Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USINZIBE MDOMO: MIGOMO INACHOCHEWA NA MAJIBU MEPESI

Wananchi wakiwa katika maandamano. IJUMAA iliyopita ilikuwa ni siku kubwa ingawa haikuwahi kuwekwa katika kalenda hapo kabla. Ilikuwa ni siku ambayo umma kwa upana wake, ulitambua jinsi gani sekta ya usafirishaji ilivyo muhimu. Nina uhakika, mamia ya watu walipata hasara ya mamilioni ya shilingi.
Wananchi wakilala chini kuepuka athari za mabomu ya machozi. Hii ilitokana na mgomo wa madereva wa mabasi ya mikoani na daladala....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

USINZIBE MDOMO: WANATAKA KUTUFUNGA, WENYEWE WANAJILINDA!

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mwishoni mwa wiki iliyopita, Bunge lilipitisha sheria ya takwimu ya mwaka 2013, inayotoa adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela au faini ya shilingi milioni 10 au vyote kwa pamoja kwa mwandishi au chombo cha habari kitakachotoa kimakosa takwimu za serikali wakati wakitekeleza wajibu wao.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju. Sheria hiyo ya takwimu pia inazuia taasisi binafsi...

 

10 years ago

GPL

USINZIBE MDOMO MZEE KINANA MBONA SIKUSOMI?

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana. Tangu alipoteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Novemba 2012, Abdulrahman Kinana amekuwa na staili inayonifurahisha sana. Kwa muda mfupi, amekirejesha chama tawala kule ambako kilistahili kuwa kwa siku zote.
Nilipata fursa ya kukutana naye kwa mahojiano mwanzoni tu mwa uteuzi wake ofisini kwake pale Lumumba. Nilimuuliza maswali mengi kwa kila...

 

10 years ago

GPL

USINZIBE MDOMO KUNA USHIRIKA WENYE SHAKA MAUAJI HAYA!

KWA mara nyingine, nchi imejikuta katika aibu nyingine ya mauaji ya kutisha dhidi ya mtoto mdogo mwenye ulemavu wa ngozi, wanaojulikana kama Albino, Yohana Bahati (1) siyo pichani yaliyotokea huko Geita hivi karibuni. Huu ni mwendelezo wa mauaji ya jamii hii ya watu, ambao kwa miaka mingi sasa, wanasadikika kuwa chanzo cha unafuu wa maisha kwa baadhi yetu.Yapo madai kwamba baadhi ya viungo vya Albino, vinawapa utajiri au nafasi...

 

10 years ago

GPL

KASHFA MENO YA TEMBO NA MAJIBU MEPESI YA SERIKALI

KASHFA iliyoibuliwa na Wakala wa Uchunguzi wa Mazingira ya Uingereza, (Environmental Investigation Agency kwa kifupi EIA), dhidi ya serikali kuhusu ziara ya Rais wa China, Xi Jinping hapa nchini kuwa msafara wake uliondoka na shehena ya meno  ya tembo ni nzito inayolitia doa taifa. Kwa uzito wake, nafsi yangu kama mzalendo na muumini wa  heshima kwa viongozi wangu na taifa langu nilitaraji majibu ya serikali yangeendana na...

 

10 years ago

Mwananchi

CWT isitoe majibu mepesi kwa maswali magumu

Chama cha Walimu Tanzania (CWT) ni chama kilicho mstari wa mbele kuhakikisha walimu nchini wanapata stahili zao kwa wakati.

 

11 years ago

Mwananchi

DIRA: Bunge limejaa majibu mepesi kwa maswali magumu

>Nimefuatilia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria katika mkutano wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma.

 

10 years ago

GPL

USINZIBE MDOMO VIKOSI VYA ULINZI VYAMA VYA SIASA?!

Elnest Mangu. TANZANIA tuna majeshi kadhaa na vyombo vya ulinzi na usalama vinavyotambulika kisheria. Tunalo Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza. Chini yake, JWTZ unawakuta JKT, kwa polisi, tunao Zimamoto, FFU, Usalama barabarani (Trafiki) na Mgambo. Majeshi na vikosi hivi vina majukumu yanayofahamika na kukubalika. Kwa hiyo haishangazi tunapoona polisi wakitumika kuwakamata majambazi, ambao wakati mwingine...

 

10 years ago

Mwananchi

Baba Ubaya aanza mazoezi mepesi Simba

Beki wa kushoto wa kutumainiwa wa Simba, Issa Rashid ‘Baba Ubaya’ ameanza mazoezi na timu yake  ingawa daktari wa timu hiyo amemzuia kucheza mechi.

 

10 years ago

GPL

SHETTA: MUZIKI UMEFANYA MAISHA YANGU KUWA MEPESI

MSANII wa Bongo Fleva, Nurdin Bilali, ‘Shetta’ amefunguka kuwa kupitia sanaa ya muziki anayoifanya amepata vitu vingi vilivyofanya maisha yake kuwa rahisi. Shetta anayetamba na kibao cha Kerewa alichomshirikisha staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefunguka hayo wakati akihojiwa katika kipindi cha Mtu Kati cha Global TV Online. ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani