Nuru Group chatoa msaada kwa watoto yatima Sengerema
Mwenyekiti wa kikundi cha Nuru cha wilayani Sengerema mkoani Mwanza Bw. George Tumbo akitoa utangulizi wa katika katika hafla ya kutoa msaada kwa watoto yatima iliyofanyika kwenye kituo cha Sengerema Telecentre.
Na Daniel Makaka, Sengerema
Kikundi cha Nuru group kilichopo kata ya Ibisabageni wilayani Sengerema mkoa Mwanza kimetoa msaada wa Sare za shule, viatu, Kalamu na Madaftari kwa watoto yatima 30 pamoja na wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kuendelea masomo mwaka huu.
Hayo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CK3aS3yeS-U/VOtO6_plPlI/AAAAAAABmQY/T9jy4KCPw4k/s72-c/CBE.jpg)
Chuo cha Biashara Dae-es-Salaam (CBE) Chatoa Msaada kwa Wadi za Wazazi na Watoto Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja
![](http://1.bp.blogspot.com/-CK3aS3yeS-U/VOtO6_plPlI/AAAAAAABmQY/T9jy4KCPw4k/s640/CBE.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2k2fPrjmCG0/VOtO-hDvw4I/AAAAAAABmQg/6lFzkoHjBNc/s640/CBE%2B2.jpg)
10 years ago
GPLBENDI YA DORIVA YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA
10 years ago
VijimamboTRA YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA - KAHAMA
10 years ago
Habarileo11 Jan
Tanesco yatoa msaada kwa watoto yatima Dar
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa misaada ya vitu mbalimbali na kupata chakula cha mchana na watoto yatima wanaolelewa kwenye kituo cha Chakuwama kilichopo Sinza, Dar es Salaam.
10 years ago
Bongo511 Dec
Diva kusherehekea Christmas kwa kutoa msaada kwa watoto yatima
11 years ago
MichuziHALMSHAURI YA WILAYA IRINGA YAKABIDHI MSAADA KWA WATOTO YATIMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CpN40MU7MIHbE7HXSJSoMr0TgZ08Jw4ixN9K4nekU*xMrR6fi-LEzBb79utfEyxDiWWpS2Aoe90yodN8OFADBxU/1.jpg?width=650)
KIJUMOZ FUMIGATION & CLEANING YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA
10 years ago
GPLHIGH CLASS NA MKUBWA NA WANAWE WATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U_ugP0RE2V4/XozDVmkWvpI/AAAAAAALmbQ/7iGNFAGa5jIZWkn8RFafmwTUYM7K0S2xQCLcBGAsYHQ/s72-c/a6a54688-48d6-4e35-8edd-637c0fd94e1b.jpg)
TCRA Kanda ya Mashariki yatoa msaada kwa Kituo Cha Watoto Yatima
![](https://1.bp.blogspot.com/-U_ugP0RE2V4/XozDVmkWvpI/AAAAAAALmbQ/7iGNFAGa5jIZWkn8RFafmwTUYM7K0S2xQCLcBGAsYHQ/s640/a6a54688-48d6-4e35-8edd-637c0fd94e1b.jpg)
Mwakilishi wa Mkuu wa Kanda ya Mashariki wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Vaolet Eseko akimkabidhi msaada kwa niaba ya Mkuu wa Kanda hiyo Mhandisi Lawi Odiero wa Vitakasa Mikono pamoja bidhaa za vyakula Mkurugenzi wa Kituo Cha Watoto Yatima Cha New Home Orphan Kilichopo Boko Jijini Dar es Salaam.
**********************************
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki imetoa msaada wa vitu mbalimbali katika Kituo cha Watoto Yatima Cha New Home Orphan Kilichopo...