Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kajala amundikia mwanae ujumbe wa siku ya kuzaliwa

Msanii wa filamu kajala Masanja leo (July 15) amemuandikia ujumbe mwanae Paula wasiku ya kuzaliwa kutokana na changamoto alizipitia wakati wa kumlea. Kajala kupitia instagram amesema:Miaka 12 iliyopita sikuwahi kujua kama itafikia siku nitajisikia hiki ninachofeel siku ya leo.. nimepitia mambo mengi sana na wewe.. nimepata shida nyingi mno lakini sikukuacha wala kukutupa.. kwenye jua […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo Movies

Huu ni ujumbe wa Kajala kwenda kwa mtoto wake leo kwenye siku ya kuzaliwa kwa binti yake huyo.

Miaka 12 iliyopita sikuwahi kujua kama itafikia siku nitajisikia hiki ninachofeel siku ya leo.. nimepitia mambo mengi sana na wewe.. nimepata shida nyingi mno lakini sikukuacha wala kukutupa.. kwenye jua ama mvua, iwe usiku ama mchana katika mitihani yote niliyopitia nilikuwa na wewe tu mwanangu.. ulikuwa kama pochi yangu.. bila kujua kesho utakuwa NANI!! nilikupenda tangu siku ya kwanza nakuona.. nilikuthamini na kuahidi nafsi yangu kuwa nitakufa na wewe katika hali yoyote ile bila kujua...

 

11 years ago

GPL

KAJALA AMFANYIA BONGE LA BETHIDEI MWANAE PAULA

  Kibao cha Shule ya Msingi Sinza ilipofanyika sherehe hiyo. Kajala akizungumza jambo katika shule hiyo ya watoto walemavu.   Keki ya bethidei ya…

 

9 years ago

Vijimambo

KHERI YA SIKU YA KUZALIWA

Rasheed Semdaia kutoka Maryland, USATimu ya Vijimambo inakutakia kheri ya siku ya kuzaliwa

 

10 years ago

GPL

KAJALA APEWA SIKU 5 ZA KUISHI

IMELDA MTEMA MASIKINI! Staa mkali wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja hivi karibuni amejikuta akiwa katika wakati mgumu na wa hatari kufuatia watu wasiojulikana kuvamia nyumbani kwake na kutoa onyo kwamba wanampa siku tano tu za kuishi, Amani lina mkasa kamili.Ishu hiyo ya kushtusha ilitokea usiku wa saa nane ya kuamkia juzi, Jumanne nyumbani kwa staa huyo, Sinza Mori jijini Dar es Salaam. Staa mkali wa filamu za Kibongo,...

 

10 years ago

GPL

WASTARA ASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA NA WATOTO

Wastara akiwapa zawadi ya bethdei kwa wanawake waliojifungua. …akiwafariji wakina mama waliofiwa na watoto wao baada ya…

 

10 years ago

GPL

DIDA ASHEREKEA SIKU YA KUZALIWA KWAKE

Mtangazaji wa Kituo cha Times FM, Hadija Shaibu akikata keki kwenye sherehe ya kuzaliwa kwake iliyofanyika nyumbani kwake Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Msanii wa filamu Bongo JB, akilishwa kipande cha keki na Dida mara baada ya zoezi la kulishana kuanza.…

 

10 years ago

GPL

HERI SIKU YA KUZALIWA JUMA MBIZO

Mdau wa burudani nchini Tanzania, Juma Mbizo. LEO ni siku ya kuzaliwa kwa mdau mkubwa wa burudani kaka yetu, baba yetu, rafiki yetu, Juma Mbizo ambaye amefikisha miaka 65. Juma Mbizo ni ‘kichwa’ muhimu kwenye burudani na michezo jijini Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla. Ameweza kuasisi bendi nyingi za dansi na taarab sambamba na klabu za michezo. Kama hiyo haitoshi, Mbizo pia ameasisi kumbi nyingi za burudani....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani