Umesheherekea wapi Merry Christmas? Beach za Dar ilikuwa ni noma… (Pichaz)
Siku za weekend ni kawaida watu kushinda nyumbani na familia au kuwa sehemu wakibadilishana mawazo, wengine hutumia muda huo kutembelea ndugu na jamaa.. lakini inapofika Sikukuu huwa tofauti, wapo wanaopendelea kwenda sehemu za kuenjoy zaidi kwenye ufukwe wa bahari. Sasa hapa nimekusogezea picha 20 za watu mbalimbali wakisheherekea leo Dec 25 sikukuu ya Merry Christmas […]
The post Umesheherekea wapi Merry Christmas? Beach za Dar ilikuwa ni noma… (Pichaz) appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xT9VG5CUSro/VJqMiozQnaI/AAAAAAADSgs/_P9kVUj4um0/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
MERRY CHRISTMAS
![](http://4.bp.blogspot.com/-xT9VG5CUSro/VJqMiozQnaI/AAAAAAADSgs/_P9kVUj4um0/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
On Behalf of Management and Staff of Powercomputers and its all associated Brands/Companies - we thank you for giving us the opportunity to serve you and we greatly value your business with warm christmas holiday wishes
Our Offices will remain closed on Saturday 27th December 2014.
We shall resume work on Monday 29th December 2014.
On Behalf of Powercomputers.
10 years ago
Dewji Blog25 Dec
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXuSnHvpyxBMp2xG*xd7CienNeCI74-oMS3bsx0kf8unn9JAPYoq5eqsuYvR8ykvavNjhI4KRcwZjioW6yNemGuS/xmass.jpg)
9 years ago
Michuzi21 Dec
Merry Christmas, Happy New Year & Season Opening Hours
Team Nabaki Afrika
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Mastaa waliotoa ujumbe wa Merry Christmas leo Deo 25….. #instagram
Leo Dec 25 ni sikukuu ya Christmas sasa hapa nimekusogeza kile kilichoandikwa na mastaa mbalimbali kuhusiana na siku ya leo. Nawatakia mery xmass na mwaka mpya mashabiki wangu wa ukweli najua mnanipenda nami nawapenda sana! 😍😍😘😘😘😘 A photo posted by shishi bybee /she roll it (@shilolekiuno) on Dec 24, 2015 at 8:20pm PST Nawatakia heri […]
The post Mastaa waliotoa ujumbe wa Merry Christmas leo Deo 25….. #instagram appeared first on...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Licha ya kuwa na wakati mgumu, Chelsea wameanza kusherehekea Christmas kwa style hii (+Pichaz)
Licha ya kuwa katika wakati mgumu katika michezo ya Ligi Kuu Uingereza, klabu ya Chelsea imeanza kusherehekea sikukuu ya Christmas kwa style hii, mastaa wa klabu ya Chelsea waliamua kuanza kusherehekea Christmas, kwa kutembelea wodi ya watoto ya hospitali ya West London. Mastaa hao wa Chelsea ambao timu yao ipo nafasi ya 16 katika msimamo wa Ligi Kuu […]
The post Licha ya kuwa na wakati mgumu, Chelsea wameanza kusherehekea Christmas kwa style hii (+Pichaz) appeared first on...
9 years ago
Dewji Blog22 Aug
Beach Volleyball Tournament Dar 23rd August. 2015 Mbalamwezi Beach Club
Among of players of Volleyball team in group photo after exercise and registration at Mbalamwezi Beach Club today August 22.2015. (All Photo By Andrew Chale, modewjiblog)
Some group of the Players ..
Registration: 8:00 – 8:30 – since you registered in advance, your name will be on the list at the entrance to the club. The entrance for you is free. If you have any friends or relatives coming to support you or watch the matches, they will have to pay the entrance fee. The fee is 5000 TZS on...
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
Beach Volleyball Tournament Dar 22nd-23rd Agust, 2015 Mbalamwezi Beach Club
Place: Mbalamwezi Beach Club (Mbezi), the venue doesn’t allow any drinks or food to be brought inside. Big bottles of water will be on sale as well as full food menu will be available.
Registration: 8:00 – 8:30 – since you registered in advance, your name will be on the list at the entrance to the club. The entrance for you is free. If you have any friends or relatives coming to support you or watch the matches, they will have to pay the entrance fee. The fee is 5000 TZS on Sunday.
Try to...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Dar es Salaam na mishemishe zake, Kariakoo palikuwa hivi leo… (+Pichaz)
Ukiitaja Kariakoo moja kwa moja akili na mawazo ya watu wengi huenda kwenye zile mishemishe za pale katikati ya Jiji la Dar es Salaam. Jumatano ya January 6 2016 ndio inaishaisha hivyo, sio mbaya ukaona baadhi ya mitaa ya Kariakoo ilivyokuwa busy siku ya leo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard […]
The post Dar es Salaam na mishemishe zake, Kariakoo palikuwa hivi leo… (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.