Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USINZIBE MDOMO: WANATAKA KUTUFUNGA, WENYEWE WANAJILINDA!

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mwishoni mwa wiki iliyopita, Bunge lilipitisha sheria ya takwimu ya mwaka 2013, inayotoa adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela au faini ya shilingi milioni 10 au vyote kwa pamoja kwa mwandishi au chombo cha habari kitakachotoa kimakosa takwimu za serikali wakati wakitekeleza wajibu wao.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju. Sheria hiyo ya takwimu pia inazuia taasisi binafsi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

USINZIBE MDOMO: MIGOMO INACHOCHEWA NA MAJIBU MEPESI

Wananchi wakiwa katika maandamano. IJUMAA iliyopita ilikuwa ni siku kubwa ingawa haikuwahi kuwekwa katika kalenda hapo kabla. Ilikuwa ni siku ambayo umma kwa upana wake, ulitambua jinsi gani sekta ya usafirishaji ilivyo muhimu. Nina uhakika, mamia ya watu walipata hasara ya mamilioni ya shilingi.
Wananchi wakilala chini kuepuka athari za mabomu ya machozi. Hii ilitokana na mgomo wa madereva wa mabasi ya mikoani na daladala....

 

10 years ago

GPL

USINZIBE MDOMO MZEE KINANA MBONA SIKUSOMI?

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana. Tangu alipoteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Novemba 2012, Abdulrahman Kinana amekuwa na staili inayonifurahisha sana. Kwa muda mfupi, amekirejesha chama tawala kule ambako kilistahili kuwa kwa siku zote.
Nilipata fursa ya kukutana naye kwa mahojiano mwanzoni tu mwa uteuzi wake ofisini kwake pale Lumumba. Nilimuuliza maswali mengi kwa kila...

 

10 years ago

GPL

USINZIBE MDOMO KUNA USHIRIKA WENYE SHAKA MAUAJI HAYA!

KWA mara nyingine, nchi imejikuta katika aibu nyingine ya mauaji ya kutisha dhidi ya mtoto mdogo mwenye ulemavu wa ngozi, wanaojulikana kama Albino, Yohana Bahati (1) siyo pichani yaliyotokea huko Geita hivi karibuni. Huu ni mwendelezo wa mauaji ya jamii hii ya watu, ambao kwa miaka mingi sasa, wanasadikika kuwa chanzo cha unafuu wa maisha kwa baadhi yetu.Yapo madai kwamba baadhi ya viungo vya Albino, vinawapa utajiri au nafasi...

 

10 years ago

GPL

USINZIBE MDOMO VIKOSI VYA ULINZI VYAMA VYA SIASA?!

Elnest Mangu. TANZANIA tuna majeshi kadhaa na vyombo vya ulinzi na usalama vinavyotambulika kisheria. Tunalo Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza. Chini yake, JWTZ unawakuta JKT, kwa polisi, tunao Zimamoto, FFU, Usalama barabarani (Trafiki) na Mgambo. Majeshi na vikosi hivi vina majukumu yanayofahamika na kukubalika. Kwa hiyo haishangazi tunapoona polisi wakitumika kuwakamata majambazi, ambao wakati mwingine...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtikila: Wameanza kutufunga ‘Luku’

>Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Mchungaji Christopher Mtikila, amewaacha hoi wajumbe wenzake pale alipotaka kanuni zisiwabane kuwasema vibaya waasisi wa Muungano.

 

11 years ago

GPL

MADAHA, MDOMO ULIPONZA KICHWA

NI mara yangu ya pili kumzungumzia Baby Madaha katika safu hii. Nilimsifu kwa kadiri ninavyomfahamu, kwamba ni muimbaji mzuri na anayefanya kazi yake vizuri kabisa, hasa hivi sasa anapokuwa balozi mzuri wa nchi, kwani anafanya shughuli zake na meneja kutoka Kenya. Hapa nyumbani licha ya muziki, lakini anafanya pia filamu na huko kote amekuwa akifanya vizuri. Ingawa hajafikia kiwango cha kuweza kumlinganisha na msanii mkongwe...

 

9 years ago

Mtanzania

Lupita: Wazazi wanataka niolewe

Lupita-8NEW YORK, MAREKANI

NYOTA wa filamu nchini Kenya ambaye kwa sasa anaishi nchini Marekani, Lupita Nyong’o, amesema wazazi wake wanamshawishi aolewe ili wapate wajukuu.

Lupita kwa sasa anafanya vizuri katika filamu nchini Marekani na amefanikiwa kuchukua tuzo za Oscar mapema mwaka huu, hivyo baada ya kupata tuzo hiyo alitembelea nchini Kenya na kukutana na familia yake ambapo ilimtaka aolewe.

“Nilipokuwa nchini Kenya wiki chache zilizopita nilikutana na familia yangu ambapo miaka mingi tulikuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki:Wakopeshaji wanataka kutudhulumu

Waziri wa fedha nchini Ugiriki ametoa taarifa siku moja kabla ya kuandaliwa kwa kura ya maoni juu ya mpango wa kulipa deni lake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mdomo wamponza mwanamke Pakistan

Mwanamke mmoja amehukumiwa adhabu ya kifo nchini Pakistan kwa kosa la kufuru.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani