Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTANGAZAJI WA CLOUDS FM, HUSNA ABDUL ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KATIKA HOSPITALI YA AMANA.

MTANGAZAJI wa Clouds kupitia kipindi cha Leo Tena Husna Abdul jana alisherekea siku yake ya kuzaliwa katika Hospitali ya Amana ambako alizaliwa miaka kadhaa iliyopita.Husna Abdul ambaye pia ameteuliwa kuwa BALOZI WA KUJITOLEA WA WATOTO katika hospitali hiyo, leo aliambatana na wafanyakazi wa Clouds, wasanii wa muziki, wadau na wasikilizaji wa clouds.Husna alitoa misaada ya vifaa tiba katika wodi ya wazazi katika hospitali hiyo ya Amana, kama sehemu ya maadhimisho ya siku yake ya kuzaliwa.Kwa...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mtangazaji wa Clouds FM Da’Huu asherehekea siku ya kuzaliwa kwa kutoa msaada Amana

Mtangazi wa Clouds FM kupitia kipindi cha Leo Tena, Husna Abdul aka Da’Huu akiambana wa wasanii wa muziki ameshereekea siku yake ya kuzaliwa weekend hii katika hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam kwa kutoa msaada wa vitu mbalimbali. Husna Abdul ambaye pia ameteuliwa kuwa BALOZI WA KUJITOLEA WA WATOTO katika hospitali hiyo, aliambatana na […]

 

10 years ago

GPL

WEMA SEPETU ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ akijiandaa kukata keki yake ya siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Kijitonyama. Wema Isaac Sepetu akiongea na wageni wake (hawapo pichani) kabla ya kukata Ndafu.…

 

10 years ago

Vijimambo

ZAINABU 'IKOTA' MHAMILA ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

Zainabu 'IKOTA' Mhamila kushoto akimlisha keki mama yake mzazi Asha Kamnyanga wakati wa kusherekea siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika juzi nyumbani kwao buguruni LozanaZainabu 'Ikota' mhamila 'Super D' akiwa katika pozi uku akiwa na keki yakeZainabu 'Ikota' mhamila 'Super D' akiwa katika picha ya pamoja na rafikizake siku ya kusherekea siku yake ya kuzaliwaZainabu 'IKOTA' Mhamila kushoto akimlisha keki mama yake mzazi Asha Kamnyanga wakati wa kusherekea siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika...

 

9 years ago

Michuzi

SHEKHA NASSER wa Shear illusions ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

 Shekha Nasser ni mmoja wa wanawake wajasiliamali wa siku nyingi hapa nchini na hasa kwenye maswala mazima ya Urembo kwa kina Dada.
 siku kadhaa zilizopita, Shekha alisherehekea siku yake ya kuzaliwa ambapo aliamua kujumuika pamoja na wafanyakazi wake katika kusherehekea siku yake hiyo ya kuzaliwa kwa kula mlo wa jioni pamoja pia na washiriki wa Manjano Dream-makers. 
Ikiwa ni utamaduni wa kampuni yake kufanya sherehe ya kuuaga mwaka alitumia kuadhimisha  siku yake ya kuzaliwa pamoja na...

 

9 years ago

Michuzi

MAMA SHEKHA NASSER ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WANAWAKE WAJASIRIAMALI WA JIJI LA DAR ES SALAAM

Mama Shekha Nasser Akikata Keki ikiwa ni kuadhimisha  siku yake ya kuzaliwa.Mama Shekha Nasser aliamua kusherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kula mlo wa jioni pamoja na wafanyakazi wake wote wakiwa na washiriki wa Manjano Dream-makers. 

Ikiwa ni utamaduni wa kampuni yake kufanya sherehe ya kuuaga mwaka alitumia kuadhimisha  siku yake ya kuzaliwa pamoja na wanawake Wajasiriamali wa Taasisi yake aliyoianzisha ya Manjano Foundation ambayo amewawezesha kwa kuwapa mafunzo ya ujasiriamali...

 

11 years ago

Bongo5

Picha: B 12 wa Clouds FM alivyosheherekea siku yake ya kuzaliwa na watoto yatima

July 22 ilikuwa ni siku ya kuzaliwa ya mtangazaji wa kipindi cha XXL Hamis Mandi aka B12. B dozen aliamua kusheherekea siku yake ya kuzaliwa pamoja na watoto yatima wa kituo cha ‘Chakuwama’ kilichopo Sinza Meeda, kwa kufuturu pamoja na kukata keki pamoja nao, huku nakiwa amesindikizwa na Bob Juniour, Shilole na wengine..

 

9 years ago

Michuzi

MPIGANAJI WA MTAA KWA MTAA BLOG,MR. PENGO WA MBEYA ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

Kutoka shoto ni Mpiganaji Fadhiri Atick a.k.a Mr.Pengo akimlisha Keki Mama yake Mzazi Stumai Maneno kama heshima katika Hafla ya Sherehe ya kuzaliwa kwa mwana Libeneke Fadhiri Atick kutimiza Miaka kadhaa iliyo fanyika nyumbani kwao huko jijini mbeya jana Tar.07-09-2015.Kutoka kulia ni Tecla Rashid na Fadhiri Atiki akizungumza jambo katika Hafla hiyo....Kutoka Shoto ni Mrs.Lweja akimpongeza Mwanalibeneke Fadhiri Atick a.k.a Mr.Pengo Katika HafLa hiyo ya kusherehekea Siku ya Kuzaliwa kwa...

 

9 years ago

MillardAyo

Madee kamuandikia wimbo huu Marehemu Abdul Bonge kwenye siku yake ya kuzaliwa.

Ilikua ni Jumamosi ya March 28 2015 ambapo zilianza kusambaa taarifa za kifo cha Miongoni mwa Waanzilishi wa kundi la Tip Top Connection Abdul Bonge,kifo ambacho inasemekana kilisababishwa na ugomvi ambao Marehemu Abdul Bonge alienda kuamulia kwa bahati mbaya akasukumwa akadondoka na kufariki. Madee kaamua kuingia studio na kurekodi wimbo huu kwa ajili ya kumbukumbu […]

The post Madee kamuandikia wimbo huu Marehemu Abdul Bonge kwenye siku yake ya kuzaliwa. appeared first on...

 

10 years ago

GPL

DIDA ASHEREKEA SIKU YA KUZALIWA KWAKE

Mtangazaji wa Kituo cha Times FM, Hadija Shaibu akikata keki kwenye sherehe ya kuzaliwa kwake iliyofanyika nyumbani kwake Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Msanii wa filamu Bongo JB, akilishwa kipande cha keki na Dida mara baada ya zoezi la kulishana kuanza.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani