Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchumba wangu anatoka na rafiki yangu

Shangazi ukweli nashindwa hata pa kuanzia. Ni hivi. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mchumba wangu, kumbe wa kaka yangu!

Huu ni mwaka wa pili tangu niwe na uhusiano na binti mmoja, wiki hii alikuja kaka yangu anayeishi Morogoro kunitembelea, akanionyesha picha za mchumba wake, ambaye ni huyu binti.

 

10 years ago

GPL

MUME WANGU SIKUMUIBA KWA RAFIKI YANGU- VANITHA

Wiki hii kupitia safu hii tunaye staa wa filamu za Kibongo Vanitha Omary. Amebanwa maswali mengi na mwandishi wetu Hamida Hassan lakini kutokana na jina la kolamu hii, tunakuletea maswali 10 ‘hot’ aliyoulizwa na yeye kutoa ushirikiano katika kuyajibu licha ya kwamba aliachwa kijasho chembamba kikimtoka. Staa wa filamu za Kibongo Vanitha Omary. Ijumaa: Kuna hizi tetesi kwamba huyu mume wako wa sasa alikuwa ni mpenzi...

 

10 years ago

Vijimambo

Nampenda sana boyfriend wa rafiki yangu.


MSAIDIENI HUYU MSICHANA:Pole na kazi Mpekuzi, Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 22, nina rafiki yangu ambaye nimesoma naye na ni kama ndugu yangu wa damu kutokana na tulivyo na watu wote wanajua kwamba mimi ni yeye na yeye ni mimi.Rafiki yangu huyu nimesoma naye kuanzia O-leve, mpaka advance na sasa tupo wote chuo hapa dar es salaam, kwa kifupu ni urafiki wa damu.
Mwaka jana katikati rafiki yangu huyu alinitambulisha kwa boyfriend wake ambaye ni kaka anayesoma chuo kingine ambacho hakiko...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwaheri rafiki yangu Christopher Mtikila

NILIANZA kuwa mwandishi wa habari miaka 13 iliyopita na bado nakumbuka wanasiasa wawili wa mwanzo

Ezekiel Kamwaga

 

9 years ago

Mwananchi

Kifusi cha mchanga kilivyonitenganisha na mchumba wangu

Wahenga walisema “hujafa, hujaumbika”. Huu ni msemo wa Kiswahili ambao unafahamika kwa watu wengi, lakini maana yake halisi hujitokeza pale unapokutana na mtu aliyepatwa na tukio baya lililobadilisha kabisa maisha yake.

 

10 years ago

Bongo5

Amber Rose amlilia Wiz Khalifa, ‘Maumivu niliyonayo ni kama rafiki yangu mpendwa amefariki

Amber Rose ameendelea kuelezea hisia zake kwenye Twitter tangu aachane Wiz Khalifa. Mrembo huyo ambaye jina lake halisi ni Amber Levonchuk, aliomba talaka kwa mumewe huyo mwezi uliopita. Jumatatu hii alitumia Twitter kwa mara nyingine kuelezea jinsi anavyoumia. “The mornings are especially hard,” Rose alitweet. “The pain…I wake up every morning feeling like my best […]

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wako wapi watoto wangu, familia yangu?’

>Ama kweli ajali haichagui maskini wala tajiri.  Inasikitisha kwani ni mwanamke asiye na uwezo anayeishi kufanya biashara ya kuuza ndizi anazotembeza barabarani.  Hata hivyo, hivi sasa maisha yake yamezidi kuwa magumu kwa kuwa hajui familia yake ilipo.

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: TBT Yangu Enzi Zamchipukio Wangu-Wolper

Haya jamani hii ni tbt yangu mwenyewe, nimejiweka mwenyewe, sitak tbt za uwongo za edtng sasa hii ni tbt yangu enzi zamchipukio wangu mwenyewe na unywele wangu nakale kamwili pale kati hips vip jamani Mungu bwana kumbe ukinyimwa tako hips unapewa ukinyiwa hips tako unapewa ukinyimwa guu, rangi yamtume ambayo aina 360 unapewa. haya jacq wolper masawe na hips zake, mdoli wake na visindano vyake pale kati ingawa paka leo vpo vile vile kasoro ubonge tuu. anawambia hellow fansii i love instagram...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi: ‘Je, Familia yangu itamkubali mpenzi wangu mweusi?’

Mapenzi kati ya watu weusi na watu wa asili ya Asia yapo lakini mara zote yanakutana na vipingamizi vingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani