Breaking News CCM Unguja Kiembe samaki ,Mahonda ,Chukwani wanaongoza baadhi ya vituo :CUF Malindi
kuchanganywa kwa form za wagombea Chukwani / Kiembe samaki kumesababisha mtafaruko na CCM kuibuka washindi watu wengine hawajapiga kura Jamani haya sio matokeo ya mwisho ni vituo tu,tusiwe na mumha mizani inaweza kulalia either side.. si […]
The post Breaking News CCM Unguja Kiembe samaki ,Mahonda ,Chukwani wanaongoza baadhi ya vituo :CUF Malindi appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
Mwakilishi Jimbo la Kiembe Samaki atimiza ahadi za Kampeni
Mwakilishi wa Jimbo la Kiembe samaki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (wakatikati) wakiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Jimbo la Kiembe Samaki Ramadhan Mrisho wa kushoto, kulia Mwenyekiti wa Kamati ya michezo ya Jimbo hilo Juma Abdul-rabi kabla ya kukabidhi pesa taslim na vifaa vya michezo kwa timu za Jimbo hilo ikiwa ni ahadi aliyoitoa wakati wa kampeni zake hafla hiyo imefanyika katika Hoteli ya Ocean View Mjini Zanzibar.
Diwani wa Jimbo la Kiembe samaki Bw. Gharib Mohamed Addy akizungumza na...
10 years ago
Vijimambo06 Aug
BREAKING NEWS IBRAHIMU LIPUMBA AJIUZULU UENYEKITI CUF
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/lipumba2.jpg)
Habari zlizotufikia hivi sasa zinasema mwenyekiti wa CUF Ibrahim Lipumba ameamua kujiuzulu wadhifa wake wa mwenyekiti katika chama hicho.
Vuguvugu za kujiuzulu kwake zilianza juzi katika mitandao ya kijamii baada ya mwenyekiti huyo kutoonekana kwenye mkutano mkuu wa UKAWA walipompitisha Edward Lowassa kupeperusha bendera ya UKAWA kwenye mbio za Urais 2015 na Juma Dudi Haji kama mgombea mwenza.
Vijimambo inaendelea kulifuatilia swala hili kwa karibu zaidi stay tuned.
10 years ago
Habarileo06 Aug
BREAKING NEWS: Profesa Lipumba ajiuzulu rasmi Uenyekiti CUF
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amejiuzulu rasmi wadhifa wake huo ndani ya chama kwa kikle alichokitaja kuwa ni kukiukwa kwa Katiba ya chama hicho.
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-LwSPfAk--4g/VhJxYPQEzpI/AAAAAAABJVI/2cI9z0k7HfY/s72-c/117.jpg)
BALOZI SEIF AWANADI WAGOMBEA UBUNGE NA UWAKILISHI JIMBO LA KIEMBE SAMAKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-LwSPfAk--4g/VhJxYPQEzpI/AAAAAAABJVI/2cI9z0k7HfY/s640/117.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mplr7IGwhSk/VhJxYUQTdcI/AAAAAAABJVQ/mIaJ_wwJKlw/s640/127.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-c-WmCtWdhVo/VhJxYXavjII/AAAAAAABJVM/Mkx10tXK7EE/s640/133.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9aVZEgTpNBI/U3vaww3NEpI/AAAAAAAFkBc/pYIdOhCW4Bs/s72-c/unnamed+(22).jpg)
Rais Dkt Shein Atembelea Bandari ya Malindi Unguja.
![](http://4.bp.blogspot.com/-9aVZEgTpNBI/U3vaww3NEpI/AAAAAAAFkBc/pYIdOhCW4Bs/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XrL1sPdRoiU/U3vawwTQwXI/AAAAAAAFkCI/fvUyIAIU2_Q/s1600/unnamed+(23).jpg)
11 years ago
Samaki By Election Results11 Feb
CUF Disputes Kiembe
AllAfrica.com
Zanzibar — THE Civic United Front (CUF) has disputed last Sunday's Kiembe-samaki by-election results which saw the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) winning by landslide victory. "The elections were yet another abuse of democracy, as many illegal ...
11 years ago
GPLMWAKILISHI WA JIMBO LA KIEMBE SAMAKI ATIMIZA AHADI KWA TIMU ZA JIMBO LAKE