Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond asipotoa collabo yake na Ne-Yo mwaka huu Je ‘Utampenda’?

diamond ema

Mashabiki wa Diamond Platnumz wanasubiri kwa hamu atoe wimbo wa kufungia mwaka, na matarajio ya wengi ni kuisikia collabo yake na staa wa Marekani Ne-Yo, lakini swali ni je ikitokea amebadili mawazo ya kuitoa mwaka huu collabo hiyo bado ‘Utampenda’?

diamond ema

Majibu ya swali hilo yatajulikana ijumaa hii Dec.11 ambapo platnumz anatarajia kuachia wimbo mpya uitwao ‘Utanipenda?’. Hii inamaanisha kwamba mashabiki wenye kiu ya kuisikia collabo ya Ne-Yo watalazimika kuendelea kuvuta subira.

Good News to My...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Davido asema hatafanya collabo na msanii yeyote mwaka huu

Davido ameweka wazi kuwa mwaka huu hatafanya collabo na msanii yeyote awe anayechipukia au A-List. Meneja wa staa huyo Kamal Ajiboye, amesema kuwa Davido amekuwa akipokea maombi mengi ya wasanii wakubwa na wadogo wakitaka kufanya naye collabo tokea mwaka huu umeanza na zote amezikata. Kamal ameongeza kuwa Davido hataki kufanya collabo yoyote ili kuweka nguvu […]

 

10 years ago

GPL

DIAMOND ATWAA TUZO YA COLLABO BORA YA MWAKA AUSTRALIA

Tuzo waliyopata Dezert Eagle na Diamond Platnumz. Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'. STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo nyingine ya Afro-Australia Music and Movie Awards (AAMMA) 2014 kutoka Australia ya Collabo Bora ya Mwaka kupitia nyimbo aliyoshirikishwa na Desert Eagle iitwayo Everyday. Kupitia akaunti…

 

10 years ago

Bongo5

Diamond kuachia nyimbo 4 mfululizo kabla ya March, ikiwemo collabo yake na Fally Ipupa

Mwaka jana mwishoni (2014) baada ya Diamond kukutana na wasanii wakubwa wa Afrika wakiwemo Fally Ipupa na P-Square nchini Nigeria, alisema “nikikutana na 18 huwa naachia bonge la shuti mpaka nishinde” na kauli yake imetimia. Staa huyo wa ‘Ntampata Wapi’ amefanikiwa kufanya collabo na staa wa DRC, Fally Ipupa ambayo ni miongoni mwa nyimbo nne […]

 

10 years ago

GPL

DIAMOND: TAYARI NIMEMVALISHA PETE YA UCHUMBA ZARI, KUINGIA KATIKA NDOA MWAKA HUU

Diamond na mpenzi wake Zari katika Exclusive One on One Interview ya Power Breakfast ya Clouds FM na 360 ya Clouds TV. STAA wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amefunguka kuwa tayari amemvalisha pete ya uchumba mpenzi wake Zarinah Hassan 'Zari' na anatarajia kupata mtoto wa kike mwaka huu. Diamond ameyaongea hayo hivi punde katika Exclusive One on One Interview ya Power Breakfast ya Clouds FM na 360 ya Clouds...

 

10 years ago

Bongo Movies

Faiza Aelezea Magumu Aliyopitia Mwaka Huu,Likiwemo Swala la Ndoa Yake Kuota Mbawa

Mwigizaji wa filamu, Faiza Ally ambae ni mama wa mtoto mmoja aliezaa na Mh.Joseph Mbilinyi “Sugu” ameelezea ni kwajinsi gani mwakuu mabao yalivyo muendea vijabaya ikiwemo kupeperuka kwa ndoa yao, lakini sasa anajipanga kuanza vyema mwakani.

Wakati  huu mwaka unaanza, nakumbuka nilikua Mbeya mwezi January ilikua ni baada ya kumbatiza Sasha wakatti wa Christmas,wakati huo nilikua na matumaini makubwa sana pia tulikua tumepanga ndoa yetu iwe mwezi wa tano na ni kwa sababu ni siku ya kuzaliwa...

 

9 years ago

Bongo5

Diamond: Nyimbo na Video ninazoenda kuachia mwaka huu zitakuwa ni historia hadi siku ntapozikwa!

Diamond ni miongoni mwa wasanii ambao waliahidi kuachia kazi mpya baada ya uchaguzi, na kati ya kazi alizofanya, inayosubiriwa kwa hamu zaidi ni wimbo aliomshirikisha staa wa RnB kutoka Marekani, Ne-Yo.

diamond p

Mpaka sasa bado haijafahamika ni wimbo/nyimbo gani atakazotangulia kuachia, kutokana na style yake ya kufanya vitu kimya kimya mpaka dakika za mwisho akiwa na kila kitu mkononi ndio huwa anaanza kutoa ishara.

Platnumz jana (Nov.9) aliandika post ambayo ni kama ishara ya kuwaandaa mashabiki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani