Diva kusherehekea Christmas kwa kutoa msaada kwa watoto yatima
Mtangazaji wa Clouds FM, Loveness aka Diva, atasherehekea sikukuu ya Christmas kwa kutoa msaada kwa watoto yatima wanaolelewa kwenye kituo cha Kigamboni Orphanage. Msaada huo utatolewa chini ya taasisi yake ya Diva Giving For Charity. “Together we rise, ni new Project iliokaa chini kwa muda mrefu sana kukusanya michango ya hapa na pale ili kuwasaidia […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo519 Dec
Diva kusaidia watoto yatima siku ya Christmas
![11917989_166629733673746_101973509_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11917989_166629733673746_101973509_n-1-300x194.jpg)
Mtangazaji wa Clouds FM, Diva Gissele Malinzi aka The Bawse kupitia Diva Giving For Charity na Foundation yake ya Diva Foundation anatarajia kutoa msaada kwenye vituo vinavyolea watoto yatima.
Ili kufanikisha shughuli hiyo, Diva anaomba watu mbalimbali wamuunge mkono.
Kama una msaada wako wasiliana naye kwa number 0656 336919. Diva pia anapigwa tafu na Sigwa Herbal Clinic.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za...
9 years ago
MichuziGEPF WASHEREHEKEA MWAKA MPYA KWA KUTOA MSAADA WA KITUO CHA WATOTO YATIMA KIJIJI CHA FURAHA KILICHOPO MBWENI JIJINI DAR
10 years ago
Habarileo11 Jan
Tanesco yatoa msaada kwa watoto yatima Dar
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa misaada ya vitu mbalimbali na kupata chakula cha mchana na watoto yatima wanaolelewa kwenye kituo cha Chakuwama kilichopo Sinza, Dar es Salaam.
10 years ago
GPLBENDI YA DORIVA YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA
10 years ago
VijimamboTRA YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA - KAHAMA
10 years ago
Dewji Blog19 Jan
Nuru Group chatoa msaada kwa watoto yatima Sengerema
Mwenyekiti wa kikundi cha Nuru cha wilayani Sengerema mkoani Mwanza Bw. George Tumbo akitoa utangulizi wa katika katika hafla ya kutoa msaada kwa watoto yatima iliyofanyika kwenye kituo cha Sengerema Telecentre.
Na Daniel Makaka, Sengerema
Kikundi cha Nuru group kilichopo kata ya Ibisabageni wilayani Sengerema mkoa Mwanza kimetoa msaada wa Sare za shule, viatu, Kalamu na Madaftari kwa watoto yatima 30 pamoja na wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kuendelea masomo mwaka huu.
Hayo...
11 years ago
MichuziHALMSHAURI YA WILAYA IRINGA YAKABIDHI MSAADA KWA WATOTO YATIMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CpN40MU7MIHbE7HXSJSoMr0TgZ08Jw4ixN9K4nekU*xMrR6fi-LEzBb79utfEyxDiWWpS2Aoe90yodN8OFADBxU/1.jpg?width=650)
KIJUMOZ FUMIGATION & CLEANING YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA
10 years ago
GPLHIGH CLASS NA MKUBWA NA WANAWE WATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA