USINZIBE MDOMO: WANATAKA KUTUFUNGA, WENYEWE WANAJILINDA!
![](http://api.ning.com:80/files/Ok30SVir64mDrrktnSe1ax44pDYRSu8-2We5efeva7Yo*gfEFrtqW2w3ll1DbacsjS207X3VVg3tgvNTVayGwltgC6Y73IMF/bunge.jpg?width=650)
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mwishoni mwa wiki iliyopita, Bunge lilipitisha sheria ya takwimu ya mwaka 2013, inayotoa adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela au faini ya shilingi milioni 10 au vyote kwa pamoja kwa mwandishi au chombo cha habari kitakachotoa kimakosa takwimu za serikali wakati wakitekeleza wajibu wao. Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju. Sheria hiyo ya takwimu pia inazuia taasisi binafsi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGjgPH8*8vn1yC8FoKxmiRL9yKiY1ZqFVEiRK*M0p4o*YV7EGG4MnL9MNOTSSzeIRRqUnlyMKbNmkQ2vR9bkcPQNgaBdVriN/Survey.jpg?width=650)
USINZIBE MDOMO: MIGOMO INACHOCHEWA NA MAJIBU MEPESI
10 years ago
GPLUSINZIBE MDOMO MZEE KINANA MBONA SIKUSOMI?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qsqSwlMSTyRZTX1ES6AEPmY1Ui0bb-V-mxX3udTzuw-kIiom8SzKJopgt5oAvdj-1m3WemjIcaPLHZaSwbC9l2c/albino.jpg?width=650)
USINZIBE MDOMO KUNA USHIRIKA WENYE SHAKA MAUAJI HAYA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWntgnHXjghAmfo622aeeI8xHVW7f2LhfWZBhM5IC8bvhLMnLc4t91E1zaad*G2Se5VjQo3PWPkOSfRQoGCjv42d/ErnestMangu.jpg?width=650)
USINZIBE MDOMO VIKOSI VYA ULINZI VYAMA VYA SIASA?!
11 years ago
Mwananchi08 Mar
Mtikila: Wameanza kutufunga ‘Luku’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb8p6l6z7dY-0wwC41Ahm9ItVebfk7Z46e3TWu8wkqNLchDGFcgtswIjDe99s5rkxDrWsYCOno76zpBbMP8yZCB0/MAMAWEMA.jpg?width=650)
MADAHA, MDOMO ULIPONZA KICHWA
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Lupita: Wazazi wanataka niolewe
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA wa filamu nchini Kenya ambaye kwa sasa anaishi nchini Marekani, Lupita Nyong’o, amesema wazazi wake wanamshawishi aolewe ili wapate wajukuu.
Lupita kwa sasa anafanya vizuri katika filamu nchini Marekani na amefanikiwa kuchukua tuzo za Oscar mapema mwaka huu, hivyo baada ya kupata tuzo hiyo alitembelea nchini Kenya na kukutana na familia yake ambapo ilimtaka aolewe.
“Nilipokuwa nchini Kenya wiki chache zilizopita nilikutana na familia yangu ambapo miaka mingi tulikuwa...
10 years ago
BBCSwahili04 Jul
Ugiriki:Wakopeshaji wanataka kutudhulumu
10 years ago
BBCSwahili25 Nov
Mdomo wamponza mwanamke Pakistan