Madee kamuandikia wimbo huu Marehemu Abdul Bonge kwenye siku yake ya kuzaliwa.
Ilikua ni Jumamosi ya March 28 2015 ambapo zilianza kusambaa taarifa za kifo cha Miongoni mwa Waanzilishi wa kundi la Tip Top Connection Abdul Bonge,kifo ambacho inasemekana kilisababishwa na ugomvi ambao Marehemu Abdul Bonge alienda kuamulia kwa bahati mbaya akasukumwa akadondoka na kufariki. Madee kaamua kuingia studio na kurekodi wimbo huu kwa ajili ya kumbukumbu […]
The post Madee kamuandikia wimbo huu Marehemu Abdul Bonge kwenye siku yake ya kuzaliwa. appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM01 Apr
10 years ago
CloudsFM26 Jan
MTANGAZAJI WA CLOUDS FM, HUSNA ABDUL ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KATIKA HOSPITALI YA AMANA.
MTANGAZAJI wa Clouds kupitia kipindi cha Leo Tena Husna Abdul jana alisherekea siku yake ya kuzaliwa katika Hospitali ya Amana ambako alizaliwa miaka kadhaa iliyopita.
Husna Abdul ambaye pia ameteuliwa kuwa BALOZI WA KUJITOLEA WA WATOTO katika hospitali hiyo, leo aliambatana na wafanyakazi wa Clouds, wasanii wa muziki, wadau na wasikilizaji wa clouds.
Husna alitoa misaada ya vifaa tiba katika wodi ya wazazi katika hospitali hiyo ya Amana, kama sehemu ya maadhimisho ya siku yake ya kuzaliwa.
Kwa...
11 years ago
Bongo Movies15 Jul
Huu ni ujumbe wa Kajala kwenda kwa mtoto wake leo kwenye siku ya kuzaliwa kwa binti yake huyo.
Miaka 12 iliyopita sikuwahi kujua kama itafikia siku nitajisikia hiki ninachofeel siku ya leo.. nimepitia mambo mengi sana na wewe.. nimepata shida nyingi mno lakini sikukuacha wala kukutupa.. kwenye jua ama mvua, iwe usiku ama mchana katika mitihani yote niliyopitia nilikuwa na wewe tu mwanangu.. ulikuwa kama pochi yangu.. bila kujua kesho utakuwa NANI!! nilikupenda tangu siku ya kwanza nakuona.. nilikuthamini na kuahidi nafsi yangu kuwa nitakufa na wewe katika hali yoyote ile bila kujua...
9 years ago
Bongo514 Nov
Stamina asherehekea siku yake ya kuzaliwa na wimbo mpya ‘Mr Bonventure’
![12237338_1516367548673634_1513271570_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12237338_1516367548673634_1513271570_n-300x194.jpg)
Rapper Stamina Jumamosi hii anasherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kuachia wimbo mpya uitwao Mr Bonventure unaoelezea historia ya maisha yake kama bonus kwa mashabiki wake.
Stamina ameiambia Bongo5 kuwa amefanya hivyo ili mashabiki wajue ni jinsi gani walivyobadili maisha yake.
“Nashukuru Mungu, media pamoja na mashabiki wangu. Huu wimbo niliotoa ni kwa ajili yao kama bonus track, unaelezea maisha yangu kwa ujumla na kazi yangu official itatoka hivi karibuni. Kwahiyo wimbo tayari upo...
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.
Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...
10 years ago
CloudsFM03 Feb
PETIT MAN AMFANYIA ‘’SURPRISE’DADA YAKE DIAMOND KWENYE SIKU YAKE YA KUZALIWA
Meneja wa msanii wa Bongo Fleva,Mirror,Petit Man kutoka kampuni ya Endless Fame chini yake Wema Sepetu jana alimfanyia Surprise mke wake ambaye ni dada yake aitwaye Esma Platinumz kwa kumzawadia zawadi ya gari kwenye sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika Samaki Samaki maeneo ya Masaki.
Katika Sherehe iliyohudhuliwa na mastaa kibao akiwemo Wema Sepetu,Petit Man wakati akimzawadia mke wake huyo hakuamini na kuanza kulia kwa furaha.
Kupitia Instagram Esma aliandika hivi....Thank u my husband for...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-koSx2at3t04/VI2TDM3T8WI/AAAAAAADR2E/vktVFfVYnmc/s72-c/sophia%2B13.jpg)
SOPHIA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWENYE MGAHAWA WA SAPHIRE NEW YORK
![](http://2.bp.blogspot.com/-koSx2at3t04/VI2TDM3T8WI/AAAAAAADR2E/vktVFfVYnmc/s1600/sophia%2B13.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-T5vYBUU3jYg/VI2RNI_v_lI/AAAAAAADR1g/sSt0i6hrnrE/s1600/sophia%2B8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9rbzP8ky3oI/VI2RKOXbR3I/AAAAAAADR0o/iMKNfs4y4WU/s1600/Sophia%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-h79jAC2F-rg/VI2RKA84GgI/AAAAAAADR0g/7y8ih5Zfohg/s1600/Sophia%2B11.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-n3c_XxNcb2o/VI2RKvnJb-I/AAAAAAADR08/IISJRVPCkQ4/s1600/Sophia.jpg)
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Maamuzi ya Mbunge Professor Jay kwenye siku yake ya kuzaliwa Dec 29…
Ikiwa Dec 29 ni siku ya kuzaliwa kwa msanii na mbunge wa Mikumi,Mh Joseph Haule aka Professor Jay ameamua kuchukua maamuzi ya kufanya usafi kwenye ofisi aliyokabidhiwa leo huko jimboni Mikumi Morogoro. Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram mbunge huyo aliandika..’Asante sana Mungu leo nimetimiza miaka 40 tangu nimezaliwa …. I dedicate this birthday kwa […]
The post Maamuzi ya Mbunge Professor Jay kwenye siku yake ya kuzaliwa Dec 29… appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Bongo Movies23 Dec
Faiza Kufunguka Kisa Cha Kuvaa Diaper (Pampers) Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa!!!!
KALI YA WIKI: Kwa iliyopita hii ndio ilikuwa kali ya mwaka kwa mwigizaji wa filamu Faiza Ally, kuvaa Diaper wavaayo watoto kuhifadhi haja zao maarufu kama ‘pempasi’ kwenye kusherekea siku yake ya kuzaliwa.
Tukio hilo lilitokea juzikati katika Hotel ya Sea Cliff iliyopo Masaki jijini Dar, ambako walialikwa watu wachache kwa ajili ya kula chakula cha jioni pamoja.
Faiza ambaye amezaa mtoto na Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ leo atakuwepo kwenye kipindi cha TAKEONE, kwamujibu...