Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mastaa waliotoa ujumbe wa Merry Christmas leo Deo 25….. #instagram

Leo Dec 25 ni sikukuu ya Christmas sasa hapa nimekusogeza kile kilichoandikwa na mastaa mbalimbali kuhusiana na siku ya leo. Nawatakia mery xmass na mwaka mpya mashabiki wangu wa ukweli najua mnanipenda nami nawapenda sana! 😍😍😘😘😘😘 A photo posted by shishi bybee /she roll it (@shilolekiuno) on Dec 24, 2015 at 8:20pm PST Nawatakia heri […]

The post Mastaa waliotoa ujumbe wa Merry Christmas leo Deo 25….. #instagram appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MERRY CHRISTMAS

Dear Esteem Customer
On Behalf of Management and Staff of Powercomputers and its all associated Brands/Companies - we thank you for giving us the opportunity to serve you and we greatly value your business with warm christmas holiday wishes
Our Offices will remain closed on Saturday 27th December 2014. 
We shall resume work on Monday 29th December 2014.
On Behalf of Powercomputers.

 

9 years ago

Michuzi

Merry Christmas, Happy New Year & Season Opening Hours

Nabaki Afrika Ltd would like to thank you for a wonderful year. We wish you a Merry Christmas and a Happy 2016.Our head office and branches will be closed for:Christmas - 24th, 25th, and 26th DecemberNew Year - 1st and 2nd JanuaryVisit our showroom this holiday season for a small gift from Nabaki Afrika to you.Once again, thank you for an amazing year!
Team Nabaki Afrika

 

9 years ago

MillardAyo

Umesheherekea wapi Merry Christmas? Beach za Dar ilikuwa ni noma… (Pichaz)

Siku za weekend ni kawaida watu kushinda nyumbani na familia au kuwa sehemu wakibadilishana mawazo, wengine hutumia muda huo kutembelea ndugu na jamaa.. lakini inapofika Sikukuu huwa tofauti, wapo wanaopendelea kwenda sehemu za kuenjoy zaidi kwenye ufukwe wa bahari. Sasa hapa nimekusogezea picha 20 za watu mbalimbali wakisheherekea leo Dec 25 sikukuu ya Merry Christmas […]

The post Umesheherekea wapi Merry Christmas? Beach za Dar ilikuwa ni noma… (Pichaz) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Na hizi ndio picha 10 za mastaa Instagram zilizopata likes nyingi duniani mwaka 2015

Instagram ni mtandao wa kijamii ambao umepata watu wengi sana kwa mwaka 2015, ni mtandao ambao kila mtumiaji anao uhuru wa kupost picha na video fupi za sekunde kumi na tano…. hesabu na mimi TOP 10 ya picha zilizopata likes nyingi mwaka huu wa 2015. 10 Hiyo picha hapo juu kama unavyoiona tu ni ya Kendall Jenner […]

The post Na hizi ndio picha 10 za mastaa Instagram zilizopata likes nyingi duniani mwaka 2015 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Diamond aongoza orodha ya mastaa wanaoishi Afrika wenye followers wengi zaidi Instagram

1663203_863176703798731_1287169950_n

Diamond Platnumz si tu msanii aliyechukua tuzo kubwa zaidi kuliko wasanii wote wa Afrika mwaka huu (MTV EMA – Best Worldwide Act: Africa/India), bali pia ndiye msanii anayeishi barani Afrika mwenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram kwa sasa.

1663203_863176703798731_1287169950_n

Awali nafasi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na msanii wa Nigeria, Davido.

Hata hivyo orodha ya mastaa waliofikisha followers milioni moja imeongozwa na watanzania.

Hii ni orodha kamili kwa mujibu wa namba za December, 29.

1. Diamond...

 

9 years ago

MillardAyo

Licha ya kuwa leo ni Sikukuu, lakini huu ndio muonekano wa Tanga Dec 25….(+Pichaz)

Leo Dec 25 ni siku ambayo Wakristo wa mataifa mbalimbali huisherehekea kama siku ya Christmas, Tanzania pia ikiwa ni miongoni mwa nchi hizo. Ingawa tumezoea kuona shamrashamra nyingi katika siku kama hii kwa maeneo mengi, hapa ripota wa millardayo.com anakusogezea picha kadhaa kutokea Mkoani Tanga hali inavyoonekana kwa siku hii ya leo. Unataka kutumiwa MSG za […]

The post Licha ya kuwa leo ni Sikukuu, lakini huu ndio muonekano wa Tanga Dec 25….(+Pichaz) appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani