Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Huu ni ujumbe wa Kajala kwenda kwa mtoto wake leo kwenye siku ya kuzaliwa kwa binti yake huyo.

Miaka 12 iliyopita sikuwahi kujua kama itafikia siku nitajisikia hiki ninachofeel siku ya leo.. nimepitia mambo mengi sana na wewe.. nimepata shida nyingi mno lakini sikukuacha wala kukutupa.. kwenye jua ama mvua, iwe usiku ama mchana katika mitihani yote niliyopitia nilikuwa na wewe tu mwanangu.. ulikuwa kama pochi yangu.. bila kujua kesho utakuwa NANI!! nilikupenda tangu siku ya kwanza nakuona.. nilikuthamini na kuahidi nafsi yangu kuwa nitakufa na wewe katika hali yoyote ile bila kujua...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Madee kamuandikia wimbo huu Marehemu Abdul Bonge kwenye siku yake ya kuzaliwa.

Ilikua ni Jumamosi ya March 28 2015 ambapo zilianza kusambaa taarifa za kifo cha Miongoni mwa Waanzilishi wa kundi la Tip Top Connection Abdul Bonge,kifo ambacho inasemekana kilisababishwa na ugomvi ambao Marehemu Abdul Bonge alienda kuamulia kwa bahati mbaya akasukumwa akadondoka na kufariki. Madee kaamua kuingia studio na kurekodi wimbo huu kwa ajili ya kumbukumbu […]

The post Madee kamuandikia wimbo huu Marehemu Abdul Bonge kwenye siku yake ya kuzaliwa. appeared first on...

 

11 years ago

Bongo5

Kajala amundikia mwanae ujumbe wa siku ya kuzaliwa

Msanii wa filamu kajala Masanja leo (July 15) amemuandikia ujumbe mwanae Paula wasiku ya kuzaliwa kutokana na changamoto alizipitia wakati wa kumlea. Kajala kupitia instagram amesema:Miaka 12 iliyopita sikuwahi kujua kama itafikia siku nitajisikia hiki ninachofeel siku ya leo.. nimepitia mambo mengi sana na wewe.. nimepata shida nyingi mno lakini sikukuacha wala kukutupa.. kwenye jua […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Leo Ikuwa ni Siku ya Kuzaliwa kwa Meneja Wake, Wema Asema Haya...

Meneja wa staa na mrembo  Wema Sepetu, Martin Kadinda leo anasherekea siku yake ya kuzaliwa na hiki ndicho Wema alichotoboa mara baada ya kubandika picha hiyo akiwa na Kadinda.

“I think da picture speaks for itself... My kaka Manager.....!!! I thank the good Lord for you cause only he knows wat i would’ve bin without you.... My very own Shadow... I dont call you The Man behind Wema Sepetu for nothing but because you truly are that One person standing behind me and Iam The luckiest girl to...

 

10 years ago

Bongo Movies

Leo Ikiwa ni Siku ya Kuzaliwa kwa Meneja Wake, Wema Asema Haya...

Meneja wa staa na mrembo  Wema Sepetu, Martin Kadinda leo anasherekea siku yake ya kuzaliwa na hiki ndicho Wema alichotoboa mara baada ya kubandika picha hiyo akiwa na Kadinda.

“I think da picture speaks for itself... My kaka Manager.....!!! I thank the good Lord for you cause only he knows wat i would’ve bin without you.... My very own Shadow... I dont call you The Man behind Wema Sepetu for nothing but because you truly are that One person standing behind me and Iam The luckiest girl to...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika  kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.

Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...

 

10 years ago

CloudsFM

PETIT MAN AMFANYIA ‘’SURPRISE’DADA YAKE DIAMOND KWENYE SIKU YAKE YA KUZALIWA

Meneja wa msanii wa Bongo Fleva,Mirror,Petit Man kutoka kampuni ya Endless Fame chini yake Wema Sepetu jana alimfanyia Surprise mke wake ambaye ni dada yake aitwaye Esma Platinumz kwa kumzawadia zawadi ya gari kwenye sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika Samaki Samaki maeneo ya Masaki.Katika Sherehe iliyohudhuliwa na mastaa kibao akiwemo Wema Sepetu,Petit Man wakati akimzawadia mke wake huyo hakuamini na kuanza kulia kwa furaha. Kupitia Instagram Esma aliandika hivi....Thank u my husband for...

 

10 years ago

Bongo5

Mtangazaji wa Clouds FM Da’Huu asherehekea siku ya kuzaliwa kwa kutoa msaada Amana

Mtangazi wa Clouds FM kupitia kipindi cha Leo Tena, Husna Abdul aka Da’Huu akiambana wa wasanii wa muziki ameshereekea siku yake ya kuzaliwa weekend hii katika hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam kwa kutoa msaada wa vitu mbalimbali. Husna Abdul ambaye pia ameteuliwa kuwa BALOZI WA KUJITOLEA WA WATOTO katika hospitali hiyo, aliambatana na […]

 

10 years ago

Vijimambo

JOSE ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA STAILI YA PEKEE

Jose akijaribu kupuliza mshumaa alipokua akisherehekea siku yake ya kuzaliwa nyumbani kwake siku ya Jumamosi Novemba 29, 2014 DMV na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki.Jose akimlisha keki mama mwenye nyumba wake.Mama mwenye nyumba amkulisha keki JoseMdhamini wa pendo lake Jose akimchum huku akmpa zawadi yake. Aunty Asha akimzawadia Jose. Ni zawadi juu ya zawadiZawadi zikiendelea.
Zawadi hizo kwa Jose.Picha zaote na mwakilishi wa Vijimambo Maryland Aloyce Mbullu
kwa mapicha ya kumwaga...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Chris Brown azidi kuonesha mapenzi kwa mwanaye ‘Royalty’ kwenye cover ya album mpya aliyoipa jina la mtoto huyo

Chris Brown ameendelea kuudhihirishia ulimwengu mapenzi ya dhati aliyonayo kwa mwanaye wa kike Royalty mwenye umri wa mwaka mmoja. Baada ya kuamua album yake mpya kuipa jina la mwanaye huyo ‘Royalty’, sasa staa huyo wa R&B ametoa cover ya album hiyo yenye picha ya yeye akiwa amembeba mtoto wake anayeonekana amesinzia. Toka Breezy afahamu kuwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani