Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchumba wangu, kumbe wa kaka yangu!

Huu ni mwaka wa pili tangu niwe na uhusiano na binti mmoja, wiki hii alikuja kaka yangu anayeishi Morogoro kunitembelea, akanionyesha picha za mchumba wake, ambaye ni huyu binti.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mchumba wangu anatoka na rafiki yangu

Shangazi ukweli nashindwa hata pa kuanzia. Ni hivi. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26.

 

9 years ago

Global Publishers

Mwanamke Alivyomfanya Zezeta Kaka Yangu – 40

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Tulipofika polisi tulikwenda moja kwa moja kwa Inspekta Ben Matwanga na tuliambiwa yupo na kwamba alikuwa na mahojiano na yule mwanamke aliyemfanya zezeta kaka yangu.SONGA NAYO…

Tuligonga mlango wa ofisi ya mkuu huyo wa polisi akaturuhusu kuingia. Tulipoingia tulionana ana kwa ana na mwanamke huyo ambaye aliinamisha kichwa chake kwa aibu.

“Karibuni. Huyu mama amekiri kuwafanya mazezeta wale watu,” alisema Kamanda Matwanga.“Sasa mtafanyaje? Hana dawa za kuwarejeshea...

 

9 years ago

Global Publishers

Kilichonitokea Baada ya Kubakwa na Kaka Yangu-27

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Dorcas alipoeleza kwamba wakati akiwa kule kijijini alikuwa akienda kuhudhuria kliniki alikopimwa na kuelezwa mtoto alikuwa akiendelea vizuri na kupewa maelezo mengine yaliyohusiana na masuala ya uzazi. Je, kiliendelea nini? Songa mbele…

Hata hivyo, kitendo cha kutelekezwa na mama kule kijijini kilinifanya muda mwingi kuwa katika msongo wa mawazo na kujiuliza ilikuwaje mama aliyenishauri nikakae kule na aliyefahamu hali niliyokuwanayo anifanyie...

 

9 years ago

Global Publishers

Kilichonitokea Baada ya Kubakwa na Kaka Yangu-26

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Dorcas ambaye hakujua kama alikuwa amepata ujauzito alipokuwa akijisikia ovyo huku pale nyumbani kwao akiwa amebaki yeye, Evance aliyembaka pamoja na dada mwingine. Je, kilifuatia nini? Songa mbele…

Kufuatia kutapika na kuchagua chakula nilijua nilikuwa nasumbuliwa na malaria nikawa nakunywa panadol badala ya kwenda hospitali kwa sababu nilikuwa naogopa sana kuchomwa sindano.

Ingawa mama aliposafiri alikuwa hakai muda mrefu, safari hiyo alikaa...

 

9 years ago

Mwananchi

Kifusi cha mchanga kilivyonitenganisha na mchumba wangu

Wahenga walisema “hujafa, hujaumbika”. Huu ni msemo wa Kiswahili ambao unafahamika kwa watu wengi, lakini maana yake halisi hujitokeza pale unapokutana na mtu aliyepatwa na tukio baya lililobadilisha kabisa maisha yake.

 

9 years ago

GPL

KUMBE RAIS MTARAJIWA NDUGU YANGU KABISA

Yaani mimi mwenyewe bado sijaamini. Babu yangu ndiyo kaniita jana akaniambia hii siri kubwa ya kifamilia ambayo sasa ningependa kuwahusisha. Mara alipotangazwa mshindi wa mbio za urais babu yangu akaniita chumbani kwake, akaniambia, ‘Mjukuu wangu kuna siri nataka kukwambia. Sijui unajua kuwa baba yangu aliwahi kuishi Chato?’ Nikamjibu babu kuwa sikujua hilo. Basi babu ndiyo akaanza kunihadithia siri kubwa sana. Kumbe baba...

 

9 years ago

Vijimambo

Kheri ya siku ya kuzaliwa kaka yangu kipenzi Noah Manongi!



                     Soma zaidi

 

9 years ago

Bongo5

Video: Davido aongelea sakata la BBA na alivyowakera WaTZ, ‘nilieleweka vibaya, Diamond ni kaka yangu angenitetea’

diamond-na-davido-wakicheza-kwa-madaha

Kwa mara ya kwanza na kwa urefu zaidi, Davido amelizungumzia sakata lilitotokea December mwaka jana la ushindi wa Idris Sultan kwenye Big Brother Africa na jinsi tweet yake ilivyowakera Watanzania.

Akiongea kwenye The Sporah Show, Davido alisema tweet ile hakuandika kuwalenga Watanzania bali kampuni ya Multi-Choice inayoanda shindano hilo ambayo pia ndio waandaaji wa tuzo za Channel O. Kabla ya hapo Davido alikuwa ametajwa kuwania tuzo tano lakini alikosa zote. Diamond alishinda tatu.

“Na...

 

10 years ago

Bongo5

Ray C: Pole kaka yangu Chidi Benz, naumia kuona tatizo ulilokuwa nalo bado haujalitafutia jibu

Baada ya Chidi Benz kukamatwa na dawa za kulevya kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini dar es salaam October 24 akielekea Mbeya (Ingia hapa), Rehema Chalamila wa taasisi ya Ray C Foundation amempa pole na kumwandikia ujumbe rapper huyo wa kutaka kumsaidia aachane na matumizi ya dawa hizo. Kupitia Instagram leo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani