MISS TABORA 2012 ATEMBELEA KITUO CHA WATOTO NA KUFURAHIA SIKU YAKE YA KUZALIWA
Mrembo Sarah Paul aliposhiriki furaha yake ya siku ya kuzaliwa na watoto wa kituo cha TZ 820 FPTC NG'AMBO STUDENT CENTER - Kilichopo Tabora.
Kila mmoja alipata nafasi ya kufurahia keki iliyoandaliwa maalumu kwa watoto hao.
Baadhi ya vitu alivyowaandalia watoto hao na kuvikabidhi kwenye shirika hilo.
Sarah Paul, mshindi wa shindano la urembo la Redds Miss Tabora 2012, ambaye pia mwaka jana alishiriki katika shindano hilo hadi kufikia fainali za Miss Tanzania.
****
Leo katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cM24Tk72kc4/VO62LKMk8sI/AAAAAAAHF7w/MHYlmLLytVw/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
MISS UNIVERSE NALE BONIFACE ATEMBELEA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALBINO) CHA SALVATION ARMY JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-cM24Tk72kc4/VO62LKMk8sI/AAAAAAAHF7w/MHYlmLLytVw/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dVm2XXwOEwM/VO62MqHot6I/AAAAAAAHF8E/8ND71291Uas/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
10 years ago
Vijimambo22 Oct
CHETI CHA KUZALIWA CHA MISS TANZANIA KILITOLEWA SIKU 4 KABLA YA KAMBI YA WASHIRIKI WA MISS TANZANIA KUANZA
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Sitti-Mtevu--0ctober22-2014.jpg)
Mkurugenzi wa kampuni ya Lino International Agency, Hashim Lundenga (kulia) akionyesha cheti cha kuzaliwa cha Miss Tanzania 2014, Sitti Mtevu kilichoandikwa amezaliwa mwaka 1991 wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana. Picha: Omar Fungo
Sakata la umri halisi wa mrembo mpya wa Tanzania mwaka huu 'Redd's Miss Tanzania 2014', Sitti Mtemvu bado linaendelea kuchukua sura mpya baada ya mshindi huyo wa taji la taifa kuwasilisha cheti cha kuzaliwa ambacho kimetolewa siku...
11 years ago
Bongo523 Jul
Picha: B 12 wa Clouds FM alivyosheherekea siku yake ya kuzaliwa na watoto yatima
10 years ago
MichuziKADA WA CCM OLIVIA SANARE ATUMIA SIKU YAKE YA KUZALIWA KUWAKUMBUKA WATOTO YATIMA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
MichuziMiss Ilala 2014 ashiriki chakula cha mchana na Watoto wa Kituo cha Mwana Orphans Centre
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KDnL0S7_f9I/VUADwHsHhEI/AAAAAAAHT7w/1iAVy8xaIrA/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Mhe Pindi Chana atembelea kituo cha kulelea Watoto
9 years ago
Bongo Movies18 Nov
Picha: Wema Atembelea Kituo cha Kulelea Watoto Yatima Arusha
Mapema jana staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu aliwatembelea watoto yatima wanaolelewa kwenye kituo cha Good Hope Orphanage kilichopo maeneo ya Usa-River jijini Arusha ambapo staa huyo alitoa msaada wa chakula na vitu mbalimbali kwa watoto hao.
Hizi ni baadhi ya picha za tukio zima alizoziweka kwenye ukurasa wake intsgaram.
Mungu akuzidishie moyo wa huruma Wema Sepetu
10 years ago
VijimamboQUEEN ASHSEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NDANI YA KIOTA CHA SAFARI
10 years ago
Michuzi![](https://lh3.googleusercontent.com/-zO9ZvfsY1Po/VTN5YfjPgHI/AAAAAAAB7Ps/sj_l_JelwBg/s72-c/blogger-image-1554652335.jpg)
ZITTO ATEMBELEA KITUO CHA WATOTO WALEMAVU WA NGOZI, MACHO NA MASIKIO SHINYANGA
![](https://lh3.googleusercontent.com/-zO9ZvfsY1Po/VTN5YfjPgHI/AAAAAAAB7Ps/sj_l_JelwBg/s640/blogger-image-1554652335.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-LzZ_ADyBW9g/VTN5g_8Q_NI/AAAAAAAB7QE/ASOT0gJzfXU/s640/blogger-image--1403542051.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-_DPm_ItS2-8/VTN5u3hlMCI/AAAAAAAB7QM/qoGafuPnZ2Q/s640/blogger-image-1855899786.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-ZZtH7q0j-to/VTN5bUOTrCI/AAAAAAAB7P0/50ObRLvkatw/s640/blogger-image--1382500650.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-cE24aH91Qyw/VTN5VyEJvrI/AAAAAAAB7Pk/9A7lQHhthTw/s640/blogger-image-1699539164.jpg)
Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, akizungumza na watoto walemavu wenye albinism,walemavu wa macho na kusikia waliopo kwenye kituo cha kuwahifadhi cha...