KASHFA MENO YA TEMBO NA MAJIBU MEPESI YA SERIKALI
KASHFA iliyoibuliwa na Wakala wa Uchunguzi wa Mazingira ya Uingereza, (Environmental Investigation Agency kwa kifupi EIA), dhidi ya serikali kuhusu ziara ya Rais wa China, Xi Jinping hapa nchini kuwa msafara wake uliondoka na shehena ya meno ya tembo ni nzito inayolitia doa taifa. Kwa uzito wake, nafsi yangu kama mzalendo na muumini wa heshima kwa viongozi wangu na taifa langu nilitaraji majibu ya serikali yangeendana na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Kashfa meno ya tembo yatingisha
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Serikali yatakiwa kuwakamata wafanyabiashara meno ya tembo
HERIETH FAUSTINE NA IDDY ABDALLAH (RCT), DAR ES SALAAM
SERIKALI ya awamu ya tano imetakiwa kuwakamata na kuwashtaki wafanyabiashara wanaojihusisha na biashara ya meno ya tembo.
Imetakiwa ichukue hatua hiyo bila kujali utaifa, hadhi na mamlaka waliyonayo watu hao.
Mjumbe wa Kampeni ya Okoa Tembo wa Tanzania, Lameck Mkuburo, alisema kufanya hivyo kutasaidia kuvunja mtandao wa ujangili nchini.
Alikuwa akizungumza Dar es Salaam jana alipotoa wito kwa serikali jinsi ya kukabiliana na tatizo...
10 years ago
GPLUSINZIBE MDOMO: MIGOMO INACHOCHEWA NA MAJIBU MEPESI
10 years ago
Michuzi10 years ago
Mwananchi24 Mar
CWT isitoe majibu mepesi kwa maswali magumu
11 years ago
Mwananchi21 May
DIRA: Bunge limejaa majibu mepesi kwa maswali magumu
11 years ago
MichuziWATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO
11 years ago
GPLWATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO