QUEEN ASHSEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NDANI YA KIOTA CHA SAFARI
Queen (kati aliekaa) akipata picha ya pamoa wakati alipokuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa ndani ya kiota cha Safari kilichopo Washington, DC.
Queen wapili toka kushoto akiwa na marafiki zake akipata picha ya pamoja na marafiki siku ya Jumamosi Desemba 27, 2014 alipokua akisherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Queen akiwa na marafiki zake.
Queen na rafiki yake.kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Bongo Movies23 Dec
Faiza Kufunguka Kisa Cha Kuvaa Diaper (Pampers) Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa!!!!
KALI YA WIKI: Kwa iliyopita hii ndio ilikuwa kali ya mwaka kwa mwigizaji wa filamu Faiza Ally, kuvaa Diaper wavaayo watoto kuhifadhi haja zao maarufu kama ‘pempasi’ kwenye kusherekea siku yake ya kuzaliwa.
Tukio hilo lilitokea juzikati katika Hotel ya Sea Cliff iliyopo Masaki jijini Dar, ambako walialikwa watu wachache kwa ajili ya kula chakula cha jioni pamoja.
Faiza ambaye amezaa mtoto na Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ leo atakuwepo kwenye kipindi cha TAKEONE, kwamujibu...
11 years ago
Michuzi16 Mar
MISS TABORA 2012 ATEMBELEA KITUO CHA WATOTO NA KUFURAHIA SIKU YAKE YA KUZALIWA





10 years ago
Bongo516 Sep
2Face kutoa kitabu chake cha historia ‘A Very Good Bad Guy’ kwenye siku yake ya kuzaliwa
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.
Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...
10 years ago
CloudsFM03 Feb
PETIT MAN AMFANYIA ‘’SURPRISE’DADA YAKE DIAMOND KWENYE SIKU YAKE YA KUZALIWA
Meneja wa msanii wa Bongo Fleva,Mirror,Petit Man kutoka kampuni ya Endless Fame chini yake Wema Sepetu jana alimfanyia Surprise mke wake ambaye ni dada yake aitwaye Esma Platinumz kwa kumzawadia zawadi ya gari kwenye sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika Samaki Samaki maeneo ya Masaki.
Katika Sherehe iliyohudhuliwa na mastaa kibao akiwemo Wema Sepetu,Petit Man wakati akimzawadia mke wake huyo hakuamini na kuanza kulia kwa furaha.
Kupitia Instagram Esma aliandika hivi....Thank u my husband for...
10 years ago
Michuzi
JK ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WAJUKUU





11 years ago
GPL
H.BABA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA