Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Davido aongelea sakata la BBA na alivyowakera WaTZ, ‘nilieleweka vibaya, Diamond ni kaka yangu angenitetea’

diamond-na-davido-wakicheza-kwa-madaha

Kwa mara ya kwanza na kwa urefu zaidi, Davido amelizungumzia sakata lilitotokea December mwaka jana la ushindi wa Idris Sultan kwenye Big Brother Africa na jinsi tweet yake ilivyowakera Watanzania.

Akiongea kwenye The Sporah Show, Davido alisema tweet ile hakuandika kuwalenga Watanzania bali kampuni ya Multi-Choice inayoanda shindano hilo ambayo pia ndio waandaaji wa tuzo za Channel O. Kabla ya hapo Davido alikuwa ametajwa kuwania tuzo tano lakini alikosa zote. Diamond alishinda tatu.

“Na...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Diamond: Sina beef na Davido, watu walinielewa vibaya tu!

Kwa mara ya kwanza Diamond Platnumz amezungumzia kile kinachoaminika kuwa ni beef kati yake na msanii wa Nigeria, Davido iliyotokana na ushindi wa Idris kwenye Big Brother Africa. Akiongea na waandishi wa habari jana baada ya kuwasili jijini Kampala, Uganda kwaajili ya kutumbuiza kwenye party ya mpenzi wake mpya, Zari The Bosslady, Diamond alisema watu […]

 

10 years ago

Bongo5

AY ndiye aliyefanikisha collabo yangu na Davido na kuniunganisha na Godfather — Diamond

AY amefungua njia ya mafanikio kwa wasanii wengi wa Tanzania. Miongoni mwa watu walionufaika na mashavu yake ni Diamond. Katika ujumbe wake wa kumpongeza AY kwenye siku yake ya kuzaliwa Jumapili hii, Diamond amedai kuwa AY ndiye aliyemuunganisha na Davido hadi wakafanya remix ya wimbo wake ‘Number One’ uliobadilisha maisha yake. “Misingi na Daraja Imara […]

 

9 years ago

Global Publishers

Kilichonitokea Baada ya Kubakwa na Kaka Yangu-27

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Dorcas alipoeleza kwamba wakati akiwa kule kijijini alikuwa akienda kuhudhuria kliniki alikopimwa na kuelezwa mtoto alikuwa akiendelea vizuri na kupewa maelezo mengine yaliyohusiana na masuala ya uzazi. Je, kiliendelea nini? Songa mbele…

Hata hivyo, kitendo cha kutelekezwa na mama kule kijijini kilinifanya muda mwingi kuwa katika msongo wa mawazo na kujiuliza ilikuwaje mama aliyenishauri nikakae kule na aliyefahamu hali niliyokuwanayo anifanyie...

 

11 years ago

Mwananchi

Mchumba wangu, kumbe wa kaka yangu!

Huu ni mwaka wa pili tangu niwe na uhusiano na binti mmoja, wiki hii alikuja kaka yangu anayeishi Morogoro kunitembelea, akanionyesha picha za mchumba wake, ambaye ni huyu binti.

 

9 years ago

Global Publishers

Kilichonitokea Baada ya Kubakwa na Kaka Yangu-26

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Dorcas ambaye hakujua kama alikuwa amepata ujauzito alipokuwa akijisikia ovyo huku pale nyumbani kwao akiwa amebaki yeye, Evance aliyembaka pamoja na dada mwingine. Je, kilifuatia nini? Songa mbele…

Kufuatia kutapika na kuchagua chakula nilijua nilikuwa nasumbuliwa na malaria nikawa nakunywa panadol badala ya kwenda hospitali kwa sababu nilikuwa naogopa sana kuchomwa sindano.

Ingawa mama aliposafiri alikuwa hakai muda mrefu, safari hiyo alikaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani