KHERI YA KUZALIWA KWA MWANA LIBENEKE GEOFREY WA PAMOJA BLOG
![](http://4.bp.blogspot.com/-55So738ZhKw/VIJrNnw06kI/AAAAAAAA-eU/rHZkdXVOkFc/s72-c/1010706_703581833016424_3678718462065793720_n.jpg)
Leo ni siku ya kuzaliwa blogger Geofrey Adroph kwa jina maarufu ni PAMOJA BLOG .
Kwanza kabisa natoa shukrani kwa mwenyezi mungu kwa kunifikisha leo tarehe 06 mwezi wa 12 maana ndio kumbukumbu yangu ya kuingia duniani.Namshukuru mama yangu mzazi aliyanizaa na kunilea mpaka hapa nilipo ni kwa uwezo wake nampenda sana mama yangu.
Nawashuku sana ndugu zangu wote kwa support wanazonipa ili nifikie malengo niliyojiweke na Pia sina budi kuwashukuru Mablogger wanaonipa support ya nguvu maana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo03 Mar
SHUKURANI SANA KWA WOTE WALIONITAKIA KHERI YA SIKU YA KUZALIWA
Napenda kutoa shukurani zangu za dhati kwa timu nzima ya Vijimambo na wale wote waliotumia muda wao kuniandikia maneno ya kunitakia kheri ya siku ya kuzaliwa, kwenye Vijimambo, facebook na wale wote walionitumia ujumbe mfupi kwenye SMS, Whatsup na kupiga simu. bila kuwasahau familia yangu.
Nimeguswa sana na upendo wenu napenda kuchua nafasi hii kutoa shukurani zangu za dhati kwa yote maneno mazuri yaliyoonyesha upendo wenu juu yangu nashukuru sana na mwenyezi Mungu awazidishie Asnte.
9 years ago
Vijimambo10 Oct
KHERI YA SIKU YA KUZALIWA
![](http://gushit.com/files/bookmark_photos/0d296d3297L.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/rUDlVpA4AYo/default.jpg)
11 years ago
Michuzi26 May
LIBENEKE LA MDAU FRANCIS GODWIN BLOG LAREJEA HEWANI BAADA YA KUPATWA NA KWIKWII
![Francis Godwin ::Mzee wa matukio daima::](https://4.bp.blogspot.com/-8xv5knS9IsE/UYtG1VE5KdI/AAAAAAABKQQ/IrHEIs14SKA/s1600/fgh.png)
9 years ago
MichuziMPIGANAJI WA MTAA KWA MTAA BLOG,MR. PENGO WA MBEYA ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ycHH2_mXDgI/VeRvTnZAJtI/AAAAAAAADU8/HrQlnMkpNXM/s72-c/FB_IMG_1441031782827.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-g3bpxkJxaL8/VUqQ7820-3I/AAAAAAAHVzY/_go_Y9aEDhw/s72-c/Efm-logo-jpg-1024x542.png)
BREAKING NEWZZZZZ: 93.7 E-FM radio Station na michuzi blog zaunganisha nguvu kunogesha libeneke la michezo, muziki na utamaduni
![](http://2.bp.blogspot.com/-g3bpxkJxaL8/VUqQ7820-3I/AAAAAAAHVzY/_go_Y9aEDhw/s1600/Efm-logo-jpg-1024x542.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BPa9gp6r0rA/VUqRSeecSZI/AAAAAAAHVzg/9pdD73tYoeU/s1600/michuzi%2Blogo.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ns7cPrXCRYs/VUqRcZDotJI/AAAAAAAHVzo/KEE0Vesz9ZU/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
10 years ago
Michuzi08 Dec
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MWANALIBENEKE HENRY KAPINGA MMILIKI WA KAPINGAZ BLOG
![](https://2.bp.blogspot.com/-6OpDlHuPuVY/VITqHnyQ1wI/AAAAAAAAGUo/ynLTivyz_P4/s1600/KPBLOGPIC.jpg)
Leo tarehe 08/12 ndio siku ambayo ukurasa wa historia ya maisha yangu ulifunguliwa rasmi, ni siku ambayo nilizaliwa, napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kuniweka mpaka leo na vilevile kuwashukuru wazazi wangu kwa kunilea katika maisha yangu ya utotoni mpaka nilipoanza kujitegemea.
Napenda kuchukua fursa hii pia kuwashukuru wale wote ambao kwa namna moja au nyingine wameshiriki kunisapoti kwa mambo mbalimbali ili mradi nifikie pale...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Vc8qrmH59Wk/Xt89UrnzCbI/AAAAAAAAnwc/0-VSS39UgQUigzJfd983zwVW11Wqz1ygQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
CCM BLOG YAMTAKIA MZEE MSEKWA KATIKA KUMBUKIZI YA KUZALIWA KWAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vc8qrmH59Wk/Xt89UrnzCbI/AAAAAAAAnwc/0-VSS39UgQUigzJfd983zwVW11Wqz1ygQCLcBGAsYHQ/s400/0.jpg)
Pius Msekwa (amezaliwa 9 Juni 1935) ni mwanasiasa. Kuanzia mwaka 1995 hadi mwaka 2005 alikuwa spika wa Bunge la Tanzani