Pemba Shwari baadhi ya vituo wameanza kujumuisha
Uchaguzi huu umeenda shwari kabisa watu wamekuwa watulivu na wasikivu,Baadhi ya Vituo PEMBA wameshaanza kujumuisha kura wanasubiri majumuisho ya pamoja kutoka kwenye vituo vyengine, Hadi sasa hali ni shwari ,utaratibu umekwenda uzuri. Vituo vya maeneo ya […]
The post Pemba Shwari baadhi ya vituo wameanza kujumuisha appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/XSWlXTwLGjk/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Jun
THPS yakabidhi Komputer kwa vituo vinane vya Afya Unguja na Pemba
Mkurugenzi Mtendaji wa THPS, Dr. Redempta Mbatia, akizungumza kabla ya kukabidhi seti za kumputer kwa vituo vya afya vinane vya Unguja na Pemba kwa ajili ya kutunzia kumbukumbu katika vituo vyao.
DR Mdahoma akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhiwa msaada wa Komputer kwa ajili ya kuwekea Kumbukumbu katika Vituo vya Afya vya Unguja na Pemba, makabidhiano hayo yamefanyika katika viwanja vya hoteli ya mazsons shangani Zanzibar.
Naibu Katibu Mku Wazara ya Afya Zanzibar Halima Maulid...
10 years ago
MichuziTHPS Yakabidhi Komputa kwa Vituo Vinane vya Afya Unguja na Pemba
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
Breaking News CCM Unguja Kiembe samaki ,Mahonda ,Chukwani wanaongoza baadhi ya vituo :CUF Malindi
kuchanganywa kwa form za wagombea Chukwani / Kiembe samaki kumesababisha mtafaruko na CCM kuibuka washindi watu wengine hawajapiga kura Jamani haya sio matokeo ya mwisho ni vituo tu,tusiwe na mumha mizani inaweza kulalia either side.. si […]
The post Breaking News CCM Unguja Kiembe samaki ,Mahonda ,Chukwani wanaongoza baadhi ya vituo :CUF Malindi appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Baadhi ya makosa yanayojitokeza katika baadhi ya magazeti ya kiswahili
10 years ago
BBCSwahili22 May
Spotify kujumuisha video na sauti
10 years ago
Vijimambo29 Nov
HAYA NDIO BAADHI YA MAAZIMIO YALIYOSABABISHA BUNGE KUAHIRISHWA KWA KUPINGA BAADHI YA MAADHIMIO YA KUWALINDA WATUHUMIWA WA SAKATA LA ESCROW
MAAZIMIO
Pendekezo la kwanza la kumkamata na kumfilisi bwana Seth lina marekebisho ya serikali, naibu waziri wa Sheria anasema haiwezekani
Pendekezo la pili kuhusu Rugemalira, serikali imeweka marekebisho kuhusu uhalali wa pesa za Rugemalira alizogawa
Azimio la TATU limerekebishwa kuwa waliopokea pesa wachunguzwe na kuchukuliwa hatua mahususi kwa mujibu wa sheria
Pendekezo la NNE. Kamati inazitaka mamlaka kuzitangaza benki za Mkombozi na Stanbic kama asasi za utakatishaji fedha
Azimio la 4...
11 years ago
Michuzi14 Feb
Bila kujumuisha wanawake maendeleo ni ndoto: Manongi
![Joseph Msami katika mahojiano na Balozi Manongi](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/lssqXz4ZFyahcMqammuAuS0aauaLIDSeEjyLYM6AmmFf9_YrzttEmlLIuoiqBXYaweZMSpUlTBIv1WgMAZvmZw-kVtGlC5mb2n1f_iGzYa2bUaCmWyT1exSCShlQGSk7nZtBemUbQpcixw-ZBha8Yvf3vRt_8GEIgazZ1Oy6yRNypsD28j_mUYCuZOV8jcmR=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/02/Joseph-Msami-katika-mahojiano-na-Balozi-Manongi.jpg)
10 years ago
Bongo Movies20 Feb
Hizi ni baadhi ya jumbe za baadhi ya Wasanii wa Bongo movies wakionyesha kuguswa na wimbi la mauaji ya ndungu zetu wenye ulemavu wa ngozi
Shamsa Ford:
“Yaani hata sijui nisemeje maana kila nikifikilia mwanadamu anayefanya ukatili huu wa kuwaua walemavu wa ngozi naumia sana.kikubwa naomba Mungu wote wanaohusika na huu unyama wakamatwe.. inshaallah Mwenyezi Mungu atasimamia kwa hili”.
Riyama Ally:
“Kiukweli siwezi kulala leo bila kusema haya nitakayosema.. hawa ni wenzetu na wanastahili tabasamu zaidi ya wanalolitoa wenyewe wanahitaji mapenzi yetu ya ziada.. lakini wapi binaadamu wenye uchu na tamaa za madaraka, pesa,...