HALMSHAURI YA WILAYA IRINGA YAKABIDHI MSAADA KWA WATOTO YATIMA
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Iringa Pudenciana Kisaka akiwa katika picha ya pamoja na watoto yatima wa kituo Nyumbani kilichoko Ismani.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Iringa Pudenciana Kisaka akipanda mti katika shule ya msingi Igula katika Tarafa ya ismani
Wafanyakazi wa shirika la Restless Tanzania, Mwadawa na Amne wakitoa maelekezo kwa Mkurugenzi bg wa Halmashauri ya wilaya ya Iringa Pudenciana Kisaka juu ya shughuli za shirika hilo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziZIMAMOTO IRINGA WATOA MISAADA KWA WATOTO YATIMA
NA DENIS MLOWE,IRINGA
JESHI la Zimamoto mkoani Iringa limesheherekea sikukuu ya pasaka na watoto wanaoishi katika kituo cha kulea yatima cha Sister Theresia kilichoko Tosamaganga mkoani Iringa kwa kuwapatia misaada mbalimbali.
Akikabidhi msaada huo Kamanda wa Jeshi la Zimamoto mkoa wa Iringa Inspekta Kennedy...
11 years ago
Michuzi22 Feb
KAMPUNI YA MONABAN YAKABIDHI MSAADA WILAYA YA HAI KWA AJILI YA WAHANGA WA MAAFA
![DSCF2880](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/0TSqwTC1r8IFiV-gERF8PRYbUs45EF_jjVZn7XaOdfnowwzy7nGeEWMXYLcsjBrA_XD_u8Bz2gVcWkUL8VQPDgdQYtRh0y51XnYDFLwK563ceQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2880.jpg)
![DSCF2878](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/Dw645iXcfLR4Pqf3qf4kU0NWABigyGK4A6H3AdEKLvJDWmVxuBtN5XGp_3l6ovIJ1df_GXX-j6IDiy3cca6FrBUX88XbbGmb2DW1dziVNx0ZTQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2878.jpg)
10 years ago
MichuziBIOLANDS YAKABIDHI MSAADA WA AMBULANCE NISSAN PATROL KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA
10 years ago
MichuziAIRTEL YAKABIDHI FUTARI KWA WATOTO YATIMA KATIKA VITUO VITATU MKOANI DAR ES SALAAM.
10 years ago
MichuziMKURUGENZI WA KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA IRINGA GNSM ATOA MSAADA WA CHAKULA KWA YATIMA TOSAMAGANGA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
GPLBENDI YA DORIVA YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA
10 years ago
VijimamboTRA YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA - KAHAMA
10 years ago
Habarileo11 Jan
Tanesco yatoa msaada kwa watoto yatima Dar
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa misaada ya vitu mbalimbali na kupata chakula cha mchana na watoto yatima wanaolelewa kwenye kituo cha Chakuwama kilichopo Sinza, Dar es Salaam.
10 years ago
Bongo511 Dec
Diva kusherehekea Christmas kwa kutoa msaada kwa watoto yatima