Kheri ya siku ya kuzaliwa kaka yangu kipenzi Noah Manongi!
![](http://2.bp.blogspot.com/-ycHH2_mXDgI/VeRvTnZAJtI/AAAAAAAADU8/HrQlnMkpNXM/s72-c/FB_IMG_1441031782827.jpg)
Soma zaidi
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo10 Oct
KHERI YA SIKU YA KUZALIWA
![](http://gushit.com/files/bookmark_photos/0d296d3297L.jpg)
10 years ago
Vijimambo03 Mar
SHUKURANI SANA KWA WOTE WALIONITAKIA KHERI YA SIKU YA KUZALIWA
Napenda kutoa shukurani zangu za dhati kwa timu nzima ya Vijimambo na wale wote waliotumia muda wao kuniandikia maneno ya kunitakia kheri ya siku ya kuzaliwa, kwenye Vijimambo, facebook na wale wote walionitumia ujumbe mfupi kwenye SMS, Whatsup na kupiga simu. bila kuwasahau familia yangu.
Nimeguswa sana na upendo wenu napenda kuchua nafasi hii kutoa shukurani zangu za dhati kwa yote maneno mazuri yaliyoonyesha upendo wenu juu yangu nashukuru sana na mwenyezi Mungu awazidishie Asnte.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-55So738ZhKw/VIJrNnw06kI/AAAAAAAA-eU/rHZkdXVOkFc/s72-c/1010706_703581833016424_3678718462065793720_n.jpg)
KHERI YA KUZALIWA KWA MWANA LIBENEKE GEOFREY WA PAMOJA BLOG
![](http://4.bp.blogspot.com/-55So738ZhKw/VIJrNnw06kI/AAAAAAAA-eU/rHZkdXVOkFc/s1600/1010706_703581833016424_3678718462065793720_n.jpg)
Kwanza kabisa natoa shukrani kwa mwenyezi mungu kwa kunifikisha leo tarehe 06 mwezi wa 12 maana ndio kumbukumbu yangu ya kuingia duniani.Namshukuru mama yangu mzazi aliyanizaa na kunilea mpaka hapa nilipo ni kwa uwezo wake nampenda sana mama yangu.
Nawashuku sana ndugu zangu wote kwa support wanazonipa ili nifikie malengo niliyojiweke na Pia sina budi kuwashukuru Mablogger wanaonipa support ya nguvu maana...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Mchumba wangu, kumbe wa kaka yangu!
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Mwanamke Alivyomfanya Zezeta Kaka Yangu – 40
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Tulipofika polisi tulikwenda moja kwa moja kwa Inspekta Ben Matwanga na tuliambiwa yupo na kwamba alikuwa na mahojiano na yule mwanamke aliyemfanya zezeta kaka yangu.SONGA NAYO…
Tuligonga mlango wa ofisi ya mkuu huyo wa polisi akaturuhusu kuingia. Tulipoingia tulionana ana kwa ana na mwanamke huyo ambaye aliinamisha kichwa chake kwa aibu.
“Karibuni. Huyu mama amekiri kuwafanya mazezeta wale watu,” alisema Kamanda Matwanga.“Sasa mtafanyaje? Hana dawa za kuwarejeshea...
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Kilichonitokea Baada ya Kubakwa na Kaka Yangu-26
Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Dorcas ambaye hakujua kama alikuwa amepata ujauzito alipokuwa akijisikia ovyo huku pale nyumbani kwao akiwa amebaki yeye, Evance aliyembaka pamoja na dada mwingine. Je, kilifuatia nini? Songa mbele…
Kufuatia kutapika na kuchagua chakula nilijua nilikuwa nasumbuliwa na malaria nikawa nakunywa panadol badala ya kwenda hospitali kwa sababu nilikuwa naogopa sana kuchomwa sindano.
Ingawa mama aliposafiri alikuwa hakai muda mrefu, safari hiyo alikaa...
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Kilichonitokea Baada ya Kubakwa na Kaka Yangu-27
Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Dorcas alipoeleza kwamba wakati akiwa kule kijijini alikuwa akienda kuhudhuria kliniki alikopimwa na kuelezwa mtoto alikuwa akiendelea vizuri na kupewa maelezo mengine yaliyohusiana na masuala ya uzazi. Je, kiliendelea nini? Songa mbele…
Hata hivyo, kitendo cha kutelekezwa na mama kule kijijini kilinifanya muda mwingi kuwa katika msongo wa mawazo na kujiuliza ilikuwaje mama aliyenishauri nikakae kule na aliyefahamu hali niliyokuwanayo anifanyie...
9 years ago
Bongo523 Dec
Video: Davido aongelea sakata la BBA na alivyowakera WaTZ, ‘nilieleweka vibaya, Diamond ni kaka yangu angenitetea’
![diamond-na-davido-wakicheza-kwa-madaha](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/diamond-na-davido-wakicheza-kwa-madaha-300x194.jpg)
Kwa mara ya kwanza na kwa urefu zaidi, Davido amelizungumzia sakata lilitotokea December mwaka jana la ushindi wa Idris Sultan kwenye Big Brother Africa na jinsi tweet yake ilivyowakera Watanzania.
Akiongea kwenye The Sporah Show, Davido alisema tweet ile hakuandika kuwalenga Watanzania bali kampuni ya Multi-Choice inayoanda shindano hilo ambayo pia ndio waandaaji wa tuzo za Channel O. Kabla ya hapo Davido alikuwa ametajwa kuwania tuzo tano lakini alikosa zote. Diamond alishinda tatu.
“Na...
10 years ago
Bongo525 Oct
Ray C: Pole kaka yangu Chidi Benz, naumia kuona tatizo ulilokuwa nalo bado haujalitafutia jibu