Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yatakiwa kuwakamata wafanyabiashara meno ya tembo

ivory+pxHERIETH FAUSTINE NA IDDY ABDALLAH (RCT), DAR ES SALAAM

SERIKALI ya awamu ya tano imetakiwa kuwakamata na kuwashtaki wafanyabiashara wanaojihusisha na  biashara ya meno ya tembo.

Imetakiwa ichukue hatua hiyo bila kujali utaifa, hadhi na mamlaka waliyonayo watu hao.

Mjumbe wa Kampeni ya Okoa Tembo wa Tanzania, Lameck Mkuburo, alisema kufanya hivyo kutasaidia kuvunja mtandao wa ujangili   nchini.

Alikuwa akizungumza  Dar es Salaam jana alipotoa wito kwa serikali jinsi ya kukabiliana na tatizo...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KASHFA MENO YA TEMBO NA MAJIBU MEPESI YA SERIKALI

KASHFA iliyoibuliwa na Wakala wa Uchunguzi wa Mazingira ya Uingereza, (Environmental Investigation Agency kwa kifupi EIA), dhidi ya serikali kuhusu ziara ya Rais wa China, Xi Jinping hapa nchini kuwa msafara wake uliondoka na shehena ya meno  ya tembo ni nzito inayolitia doa taifa. Kwa uzito wake, nafsi yangu kama mzalendo na muumini wa  heshima kwa viongozi wangu na taifa langu nilitaraji majibu ya serikali yangeendana na...

 

11 years ago

GPL

WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova akionesha sehemu ya  vipande 8 vya meno ya tembo vilivyodakwa huko Tabata Kisiwani jijini Dar es salaam
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova akikagua gari linalotuhumiwa kutumika.…

 

11 years ago

Michuzi

WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO

Jeshi la Polisi Kanda Maalum limefanikiwa kukamata vipande zaidi ya ishirini (20) vinavyodhaniwa kuwa ni meno ya Tembo vilivyokuwa vimehifadhiwa nadni ya mfuko maarufu kwa jina la kiroba. Tukio hili lilitokea tarehe 30/04/2014 katika kiwanda cha Nondo Steel Master kilichopo eneo la Mbozi Road (W) kipolisi Chang’ombe (M) kipolisi Temeke baada ya Polisi kupokea taarifa kuwa katika kiwanda hicho kuna mfuko wa kiroba wenye bidhaa hiyo umefichwa. Baada ya taarifa hizo askari kikosi cha Upelelezi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaswa na meno ya tembo 53

WATU sita wanaodhaniwa kuwa ni majangili wamekamatwa na meno ya tembo 53 yenye kilo 169.7, wakiwa na silaha aina ya SMG yenye magazine tatu kwenye Kijiji cha Kiomboi, wilayani Manyoni,...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wanaswa na meno ya tembo


NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
WATU watano wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma  ya  kukutwa na vipande vinane  vya  meno  ya  tembo, vikiwa vimevificha kwenye dumu la  mafuta.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paul, alisema tukio  hilo lilitokea jana, saa 2:30 usiku katika eneo  la  Daraja Mbili, barabara  ya  kwenda Mikumi wilayani Kilosa.
Alisema watuhumiwa hao walikamatwa na polisi kwa kushirikiana na askari wa  wanyamapori, waliokuwa kwenye  doria.
Paul alisema  watu  hao walichukua...

 

11 years ago

Habarileo

Meno ya tembo yakamatwa Mtwara

JESHI la Polisi wilayani hapa, limekamata nyara za Serikali ikiwa ni meno ya tembo 58 yenye uzito wa kilo 130.6 na watuhumiwa watatu ambao walikuwa wanayasafirisha kutoka hapa kwenda Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Kashfa meno ya tembo yatingisha

Serikali za China na Tanzania, zimetoa matamshi makali dhidi ya kile zilichokiita “taarifa za uongozi na uzushi” ambazo zinahusisha ndege ya Rais wa China, Xi Jinping na usafirishaji wa vipande vya meno ya tembo kutoka Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani