Mchumba wangu, kumbe wa kaka yangu!
Huu ni mwaka wa pili tangu niwe na uhusiano na binti mmoja, wiki hii alikuja kaka yangu anayeishi Morogoro kunitembelea, akanionyesha picha za mchumba wake, ambaye ni huyu binti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Mchumba wangu anatoka na rafiki yangu
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Mwanamke Alivyomfanya Zezeta Kaka Yangu – 40
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Tulipofika polisi tulikwenda moja kwa moja kwa Inspekta Ben Matwanga na tuliambiwa yupo na kwamba alikuwa na mahojiano na yule mwanamke aliyemfanya zezeta kaka yangu.SONGA NAYO…
Tuligonga mlango wa ofisi ya mkuu huyo wa polisi akaturuhusu kuingia. Tulipoingia tulionana ana kwa ana na mwanamke huyo ambaye aliinamisha kichwa chake kwa aibu.
“Karibuni. Huyu mama amekiri kuwafanya mazezeta wale watu,” alisema Kamanda Matwanga.“Sasa mtafanyaje? Hana dawa za kuwarejeshea...
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Kilichonitokea Baada ya Kubakwa na Kaka Yangu-27
Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Dorcas alipoeleza kwamba wakati akiwa kule kijijini alikuwa akienda kuhudhuria kliniki alikopimwa na kuelezwa mtoto alikuwa akiendelea vizuri na kupewa maelezo mengine yaliyohusiana na masuala ya uzazi. Je, kiliendelea nini? Songa mbele…
Hata hivyo, kitendo cha kutelekezwa na mama kule kijijini kilinifanya muda mwingi kuwa katika msongo wa mawazo na kujiuliza ilikuwaje mama aliyenishauri nikakae kule na aliyefahamu hali niliyokuwanayo anifanyie...
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Kilichonitokea Baada ya Kubakwa na Kaka Yangu-26
Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Dorcas ambaye hakujua kama alikuwa amepata ujauzito alipokuwa akijisikia ovyo huku pale nyumbani kwao akiwa amebaki yeye, Evance aliyembaka pamoja na dada mwingine. Je, kilifuatia nini? Songa mbele…
Kufuatia kutapika na kuchagua chakula nilijua nilikuwa nasumbuliwa na malaria nikawa nakunywa panadol badala ya kwenda hospitali kwa sababu nilikuwa naogopa sana kuchomwa sindano.
Ingawa mama aliposafiri alikuwa hakai muda mrefu, safari hiyo alikaa...
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Kifusi cha mchanga kilivyonitenganisha na mchumba wangu
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e94-*Sv1fqrqTXKxTow0k7P5EzOlFGTS*sHQFsZycdrvd4fH3tJuFz2d9tVEVsn9mLKkXpxynPTtnzhymaEzFG7BR-brcfvB/CHEKANAKITIME.jpg)
KUMBE RAIS MTARAJIWA NDUGU YANGU KABISA
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ycHH2_mXDgI/VeRvTnZAJtI/AAAAAAAADU8/HrQlnMkpNXM/s72-c/FB_IMG_1441031782827.jpg)
9 years ago
Bongo523 Dec
Video: Davido aongelea sakata la BBA na alivyowakera WaTZ, ‘nilieleweka vibaya, Diamond ni kaka yangu angenitetea’
![diamond-na-davido-wakicheza-kwa-madaha](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/diamond-na-davido-wakicheza-kwa-madaha-300x194.jpg)
Kwa mara ya kwanza na kwa urefu zaidi, Davido amelizungumzia sakata lilitotokea December mwaka jana la ushindi wa Idris Sultan kwenye Big Brother Africa na jinsi tweet yake ilivyowakera Watanzania.
Akiongea kwenye The Sporah Show, Davido alisema tweet ile hakuandika kuwalenga Watanzania bali kampuni ya Multi-Choice inayoanda shindano hilo ambayo pia ndio waandaaji wa tuzo za Channel O. Kabla ya hapo Davido alikuwa ametajwa kuwania tuzo tano lakini alikosa zote. Diamond alishinda tatu.
“Na...
10 years ago
Bongo525 Oct
Ray C: Pole kaka yangu Chidi Benz, naumia kuona tatizo ulilokuwa nalo bado haujalitafutia jibu