Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KHERI YA SIKU YA KUZALIWA

Rasheed Semdaia kutoka Maryland, USATimu ya Vijimambo inakutakia kheri ya siku ya kuzaliwa

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SHUKURANI SANA KWA WOTE WALIONITAKIA KHERI YA SIKU YA KUZALIWA

Dj Luke Joe
Napenda kutoa shukurani zangu za dhati kwa timu nzima ya Vijimambo na wale wote waliotumia muda wao kuniandikia maneno ya kunitakia kheri ya siku ya kuzaliwa, kwenye Vijimambo, facebook na wale wote walionitumia ujumbe mfupi kwenye SMS, Whatsup na kupiga simu. bila kuwasahau familia yangu.
Nimeguswa sana na upendo wenu napenda kuchua nafasi hii kutoa shukurani zangu za dhati kwa yote maneno mazuri yaliyoonyesha upendo wenu juu yangu nashukuru sana na mwenyezi Mungu awazidishie Asnte.

 

9 years ago

Vijimambo

Kheri ya siku ya kuzaliwa kaka yangu kipenzi Noah Manongi!



                     Soma zaidi

 

10 years ago

Michuzi

KHERI YA KUZALIWA KWA MWANA LIBENEKE GEOFREY WA PAMOJA BLOG



Leo ni siku ya kuzaliwa blogger Geofrey Adroph kwa jina maarufu ni PAMOJA BLOG .
Kwanza kabisa natoa shukrani kwa mwenyezi mungu kwa kunifikisha leo  tarehe 06 mwezi wa 12 maana ndio kumbukumbu yangu ya kuingia duniani.Namshukuru mama yangu mzazi aliyanizaa na kunilea mpaka hapa nilipo ni kwa uwezo wake nampenda sana mama yangu.
Nawashuku sana ndugu zangu wote kwa support wanazonipa ili nifikie malengo niliyojiweke na Pia sina budi kuwashukuru Mablogger wanaonipa support ya nguvu maana...

 

11 years ago

GPL

H.BABA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

H.Baba na mke wake, Florah Mvungi wakilishana keki. Florah Mvungi akiwa na mtoto wake Tanzanite. H.Baba akimlisha keki mama yake. Mke wake H.Baba, Florah Mvungi  akiwa…

 

10 years ago

GPL

HERI SIKU YA KUZALIWA JUMA MBIZO

Mdau wa burudani nchini Tanzania, Juma Mbizo. LEO ni siku ya kuzaliwa kwa mdau mkubwa wa burudani kaka yetu, baba yetu, rafiki yetu, Juma Mbizo ambaye amefikisha miaka 65. Juma Mbizo ni ‘kichwa’ muhimu kwenye burudani na michezo jijini Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla. Ameweza kuasisi bendi nyingi za dansi na taarab sambamba na klabu za michezo. Kama hiyo haitoshi, Mbizo pia ameasisi kumbi nyingi za burudani....

 

9 years ago

Michuzi

JK ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WAJUKUU

KekiWajukuu wakimchukua babu wakamwimbie na kukata naye kekiMjukuu akiogoza wajukuu wenzie kumwimbia babuWajukuu wakimwimbia babu...Happy Birthday to youuuuu...Babu akikata keki huku wajukuu wakiisubiri kwa hamu.Kwa picha zaidi BOFYA HAPA


 

10 years ago

GPL

WASTARA ASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA NA WATOTO

Wastara akiwapa zawadi ya bethdei kwa wanawake waliojifungua. …akiwafariji wakina mama waliofiwa na watoto wao baada ya…

 

10 years ago

Michuzi

SIKU YA KUZALIWA NA KUTIMIZA MIAKA 3 YA NDOA

Ankali Eng.Moses Mwangende   leo tarehe 22.10.2014  anakumbuka siku yake ya kuzaliwa na kutimiza miaka mitatu(3) ya ndoa yao  na Bi Eng.Nizetha Kimario. Mwenyezi Mungu azidi  kuwapa maisha marefu na kutimiza ndoto zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani