ya nchi ni hatari kwa taifa, kwani kunawapa fursa wahisani hao kujua mipango yote ya nchi.

 

11 years ago

Michuzi

SERIKALI IMESEMA MATIBABU YA DENGUE HUTOLEWA BILA MALIPO

Na Magreth Kinabo – MAELEZO 
 Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Said Meck Sadiki, amewataka wananchi wa mkoa huo wanapohisi wana dalili za ugonjwa wa dengue kuwenda katika hospitali za Serikali kwa kuwa matibabu hutolewa bila malipo.
Kauli  hiyo imetolewa na Mkuu huyo wakati akizungumza na waandishi wa habari  baada ya kuulizwa swali juu ya  gharama   kubwa za matibabu ya ugonjwa huo, kwenye ukumbi wa mkutano wa Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
 “Tunaomba wananchi wanapohiisi...

 

10 years ago

StarTV

Serikali Zanzibar yatakiwa kuwawezesha wakulima wa Mwani.

Na Abdallah Tilata,

Zanzibar.

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Abdulrahman Kinana ameitaka Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuweka mikakati ya kuwawezesha wakulima wa Mwani kupata bei bora itakayokidhi gharama ya uendeshaji kutokana na zao hilo kushuka bei sokoni.

Kwa sasa zao hilo lenye soko kubwa nchini China limeshuka bei na kuwafanya wakulima kuuza mwami kwa bei ya chini.

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Abdulrahman Kinana akiwaongoza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yatakiwa kupeleka maboza ya maji Kondoa

MBUNGE wa Viti Maalum, Moza Abeid (CUF), ameitaka serikali kufanya haraka kuwapelekea maboza ya maji wananchi wa Mji Mdogo wa Kondoa wakati wakishughulikia mashine za kusukuma maji katika mji huo....

 

9 years ago

Mtanzania

Serikali yatakiwa kuwakamata wafanyabiashara meno ya tembo

ivory+pxHERIETH FAUSTINE NA IDDY ABDALLAH (RCT), DAR ES SALAAM

SERIKALI ya awamu ya tano imetakiwa kuwakamata na kuwashtaki wafanyabiashara wanaojihusisha na  biashara ya meno ya tembo.

Imetakiwa ichukue hatua hiyo bila kujali utaifa, hadhi na mamlaka waliyonayo watu hao.

Mjumbe wa Kampeni ya Okoa Tembo wa Tanzania, Lameck Mkuburo, alisema kufanya hivyo kutasaidia kuvunja mtandao wa ujangili   nchini.

Alikuwa akizungumza  Dar es Salaam jana alipotoa wito kwa serikali jinsi ya kukabiliana na tatizo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani