Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtikila: Wameanza kutufunga ‘Luku’

>Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Mchungaji Christopher Mtikila, amewaacha hoi wajumbe wenzake pale alipotaka kanuni zisiwabane kuwasema vibaya waasisi wa Muungano.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

USINZIBE MDOMO: WANATAKA KUTUFUNGA, WENYEWE WANAJILINDA!

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mwishoni mwa wiki iliyopita, Bunge lilipitisha sheria ya takwimu ya mwaka 2013, inayotoa adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela au faini ya shilingi milioni 10 au vyote kwa pamoja kwa mwandishi au chombo cha habari kitakachotoa kimakosa takwimu za serikali wakati wakitekeleza wajibu wao.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju. Sheria hiyo ya takwimu pia inazuia taasisi binafsi...

 

9 years ago

Habarileo

Simba wasema wameanza ligi

Na Mohamed Akida KOCHA wa Simba Dylan Kerr, amesema ushindi katika mechi dhidi ya Coastal Union, ilikuwa ni muhimu kwao bila kujali kiwango kibovu walichokionesha kwenye mchezo huo ambao walishinda kwa bao 1-0. Kutokana na hali hiyo amesema wameanza sasa rasmi mbio za kuelekea katika ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

5 years ago

Michuzi

WATANZANIA WAMEANZA KUNUFAIKA NA MRADI WA JNHPP

 Veronica Simba – Dodoma
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Zena Said amesema kuwa mradi mkubwa wa kufua umeme wa maji wa Julius Nyerere (JNHPP) umeanza kuwanufaisha Watanzania hata kabla ya kukamilika.
Ameyasema hayo kwa njia ya simu, leo Juni 22, 2020 alipofanya mahojiano na mwandishi wa habari hii kuhusu ziara ya Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliyoifanya Juni 20, mwaka huu kukagua maendeleo ya Mradi huo ulioko Rufiji, mkoani Pwani.
Mhandisi Said...

 

10 years ago

GPL

BEYONCE, JAY Z MAHABA KAMA WAMEANZA JANA!

Rapa Jay Z na mkewe Beyonce wakijiachia kwenye viunga vya jiji la Florence nchini Italia.
Florence, Italia
PENZI ni kikohozi kulificha huwezi! Ndivyo ambavyo wanaonyesha wapenzi wawili maarufu duniani, rapa Jay Z na mwimbaji Beyonce ambao hivi sasa wapo nchini Italia wakila raha na unaambiwa wamekuwa wakigandana na kuonyeshana mahaba hadharani utadhani walianza mapenzi yao jana kwa jinsi walivyoshibana. Jay Z, 45, na Beyonce,...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Pemba Shwari baadhi ya vituo wameanza kujumuisha

Uchaguzi huu umeenda shwari kabisa watu wamekuwa watulivu na wasikivu,Baadhi ya Vituo PEMBA wameshaanza kujumuisha kura wanasubiri majumuisho ya pamoja kutoka kwenye vituo vyengine, Hadi sasa hali ni shwari ,utaratibu umekwenda uzuri. Vituo vya maeneo ya […]

The post Pemba Shwari baadhi ya vituo wameanza kujumuisha appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Hata wanafunzi sasa mkoani Kagera wameanza kushtuka

Ni kosa kubwa kupuuzia swali la mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Bukoba alilouliza siku ujumbe kutoka Kampuni ya Computer for Africa ulipofika shuleni kwao hivi karibuni.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwa nini Trump na Obama wameanza malumbano mapya kuhusu Flynn?

Uamuzi wa kishangaza wa Idara ya haki nchini Marekani kuondoa mashtaka yote dhidi ya alikyekuwa mshauri wa kiusalama wa rais Donald Trump , umezua shutumma chungu nzima.

 

9 years ago

MillardAyo

Licha ya kuwa na wakati mgumu, Chelsea wameanza kusherehekea Christmas kwa style hii (+Pichaz)

Licha ya kuwa katika wakati mgumu katika michezo ya Ligi Kuu Uingereza, klabu ya Chelsea imeanza kusherehekea sikukuu ya Christmas kwa style hii, mastaa wa klabu ya Chelsea waliamua kuanza kusherehekea Christmas, kwa kutembelea wodi ya watoto ya hospitali ya West London. Mastaa hao wa Chelsea ambao timu yao ipo nafasi ya 16 katika msimamo wa Ligi Kuu […]

The post Licha ya kuwa na wakati mgumu, Chelsea wameanza kusherehekea Christmas kwa style hii (+Pichaz) appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani