Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pemba Shwari baadhi ya vituo wameanza kujumuisha

Uchaguzi huu umeenda shwari kabisa watu wamekuwa watulivu na wasikivu,Baadhi ya Vituo PEMBA wameshaanza kujumuisha kura wanasubiri majumuisho ya pamoja kutoka kwenye vituo vyengine, Hadi sasa hali ni shwari ,utaratibu umekwenda uzuri. Vituo vya maeneo ya […]

The post Pemba Shwari baadhi ya vituo wameanza kujumuisha appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Dewji Blog

THPS yakabidhi Komputer kwa vituo vinane vya Afya Unguja na Pemba

Mkurugenzi  Mtendaji wa THPS, Dr. Redempta Mbatia, akizungumza kabla ya kukabidhi seti za kumputer kwa vituo vya afya vinane vya Unguja na Pemba kwa ajili ya kutunzia kumbukumbu katika vituo vyao.

DR Mdahoma akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhiwa msaada wa Komputer kwa ajili ya kuwekea Kumbukumbu katika Vituo vya Afya vya Unguja na Pemba, makabidhiano hayo yamefanyika katika viwanja vya hoteli ya mazsons shangani Zanzibar.

Naibu Katibu Mku Wazara ya Afya Zanzibar Halima Maulid...

 

10 years ago

Michuzi

THPS Yakabidhi Komputa kwa Vituo Vinane vya Afya Unguja na Pemba

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar Halima Maulid Salum, akimkabidhi Seti ya Komputer Daktari wa Kituo cha Afya Unguja, Ndg Ahmed Hani Mohammed, kwa ajili ya kutunzia Kumbukumbu katika Kituo chao Shirikishi , msaada huo wa Kumputer umetolewa na Taasisi isiyo ya Kiserikali ya THPS,Komputer hizo zimekabidhiwa kwa Vituo vinane Unguja na Pemba makabidhiano hayo yamefanyika katika viwanja vya hoteli ya Mazsons Shandani Zanzibar.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar Halima Maulid...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Breaking News CCM Unguja Kiembe samaki ,Mahonda ,Chukwani wanaongoza baadhi ya vituo :CUF Malindi

kuchanganywa kwa form za wagombea Chukwani / Kiembe samaki kumesababisha mtafaruko na CCM kuibuka washindi watu wengine hawajapiga kura Jamani haya sio matokeo ya mwisho ni vituo tu,tusiwe na mumha mizani inaweza kulalia either side.. si […]

The post Breaking News CCM Unguja Kiembe samaki ,Mahonda ,Chukwani wanaongoza baadhi ya vituo :CUF Malindi appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Baadhi ya makosa yanayojitokeza katika baadhi ya magazeti ya kiswahili

MAKOSA  yanayojitokeza katika magazeti  mengi ya Kiswahili ni kutokana na waandishi kutokuwa makini na wengine kutokuwa na ujuzi wa kutosha katika sarufi na fasihi Ya Kiswahili

 

10 years ago

BBCSwahili

Spotify kujumuisha video na sauti

Huduma ya muziki ya Spotify imetangaza kuwa hivi karibuni itashirikisha sauti na kanda za video

 

10 years ago

Vijimambo

HAYA NDIO BAADHI YA MAAZIMIO YALIYOSABABISHA BUNGE KUAHIRISHWA KWA KUPINGA BAADHI YA MAADHIMIO YA KUWALINDA WATUHUMIWA WA SAKATA LA ESCROW



MAAZIMIO
Pendekezo la kwanza la kumkamata na kumfilisi bwana Seth lina marekebisho ya serikali, naibu waziri wa Sheria anasema haiwezekani

Pendekezo la pili kuhusu Rugemalira, serikali imeweka marekebisho kuhusu uhalali wa pesa za Rugemalira alizogawa

Azimio la TATU limerekebishwa kuwa waliopokea pesa wachunguzwe na kuchukuliwa hatua mahususi kwa mujibu wa sheria

Pendekezo la NNE. Kamati inazitaka mamlaka kuzitangaza benki za Mkombozi na Stanbic kama asasi za utakatishaji fedha
Azimio la 4...

 

11 years ago

Michuzi

Bila kujumuisha wanawake maendeleo ni ndoto: Manongi

Joseph Msami katika mahojiano na Balozi Manongi ''Bila kujumuisha wanawake hakuna maendeleo na radio inawezesha jukumu hilo"amesema Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa balozi Tuvako Manongi wakati wa mahojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa hii kuhusu umuhimu wa siku ya radio duniani February 13 kila mwaka. Balozi Manongi ambaye nchi yake itaongoza mjadala hapa Umoja wa Mataifa katika maadhimisho ya siku hiyo yenye kauli mbiu ya uwezeshaji wa kijinsia anaanza kwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hizi ni baadhi ya jumbe za baadhi ya Wasanii wa Bongo movies wakionyesha kuguswa na wimbi la mauaji ya ndungu zetu wenye ulemavu wa ngozi

Shamsa Ford:

“Yaani hata sijui nisemeje maana kila nikifikilia mwanadamu anayefanya ukatili huu wa kuwaua walemavu wa ngozi naumia sana.kikubwa naomba Mungu wote wanaohusika na huu unyama wakamatwe.. inshaallah Mwenyezi Mungu atasimamia kwa hili”.

Riyama Ally:

“Kiukweli siwezi kulala leo bila kusema haya nitakayosema.. hawa ni wenzetu na wanastahili tabasamu zaidi ya wanalolitoa wenyewe wanahitaji mapenzi yetu ya ziada.. lakini wapi binaadamu wenye uchu na tamaa za madaraka, pesa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani