KHERI YA SIKU YA KUZALIWA
Rasheed Semdaia kutoka Maryland, USATimu ya Vijimambo inakutakia kheri ya siku ya kuzaliwa
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo03 Mar
SHUKURANI SANA KWA WOTE WALIONITAKIA KHERI YA SIKU YA KUZALIWA
Napenda kutoa shukurani zangu za dhati kwa timu nzima ya Vijimambo na wale wote waliotumia muda wao kuniandikia maneno ya kunitakia kheri ya siku ya kuzaliwa, kwenye Vijimambo, facebook na wale wote walionitumia ujumbe mfupi kwenye SMS, Whatsup na kupiga simu. bila kuwasahau familia yangu.
Nimeguswa sana na upendo wenu napenda kuchua nafasi hii kutoa shukurani zangu za dhati kwa yote maneno mazuri yaliyoonyesha upendo wenu juu yangu nashukuru sana na mwenyezi Mungu awazidishie Asnte.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ycHH2_mXDgI/VeRvTnZAJtI/AAAAAAAADU8/HrQlnMkpNXM/s72-c/FB_IMG_1441031782827.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-55So738ZhKw/VIJrNnw06kI/AAAAAAAA-eU/rHZkdXVOkFc/s72-c/1010706_703581833016424_3678718462065793720_n.jpg)
KHERI YA KUZALIWA KWA MWANA LIBENEKE GEOFREY WA PAMOJA BLOG
![](http://4.bp.blogspot.com/-55So738ZhKw/VIJrNnw06kI/AAAAAAAA-eU/rHZkdXVOkFc/s1600/1010706_703581833016424_3678718462065793720_n.jpg)
Kwanza kabisa natoa shukrani kwa mwenyezi mungu kwa kunifikisha leo tarehe 06 mwezi wa 12 maana ndio kumbukumbu yangu ya kuingia duniani.Namshukuru mama yangu mzazi aliyanizaa na kunilea mpaka hapa nilipo ni kwa uwezo wake nampenda sana mama yangu.
Nawashuku sana ndugu zangu wote kwa support wanazonipa ili nifikie malengo niliyojiweke na Pia sina budi kuwashukuru Mablogger wanaonipa support ya nguvu maana...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-Sx3VoK6o0LI/VS4SV6wZv8I/AAAAAAAACFE/M7h1GCxNr38/s72-c/page%2B12%2B-13%2Bcopy.jpg)
11 years ago
GPL![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/01/IMG-20140115-WA0073.jpg?width=480)
H.BABA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA
H.Baba na mke wake, Florah Mvungi wakilishana keki. Florah Mvungi akiwa na mtoto wake Tanzanite. H.Baba akimlisha keki mama yake. Mke wake H.Baba, Florah Mvungi akiwa…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t4lRGZ5APQu0s824vc1xjJpoDVlzaTvrcYTwuMdkU6qfJVd1t7yW-d*omtbGd2wMPoHY51*B9-INYXr2a-2MfPO*k-6TCjJ0/11052460_901984396506587_3944562307884460232_n.jpg?width=600)
HERI SIKU YA KUZALIWA JUMA MBIZO
Mdau wa burudani nchini Tanzania, Juma Mbizo. LEO ni siku ya kuzaliwa kwa mdau mkubwa wa burudani kaka yetu, baba yetu, rafiki yetu, Juma Mbizo ambaye amefikisha miaka 65. Juma Mbizo ni ‘kichwa’ muhimu kwenye burudani na michezo jijini Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla. Ameweza kuasisi bendi nyingi za dansi na taarab sambamba na klabu za michezo. Kama hiyo haitoshi, Mbizo pia ameasisi kumbi nyingi za burudani....
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mZF3gMeSFpw/VhWX3k-AgeI/AAAAAAAH9gE/kJHF4KSKmis/s72-c/hb2.jpg)
JK ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WAJUKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-mZF3gMeSFpw/VhWX3k-AgeI/AAAAAAAH9gE/kJHF4KSKmis/s640/hb2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9nyGk1LZxy4/VhWYyD2G1JI/AAAAAAAH9g8/1tc5zQx64yk/s640/hb3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-upfQJLV-QMY/VhWZKBFYW_I/AAAAAAAH9hU/qDD8_TCm2-8/s640/hb4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fwDVhxLt46o/VhWZgzejnAI/AAAAAAAH9hc/xkNp5jsur54/s640/hb5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cAvmJS0zLoE/VhWZ1TyavCI/AAAAAAAH9hs/xj56jVnK9HA/s640/hb7.jpg)
10 years ago
GPLWASTARA ASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA NA WATOTO
Wastara akiwapa zawadi ya bethdei kwa wanawake waliojifungua. …akiwafariji wakina mama waliofiwa na watoto wao baada ya…
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-d3fid6ZhCxA/VEaK3rmwITI/AAAAAAAGsgU/BzDdMyKv0AQ/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
SIKU YA KUZALIWA NA KUTIMIZA MIAKA 3 YA NDOA
![](http://2.bp.blogspot.com/-d3fid6ZhCxA/VEaK3rmwITI/AAAAAAAGsgU/BzDdMyKv0AQ/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania