Davido AKUBALI KUFANYA collabo na Ali Kiba
Davido asema Tanzania ni nchi ya pili kuichukulia kama nyumbani ndio maana alipost bendera ya Tanzania hivi karibuni.Davido ambaye ameshinda tuzo ya msanii bora wa kiume kwenye Mtv Afrika Music Awards amemtaja Ali Kiba kama msanii anayefata kwenye orodha ya wasanii atakao fanya nao kazi Tanzania.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/jCLoXFxId_E/default.jpg)
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Ali Kiba: ‘collabo’ zitatuvusha kimataifa
NA MWANDISHI WETU
MWANAMUZIKI nguli wa miondoko ya Bongo Fleva, Ali Kiba, amesema moja ya mafanikio anayojivunia katika kazi ya muziki kwa mwaka huu ni ushiriki wake katika onyesho la Coke Studio msimu wa tatu.
Kiba, ambaye amefanya kolabo kwa kushirikiana na mwanamuziki wa kike anayetamba nchini Kenya, Victoria Kimani, alisema anajivunia kuwa miongoni mwa wanamuziki wanaoshiriki maonyesho hayo.
Alisema kuwa ushiriki wake huo umemwezesha kuongeza rekodi yake katika anga la kimataifa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mx5pdwt4pj5NzxL*YcDD3-6mdTyYmfSJ0bEt7BlJYt4kMHmB*MsB9-1z93bmYbhTxLSGKeZWIdqwT-J3Gh6Y6Mx/HorploadWorks_Davido.gif?width=650)
DAVIDO KUIMBA WIMBO NA ALI KIBA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fZglHBhW5-I/VELu37-OQ0I/AAAAAAAGryM/V0FK8o-21u0/s72-c/6.jpg)
TAMASHA LA FIESTA LAFANA, DAVIDO, ALI KIBA, DIAMOND WAZUA GUMZO, T.I. AWAKUNA WABONGO
![](http://2.bp.blogspot.com/-fZglHBhW5-I/VELu37-OQ0I/AAAAAAAGryM/V0FK8o-21u0/s1600/6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fkAwaFFcJvo/VELao1nKoyI/AAAAAAAGrmc/t3XeGR7ltsI/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P7UBsROkIe0/VELaozadrOI/AAAAAAAGrmk/t01SufBBi28/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4KkGulqdNjg/VENg8LBcggI/AAAAAAAGr1s/HYyIz_OmIvE/s1600/6.jpg)
10 years ago
GPL19 Oct
TAMASHA LA FIESTA 2014: DAVIDO, ALI KIBA, DIAMOND NA T.1 WAZUA GUMZO KWA MASHABIKI
9 years ago
Dewji Blog11 Oct
Diamond Platnumz anyakua ‘3’ tuzo za AFRIMMA 2015, awaacha kwenye mataa Ali Kiba, Davido!
Tayari ‘Icon’ wa Tanzania Diamond Platnum ‘Dangote wa Bongo’ ameweza kuibuka na ushindi wa tuzo tatu katika usiku wa utoaji wa tuzo Africa Muzik Magazine Award ‘AFRIMMA 2015’. Marekani katika mji wa Texas.
(Pichani ni baada ya ushindi huo, Diamond aliweza kuweka picha yake hiyo kupitia mitandao yake yote ya kijamii na kuandika: I realy don’t know What to say …dha! hata sijui nizungumze nini…
(Eeh Mungu baba tunakushkuru sana kwa kuzidi kuunyanyua na kuupa Thamani mziki wetu wa Afrika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fkAwaFFcJvo/VELao1nKoyI/AAAAAAAGrmc/t3XeGR7ltsI/s72-c/1.jpg)
TAMASHA LA FIESTA LAFANA,DAVIDO,ALI KIBA,DIAMOND WAZUA GUMZO KWA MASHABIKI,T.I AWAKUNA WABONGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-fkAwaFFcJvo/VELao1nKoyI/AAAAAAAGrmc/t3XeGR7ltsI/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P7UBsROkIe0/VELaozadrOI/AAAAAAAGrmk/t01SufBBi28/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4KkGulqdNjg/VENg8LBcggI/AAAAAAAGr1s/HYyIz_OmIvE/s1600/6.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10