Serikali yatakiwa kuwakamata wafanyabiashara meno ya tembo
HERIETH FAUSTINE NA IDDY ABDALLAH (RCT), DAR ES SALAAM
SERIKALI ya awamu ya tano imetakiwa kuwakamata na kuwashtaki wafanyabiashara wanaojihusisha na biashara ya meno ya tembo.
Imetakiwa ichukue hatua hiyo bila kujali utaifa, hadhi na mamlaka waliyonayo watu hao.
Mjumbe wa Kampeni ya Okoa Tembo wa Tanzania, Lameck Mkuburo, alisema kufanya hivyo kutasaidia kuvunja mtandao wa ujangili nchini.
Alikuwa akizungumza Dar es Salaam jana alipotoa wito kwa serikali jinsi ya kukabiliana na tatizo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3KGM3KZVxz4jf4W24AeCy869HxHayszf3ZaD256VMhmHb51IzI2oSaHkKeZu4VbWRHHOy1Y1nI7kkC1kkt*maW10mivchArP/IVO.jpg?width=650)
KASHFA MENO YA TEMBO NA MAJIBU MEPESI YA SERIKALI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DpJ4AHqbKDQ/VcImuCMORzI/AAAAAAAHuZg/Ms4Rq_ZV8k8/s72-c/Untitled1.png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYlv9Z3nXF3jwBvVRZTIeDXsbZR27HwEmr2VG64XQCtosSAHVNaI-mOkEM5ZxWRHLfrr4bzgmBRHqjwdeLHsx36o/unnamed1.jpg?width=650)
WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-chaPuUbmfNw/U3RZ9DrmYEI/AAAAAAAFhxg/RMJ66Jk1TZg/s72-c/unnamed+(1).jpg)
WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wanaswa na meno ya tembo 53
WATU sita wanaodhaniwa kuwa ni majangili wamekamatwa na meno ya tembo 53 yenye kilo 169.7, wakiwa na silaha aina ya SMG yenye magazine tatu kwenye Kijiji cha Kiomboi, wilayani Manyoni,...
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Apr
Wanaswa na meno ya tembo
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
WATU watano wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma ya kukutwa na vipande vinane vya meno ya tembo, vikiwa vimevificha kwenye dumu la mafuta.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paul, alisema tukio hilo lilitokea jana, saa 2:30 usiku katika eneo la Daraja Mbili, barabara ya kwenda Mikumi wilayani Kilosa.
Alisema watuhumiwa hao walikamatwa na polisi kwa kushirikiana na askari wa wanyamapori, waliokuwa kwenye doria.
Paul alisema watu hao walichukua...
11 years ago
Habarileo15 Feb
Meno ya tembo yakamatwa Mtwara
JESHI la Polisi wilayani hapa, limekamata nyara za Serikali ikiwa ni meno ya tembo 58 yenye uzito wa kilo 130.6 na watuhumiwa watatu ambao walikuwa wanayasafirisha kutoka hapa kwenda Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Kashfa meno ya tembo yatingisha