MKURUGENZI WA KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA IRINGA GNSM ATOA MSAADA WA CHAKULA KWA YATIMA TOSAMAGANGA
MKurungenzi wa kampuni ya ujenzi wa barabara Iringa ya GNSM Bw Geofrey Mungai na mkewe Sarafina Mungia katikati wakikabidhi baada ya misaada yenye thamani ya zaidi ya Tsh milioni 1 kwa mlezi wa kituo cha yatima Tosamaganga Godfrida MhongoleBw Mungai akishuhudia jinsi watoto wanavyohudumiwa
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziHALMSHAURI YA WILAYA IRINGA YAKABIDHI MSAADA KWA WATOTO YATIMA
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Iringa Pudenciana Kisaka akiwa katika picha ya pamoja na watoto yatima wa kituo Nyumbani kilichoko Ismani.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Iringa Pudenciana Kisaka akipanda mti katika shule ya msingi Igula katika Tarafa ya ismani
Wafanyakazi wa shirika la Restless Tanzania, Mwadawa na Amne wakitoa maelekezo kwa Mkurugenzi bg wa Halmashauri ya wilaya ya Iringa Pudenciana Kisaka juu ya shughuli za shirika hilo.
11 years ago
MichuziKAMPUNI YA EXCEL YATOA MSAADA KWA KITUO CHA WATOTO YATIMA DAR
Kampuni ya EMOC imetoa msaada Kwa watoto yatima katika kituo cha New Life Orphanage Home kilichopo kigogo ambacho ni makao makuu ya kituo cha watoto yatima. New Life Orphanage Home ni kituo ambacho kimejitolea kulea watoto yatima wasiojiweza tangu mwaka 1998.
New Life Orphanage Home kilianzishwa Magomeni mwaka 1998 Kwa lengo la kusaidia watoto yatima, na kilianza na watoto 18 tu. New Life Orphanage Home kimefanikiwa kufungua kituo kikubwa zaidi Kigogo iliopo wilaya ya Kinondoni na kuwa...
New Life Orphanage Home kilianzishwa Magomeni mwaka 1998 Kwa lengo la kusaidia watoto yatima, na kilianza na watoto 18 tu. New Life Orphanage Home kimefanikiwa kufungua kituo kikubwa zaidi Kigogo iliopo wilaya ya Kinondoni na kuwa...
10 years ago
MichuziMBUNGE MGIMWA AKABIDHI MSAADA KWA TOSAMAGANGA
Mbunge wa jimbo la Kalenga Wilaya ya Iringa mkoani Iringa Bw Godfrey Mgimwa.
MBUNGE wa jimbo la kalenga Wilaya ya Iringa mkoani Iringa Bw Godfrey Mgimwa ametoa msaada wa bati 50 na vitu mbali mbali vyote Vikiwa na thamani ya zaidi ya Tsh milioni 3.5 kwa ajili ya watoto yatima wa kituo cha Tosamaganga kata y a Kalenga.
Mbunge huyo amekabidhi msaada leo Mbunge Mgimwa alisema kuwa amelazimika kutoa msaada huo kama sehemu ya kuhamasisha jamii hapa nchini kujenga utamaduni ya kusaidia watoto yatima...
MBUNGE wa jimbo la kalenga Wilaya ya Iringa mkoani Iringa Bw Godfrey Mgimwa ametoa msaada wa bati 50 na vitu mbali mbali vyote Vikiwa na thamani ya zaidi ya Tsh milioni 3.5 kwa ajili ya watoto yatima wa kituo cha Tosamaganga kata y a Kalenga.
Mbunge huyo amekabidhi msaada leo Mbunge Mgimwa alisema kuwa amelazimika kutoa msaada huo kama sehemu ya kuhamasisha jamii hapa nchini kujenga utamaduni ya kusaidia watoto yatima...
10 years ago
MichuziMBUNGE WA CHALINZE MHE. RIDHIWANI KIKWETE ATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA MVUA JIMBONI KWAKE
Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Chalinze Bw. Idd Swala (mwenye kanzu), ambaye alimwakilisha mbunge wa Jimbo hilo Mhe. Ridhiwani Kikwete akikabidhi kwa wakaazi wa Chalinze misaada ya chakula baada ya nyumba zao kuharibiwa vibaya kutokana na mvua kubwa iliyonyesha hivi karibuni.
5 years ago
MichuziARIFU ABRI ATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MBINGAMA PAWAGA,MKOANI IRINGA
Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kupitia Wilaya ya Iringa Vijijini Arifu Abri akiongea na vyombo vya habari mara baada ya kukabidhi msaada kwa ajili ya wahanga wa kitongoji cha Mbingama tarafa ya Pawaga.
NA FREDY MGUNDA, IRINGA.
MJUMBE wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kupitia Wilaya ya Iringa Vijijini Arifu Abri ametoa msaada wa chakula tani tatu kwa ajili ya wahanga wa mafuriko wa kijiji cha Isele kilichoko tarafa ya Pawaga wilaya ya Iringa vijijini mkoanbi Iringa kwa kuwa wanakabiliwa na...
5 years ago
MichuziKAMPUNI YA UUZAJI VIFAA VYA UJENZI FMJ YATOA MSAADA WA VITAKASA MIKONO KWA WAANDISHI WA HABARI ...YATUMA UJUMBE KWA WAJENZI
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali KUHUSU mapambano ya kupunguza kuenea Kwa ugonjwa wa Covid-19,Kampuni ya uuzaji wa vifaa vya ujenzi ya FMJ Hard Ware Lmt iliyopo Buguruni Kisiwani jijini Dar es Salaam imetoa msaada wa vitakasa mikono kwa vyombo vya habari.
Uongozi wa Kampuni hiyo umesema unatambua kazi kubwa inaayofanywa na vyombo vya habari hasa katika utoaji wa elimu na kuhabarisha umma kuhusu Corona, hivyo wameona haja ya kuwawezesha vitakasa mikono...
10 years ago
MichuziKAMPUNI ya Msama Promotions YATOA MSAADA WA VITU MBALI MBALI KWA VITUO 10 VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR
KAMPUNI ya Msama Promotions chini ya Mkurugenzi wake Alex Msama, jana ilikabidhi msaada wa vitu mbalimbali kwa vituo 10 vya kulea yatima ikiwa ni mwendelezo wa kusaidia makundi maalumu katika jamii.
Akikabidhi misaada hiyo katika ofisi zake zilizopo Kinondoni, jijini Dar es Salaam, Msama alisema misaada hiyo ni sehemu ya fedha za mauzo ya DVD za Tamasha la Pasaka la mwaka huu.
Msama alisema kupitia mauzo ya DVD za Tamasha hilo ambalo lilifanyika April 6 katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania