Picha: B 12 wa Clouds FM alivyosheherekea siku yake ya kuzaliwa na watoto yatima
July 22 ilikuwa ni siku ya kuzaliwa ya mtangazaji wa kipindi cha XXL Hamis Mandi aka B12. B dozen aliamua kusheherekea siku yake ya kuzaliwa pamoja na watoto yatima wa kituo cha ‘Chakuwama’ kilichopo Sinza Meeda, kwa kufuturu pamoja na kukata keki pamoja nao, huku nakiwa amesindikizwa na Bob Juniour, Shilole na wengine..
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKADA WA CCM OLIVIA SANARE ATUMIA SIKU YAKE YA KUZALIWA KUWAKUMBUKA WATOTO YATIMA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
CloudsFM26 Jan
MTANGAZAJI WA CLOUDS FM, HUSNA ABDUL ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KATIKA HOSPITALI YA AMANA.
MTANGAZAJI wa Clouds kupitia kipindi cha Leo Tena Husna Abdul jana alisherekea siku yake ya kuzaliwa katika Hospitali ya Amana ambako alizaliwa miaka kadhaa iliyopita.
Husna Abdul ambaye pia ameteuliwa kuwa BALOZI WA KUJITOLEA WA WATOTO katika hospitali hiyo, leo aliambatana na wafanyakazi wa Clouds, wasanii wa muziki, wadau na wasikilizaji wa clouds.
Husna alitoa misaada ya vifaa tiba katika wodi ya wazazi katika hospitali hiyo ya Amana, kama sehemu ya maadhimisho ya siku yake ya kuzaliwa.
Kwa...
11 years ago
Michuzi16 Mar
MISS TABORA 2012 ATEMBELEA KITUO CHA WATOTO NA KUFURAHIA SIKU YAKE YA KUZALIWA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-WSqgkt0mmvA%2FUySOuem0EyI%2FAAAAAAAAD7o%2FH-wgpLcdTro%2Fs1600%2FIMG_7128.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-6TQLJBIm8As%2FUySOVwojIwI%2FAAAAAAAAD7M%2Fz__ZsjR4Tr0%2Fs1600%2FIMG_7110.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-7Cgkl8v-gtw%2FUySOV0aLM7I%2FAAAAAAAAD7I%2FwQa0iByw7d4%2Fs1600%2FIMG_7111.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-yMzFAeLwdLM%2FUySOh523OSI%2FAAAAAAAAD7k%2FsJsaJAVjkeI%2Fs1600%2FIMG_7120.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-YzDNVVtEoQs%2FUySNm5TQbfI%2FAAAAAAAAD5o%2Fmo13dFLdnug%2Fs1600%2FIMG_7046.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Vijimambo08 Jan
HON:MWIGULU NCHEMBA AMETIMIZA MIAKA 40,ATUMIA SIKU YAKE KUCHANGIA DAMU,KUSALIMIA WATOTO YATIMA NA KUJULIA HALI WODI YA AKINAMAMA MWANANYAMALA
![](https://scontent-b-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10897865_329746773894224_4022456051591544317_n.jpg?oh=be0597820698fe745c8ef1586a88fa52&oe=552A298C)
![](https://scontent-b-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10882217_329746427227592_4179705944178273149_n.jpg?oh=61f6d683b1626534e8facd3129906710&oe=552C5873)
![](https://scontent-a-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10898113_329746323894269_6194214166908858610_n.jpg?oh=20119484b632aa1ad593d128c2444e46&oe=5529BEB4)
![](https://scontent-b-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10922597_329746390560929_5325005376744490175_n.jpg?oh=6c72c1f8845446f8f502e20774f8c614&oe=552426FB)
![](https://scontent-a-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/10455108_329746343894267_75948755781323776_n.jpg?oh=87f3a1abb08b410bcf1cf8ee903fd47e&oe=553D7299)
![](https://scontent-a-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10906410_329746340560934_6172623314834056529_n.jpg?oh=4a56ba23281507226f5b3f7b2f89d720&oe=5536FDDA)
10 years ago
Bongo526 Jan
Mtangazaji wa Clouds FM Da’Huu asherehekea siku ya kuzaliwa kwa kutoa msaada Amana
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.
Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...
10 years ago
CloudsFM03 Feb
PETIT MAN AMFANYIA ‘’SURPRISE’DADA YAKE DIAMOND KWENYE SIKU YAKE YA KUZALIWA
Meneja wa msanii wa Bongo Fleva,Mirror,Petit Man kutoka kampuni ya Endless Fame chini yake Wema Sepetu jana alimfanyia Surprise mke wake ambaye ni dada yake aitwaye Esma Platinumz kwa kumzawadia zawadi ya gari kwenye sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika Samaki Samaki maeneo ya Masaki.
Katika Sherehe iliyohudhuliwa na mastaa kibao akiwemo Wema Sepetu,Petit Man wakati akimzawadia mke wake huyo hakuamini na kuanza kulia kwa furaha.
Kupitia Instagram Esma aliandika hivi....Thank u my husband for...
10 years ago
GPLWASTARA ASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA NA WATOTO