Diva kusaidia watoto yatima siku ya Christmas
Mtangazaji wa Clouds FM, Diva Gissele Malinzi aka The Bawse kupitia Diva Giving For Charity na Foundation yake ya Diva Foundation anatarajia kutoa msaada kwenye vituo vinavyolea watoto yatima.
Ili kufanikisha shughuli hiyo, Diva anaomba watu mbalimbali wamuunge mkono.
Kama una msaada wako wasiliana naye kwa number 0656 336919. Diva pia anapigwa tafu na Sigwa Herbal Clinic.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo511 Dec
Diva kusherehekea Christmas kwa kutoa msaada kwa watoto yatima
10 years ago
CloudsFM17 Dec
DIVA LOVENESS KULA X-MASS NA WATOTO YATIMA
Diva alisema kuwa pamoja na kula nao pia atatoa misaada na vifaa mbalimbali vya shule kwa watoto hao.
Mtangazaji huyo ambaye ameandaa tukio maalum kwa ajili ya kuwakumbuka na kusherehekea maisha ndugu zetu waliotutangulia mbele iitwayo lighters itakayofanyika Club Maisha amesema asilima 25 ya mapato itapelekwa kwa...
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Hata wewe unaweza kuungana na Diva the Bawse siku ya Christmas kuikamilisha hii..
Kwa wale watu wa ‘Ala za Roho’ ya Clouds FM najua jina la Diva sio geni kwao, mtu wa nguvu kabisa ambaye huwa anadondosha love stories kuanzia saa nne usiku Jumatatu mpaka Alhamisi. Love yake inaendelea na yuko tayari kuisogeza kwa watu wengine pia, Christmas ni Ijumaa ijayo, siku chache zimebaki kuifikia lakini mrembo Diva kaona […]
The post Hata wewe unaweza kuungana na Diva the Bawse siku ya Christmas kuikamilisha hii.. appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Dewji Blog17 Jun
DC Makete atoa rai kwa jamii ya Makete kusaidia watoto yatima na waishio kwenye mazingira hatarishi
Mkuu wa wilaya ya Makete mwenye suti nyeusi (aliyesuka nywele) Mh. Josephine Matiro, mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu Helen Kijo Bisimba (kulia kwa mkuu wa wilaya) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watoto walioshiriki maadhimisho hayo.
Na Mwandishi wetu
Imeelezwa kuwa ni jukumu la kila mmoja kuwasaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi, na si kuiachia serikali ama mashirika yasiyo ya kiserikali peke yao kufanya kazi hiyo
Kauli hiyo imetolewa...
11 years ago
Bongo523 Jul
Picha: B 12 wa Clouds FM alivyosheherekea siku yake ya kuzaliwa na watoto yatima
11 years ago
Michuzi16 Jun
MKUU WA WILAYA YA MAKETE ATOA RAI KWA JAMII YA MAKETE KUSAIDIA WATOTO YATIMA NA WAISHIO KWENYE MAZINGIRA HATARISHI
11 years ago
GPLMKUU WA WILAYA YA MAKETE ATOA RAI KWA JAMII YA MAKETE KUSAIDIA WATOTO YATIMA NA WAISHIO KWENYE MAZINGIRA HATARISHI
10 years ago
MichuziKADA WA CCM OLIVIA SANARE ATUMIA SIKU YAKE YA KUZALIWA KUWAKUMBUKA WATOTO YATIMA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Vijimambo08 Jan
HON:MWIGULU NCHEMBA AMETIMIZA MIAKA 40,ATUMIA SIKU YAKE KUCHANGIA DAMU,KUSALIMIA WATOTO YATIMA NA KUJULIA HALI WODI YA AKINAMAMA MWANANYAMALA
![](https://scontent-b-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10897865_329746773894224_4022456051591544317_n.jpg?oh=be0597820698fe745c8ef1586a88fa52&oe=552A298C)
![](https://scontent-b-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10882217_329746427227592_4179705944178273149_n.jpg?oh=61f6d683b1626534e8facd3129906710&oe=552C5873)
![](https://scontent-a-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10898113_329746323894269_6194214166908858610_n.jpg?oh=20119484b632aa1ad593d128c2444e46&oe=5529BEB4)
![](https://scontent-b-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10922597_329746390560929_5325005376744490175_n.jpg?oh=6c72c1f8845446f8f502e20774f8c614&oe=552426FB)
![](https://scontent-a-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/10455108_329746343894267_75948755781323776_n.jpg?oh=87f3a1abb08b410bcf1cf8ee903fd47e&oe=553D7299)
![](https://scontent-a-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10906410_329746340560934_6172623314834056529_n.jpg?oh=4a56ba23281507226f5b3f7b2f89d720&oe=5536FDDA)