Davido asema hatafanya collabo na msanii yeyote mwaka huu
Davido ameweka wazi kuwa mwaka huu hatafanya collabo na msanii yeyote awe anayechipukia au A-List. Meneja wa staa huyo Kamal Ajiboye, amesema kuwa Davido amekuwa akipokea maombi mengi ya wasanii wakubwa na wadogo wakitaka kufanya naye collabo tokea mwaka huu umeanza na zote amezikata. Kamal ameongeza kuwa Davido hataki kufanya collabo yoyote ili kuweka nguvu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Dec
Diamond asipotoa collabo yake na Ne-Yo mwaka huu Je ‘Utampenda’?
![diamond ema](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/diamond-ema-300x194.jpg)
Mashabiki wa Diamond Platnumz wanasubiri kwa hamu atoe wimbo wa kufungia mwaka, na matarajio ya wengi ni kuisikia collabo yake na staa wa Marekani Ne-Yo, lakini swali ni je ikitokea amebadili mawazo ya kuitoa mwaka huu collabo hiyo bado ‘Utampenda’?
Majibu ya swali hilo yatajulikana ijumaa hii Dec.11 ambapo platnumz anatarajia kuachia wimbo mpya uitwao ‘Utanipenda?’. Hii inamaanisha kwamba mashabiki wenye kiu ya kuisikia collabo ya Ne-Yo watalazimika kuendelea kuvuta subira.
Good News to My...
10 years ago
Bongo501 Nov
Shaa asema amefanya Collabo na Redsan baada ya kugundua ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya, AY ndiye aliyewaunganisha
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-HYB6gBy9PWY/XvSG3I_QtFI/AAAAAAAC8X4/S4HJNl5_00kL1AekunFU9Jf8bOL5AV7KwCLcBGAsYHQ/s72-c/MUFTI-MKUU.jpg)
MUFTI MKUU TANZANIA ASEMA HAKUTOKUWA NA HIJJA MWAKA HUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-HYB6gBy9PWY/XvSG3I_QtFI/AAAAAAAC8X4/S4HJNl5_00kL1AekunFU9Jf8bOL5AV7KwCLcBGAsYHQ/s400/MUFTI-MKUU.jpg)
Abubakar Zubeir bin Ally ameyasema hayo leo Juni 25, 2020 wakati akiongea na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa janga la Corona ndio limesababisha na haitakuwa kwa Tanzania pekee tu bali kwa Dunia nzima isipokuwa...
9 years ago
Dewji Blog18 Aug
Mwenyekiti wa UVCCM Singida, asema watoa rushwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu, wasichaguliwe
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Singida, Martin Lissu akizungumza kwenye mkutano mkuu wa Uchaguzi wa UVCCM Wilaya ya Singida Mjini juzi, Lissu alikemea vitendo vya rushwa ndani ya CCM.
Martin Lissu Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Singida.
Katibu wa UVCCM, Wilaya ya Singida Mjini, Pamfil James akisoma taarifa ya chama kwa wajumbe wa mkutano mkuu huo.
Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Singida wakiwa wanasubiri matokeo ya uchaguzi huo.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa UVCCM Wilaya ya...
10 years ago
Vijimambo22 Jul
Davido AKUBALI KUFANYA collabo na Ali Kiba
![](http://i1.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/07/davidooo1.jpg?resize=497%2C344)
9 years ago
Bongo519 Sep
Davido atangaza ujio wa collabo yake na Joh Makini
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/jCLoXFxId_E/default.jpg)
10 years ago
Bongo505 Jul
AY ndiye aliyefanikisha collabo yangu na Davido na kuniunganisha na Godfather — Diamond