Licha ya kuwa na wakati mgumu, Chelsea wameanza kusherehekea Christmas kwa style hii (+Pichaz)
Licha ya kuwa katika wakati mgumu katika michezo ya Ligi Kuu Uingereza, klabu ya Chelsea imeanza kusherehekea sikukuu ya Christmas kwa style hii, mastaa wa klabu ya Chelsea waliamua kuanza kusherehekea Christmas, kwa kutembelea wodi ya watoto ya hospitali ya West London. Mastaa hao wa Chelsea ambao timu yao ipo nafasi ya 16 katika msimamo wa Ligi Kuu […]
The post Licha ya kuwa na wakati mgumu, Chelsea wameanza kusherehekea Christmas kwa style hii (+Pichaz) appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Licha ya kuwa leo ni Sikukuu, lakini huu ndio muonekano wa Tanga Dec 25….(+Pichaz)
Leo Dec 25 ni siku ambayo Wakristo wa mataifa mbalimbali huisherehekea kama siku ya Christmas, Tanzania pia ikiwa ni miongoni mwa nchi hizo. Ingawa tumezoea kuona shamrashamra nyingi katika siku kama hii kwa maeneo mengi, hapa ripota wa millardayo.com anakusogezea picha kadhaa kutokea Mkoani Tanga hali inavyoonekana kwa siku hii ya leo. Unataka kutumiwa MSG za […]
The post Licha ya kuwa leo ni Sikukuu, lakini huu ndio muonekano wa Tanga Dec 25….(+Pichaz) appeared first on...
10 years ago
Bongo511 Dec
Diva kusherehekea Christmas kwa kutoa msaada kwa watoto yatima
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Wakati Man United na Chelsea ikiwaza namna ya kupata saini ya Pep Guardiola, kutana na pichaz zake akitalii Kenya …
Kocha wa klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola December 29 aliingia kwenye headlines baada ya kutua Kenya kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu ya Christimas na mwaka mpya, ujio wake Kenya uliwashangaza wengi kutokana na kuja kimya kimya. Ninazo pichaz za Pep Guardiola akitalii Kenya wakati ambao vilabu vya Chelsea na Man United vikitajwa kwa […]
The post Wakati Man United na Chelsea ikiwaza namna ya kupata saini ya Pep Guardiola, kutana na pichaz zake akitalii Kenya … appeared...
10 years ago
VijimamboSHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUSHEREHEKEA KUZALIWA KWA CCM ZA NOGA KAMA MCHARO NEW YORK LICHA YA THELUJI KUNYESHA SIKU MZIMA
10 years ago
Mzalendo Zanzibar10 Oct
Mh Magufuli akumbana na wakati mgumu kwa wafuasi wa Mh Luwassa
The post Mh Magufuli akumbana na wakati mgumu kwa wafuasi wa Mh Luwassa appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Saa chache zimebaki kusherehekea christmas lakini kwingine imepigwa marufuku!!
Najua wakristo wengi duniani wanahesabu saa chache kuifikia December 25, siku ambayo inasherehekewa sikukuu ya Christmas kila mwaka… kama na wewe umejiandaa vizuri na sherehe hiyo basi nikutakie heri mtu wangu, lakini stori ina kichwa cha habari tofauti kutoka Somalia. Serikali ya Somalia imepiga marufuku sherehe za christmas kwa siku ya kesho, moja ya sababu […]
The post Saa chache zimebaki kusherehekea christmas lakini kwingine imepigwa marufuku!! appeared first on...
10 years ago
Vijimambo
Mtihani mgumu kwa Ukawa .... isome makala hii kwa makini na mwishowe utoe maoni yako

9 years ago
MillardAyo25 Dec
Umesheherekea wapi Merry Christmas? Beach za Dar ilikuwa ni noma… (Pichaz)
Siku za weekend ni kawaida watu kushinda nyumbani na familia au kuwa sehemu wakibadilishana mawazo, wengine hutumia muda huo kutembelea ndugu na jamaa.. lakini inapofika Sikukuu huwa tofauti, wapo wanaopendelea kwenda sehemu za kuenjoy zaidi kwenye ufukwe wa bahari. Sasa hapa nimekusogezea picha 20 za watu mbalimbali wakisheherekea leo Dec 25 sikukuu ya Merry Christmas […]
The post Umesheherekea wapi Merry Christmas? Beach za Dar ilikuwa ni noma… (Pichaz) appeared first on...
10 years ago
Bongo527 Nov
Nick Cannon na Mariah Carey kula Christmas pamoja licha ya kuachana