AY ndiye aliyefanikisha collabo yangu na Davido na kuniunganisha na Godfather — Diamond
AY amefungua njia ya mafanikio kwa wasanii wengi wa Tanzania. Miongoni mwa watu walionufaika na mashavu yake ni Diamond. Katika ujumbe wake wa kumpongeza AY kwenye siku yake ya kuzaliwa Jumapili hii, Diamond amedai kuwa AY ndiye aliyemuunganisha na Davido hadi wakafanya remix ya wimbo wake ‘Number One’ uliobadilisha maisha yake. “Misingi na Daraja Imara […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo523 Dec
Video: Davido aongelea sakata la BBA na alivyowakera WaTZ, ‘nilieleweka vibaya, Diamond ni kaka yangu angenitetea’

Kwa mara ya kwanza na kwa urefu zaidi, Davido amelizungumzia sakata lilitotokea December mwaka jana la ushindi wa Idris Sultan kwenye Big Brother Africa na jinsi tweet yake ilivyowakera Watanzania.
Akiongea kwenye The Sporah Show, Davido alisema tweet ile hakuandika kuwalenga Watanzania bali kampuni ya Multi-Choice inayoanda shindano hilo ambayo pia ndio waandaaji wa tuzo za Channel O. Kabla ya hapo Davido alikuwa ametajwa kuwania tuzo tano lakini alikosa zote. Diamond alishinda tatu.
“Na...
11 years ago
Bongo501 Nov
Shaa asema amefanya Collabo na Redsan baada ya kugundua ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya, AY ndiye aliyewaunganisha
10 years ago
Vijimambo22 Jul
Davido AKUBALI KUFANYA collabo na Ali Kiba

10 years ago
Bongo519 Sep
Davido atangaza ujio wa collabo yake na Joh Makini
10 years ago
Bongo525 Feb
Davido asema hatafanya collabo na msanii yeyote mwaka huu
11 years ago
Bongo521 Jul
Davido azungumzia collabo yake na Rick Ross na Meek Mill
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
Bongo503 Sep
Collabo ya Mwana FA na Alikiba ‘Kiboko Yangu’ yanukia
10 years ago
Bongo512 Jun
Godfather kuongoza video ya Yamoto Band, Diamond aigharamia