KAMPUNI YA EXCEL YATOA MSAADA KWA KITUO CHA WATOTO YATIMA DAR
Kampuni ya EMOC imetoa msaada Kwa watoto yatima katika kituo cha New Life Orphanage Home kilichopo kigogo ambacho ni makao makuu ya kituo cha watoto yatima. New Life Orphanage Home ni kituo ambacho kimejitolea kulea watoto yatima wasiojiweza tangu mwaka 1998.
New Life Orphanage Home kilianzishwa Magomeni mwaka 1998 Kwa lengo la kusaidia watoto yatima, na kilianza na watoto 18 tu. New Life Orphanage Home kimefanikiwa kufungua kituo kikubwa zaidi Kigogo iliopo wilaya ya Kinondoni na kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
Excel Management and Outsourcing Yatoa Misaada kwa Kituo cha watoto yatima msimbazi


10 years ago
Vijimambo04 Apr
Kampuni ya TTCL yatoa msaada kituo cha watoto yatima Chamazi


5 years ago
Michuzi
TCRA Kanda ya Mashariki yatoa msaada kwa Kituo Cha Watoto Yatima

Mwakilishi wa Mkuu wa Kanda ya Mashariki wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Vaolet Eseko akimkabidhi msaada kwa niaba ya Mkuu wa Kanda hiyo Mhandisi Lawi Odiero wa Vitakasa Mikono pamoja bidhaa za vyakula Mkurugenzi wa Kituo Cha Watoto Yatima Cha New Home Orphan Kilichopo Boko Jijini Dar es Salaam.
**********************************
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki imetoa msaada wa vitu mbalimbali katika Kituo cha Watoto Yatima Cha New Home Orphan Kilichopo...
10 years ago
Bongo520 Dec
Picha: Mkubwa na Wanawe yatoa msaada kwa kituo cha watoto yatima Temeke
10 years ago
Michuzi.jpg)
High Class Look na Mkubwa na Wanawe Yatoa Msaada kwa kituo cha Watoto Yatima temeke
10 years ago
Michuzi04 Apr
TTCL yatoa msaada kituo cha watoto yatima Chamazi


10 years ago
Vijimambo19 Jul
MTEMVU APOKEA MSAADA WA VYAKULA,NGUO ULIOTOLEWA NA KAMPUNI YA GOODONE KWA AJILI YA KITUO CHA YATIMA CHA ALQAM,TANDIKA DAR
(PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS / GPL)
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Mtemvu apokea msaada wa vyakula, nguo uliotolewa na kampuni ya Goodone kwa ajili ya kituo cha Yatima cha Alqam, Tandika Dar
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Good One, Wu Ya Hui (kushoto), akimkabidhi msaada wa vyakula na nguo, sabuni na vyombo Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu vilivyotolewa kwa Kituo cha Kulelea Yatima cha Darul Arqam cha Tandika, Dar es Salaam jana. Msaada huo uliombwa na mbunge huyo kwa kushirikiana na aliyewahi kuwa Makamu wa Rfais wa TFF, Athuman Nyamlani. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
Mtemvu akipokea sabuni kwa ajili ya kituo hicho.
Mtemvu akipoea balo la...
10 years ago
GPLMTEMVU APOKEA MSAADA WA VYAKULA, NGUO ULIOTOLEWA NA KAMPUNI YA GOODONE KWA AJILI YA KITUO CHA YATIMA CHA ALQAM, TANDIKA DAR