Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Davido azungumzia collabo yake na Rick Ross na Meek Mill

Idadi ya collabo za wasanii wa Afrika, hasa Nigeria na mastaa wakubwa wa Marekani zinazidi kuongezeka. Baada ya Wizkid kuthibitisha kufanya collabo na Chris Brown na Rihanna, P-Square na T.I, sasa mshindi wa tuzo 2 za MTV (MAMA) na BET 2014, Davido nae amefunguka kuhusu collabo yake inayokuja na marapper wakubwa wa Marekani. Davido ameuambia […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Video: Davido Ft Meek Mill — Fans Mi

Davido kutoka Nigeria ameachia video yake mpya ambayo amemshirikisha rapper Meek Mill kutoka Maybach Music Related Tags:

 

10 years ago

Africanjam.Com

9 years ago

Bongo5

Meek Mill kukosa shavu la kuigiza filamu ya Will Smith kutokana na kesi yake

Meek-Mill

Rapper Meek Mill atashindwa kuigiza uhusika wake katika filamu ya Will Smith kutokana na hivi karibuni kupatikana na hatia ya kukiuka masharti ya muda wa matazamio aliopewa na mahakama kufuatia kesi ya miaka 15 iliyopita ya kumiliki silaha na madawa ya kulevya.

Meek-Mill

Rapper huyo wa Philadelphia, anatarajiwa kusomewa hukumu yake February 5.

Kwa mujibu wa mtandao wa Page Six, Meek Mill alikuwa amepanga kusafiri kwenda Hollywood November kujadili uwezekano wa kuigiza kwenye filamu iitwayo ’12...

 

9 years ago

Bongo5

50 Cent amshtaki Rick Ross kwa kutumia beat ya ‘In Da Club’ kwenye mixtape yake

rick-ross-and-50-cent

50 Cent anamshtaki Rick Ross akitaka alipwe dola milioni 2 kwa kuitumia beat ya wimbo wake wa kitambo, ‘In Da Club.’

rick-ross-and-50-cent

50 Cent anadai kuwa Rick Ross ametumia wimbo huo bila ruhusa yake ili kuipa kiki albamu yake Black Market.

Mashtaka hayo yamekuja miezi kadhaa baada ya 50 naye kutakiwa kulipa dola milioni 5 kwa Lastonia Leviston baada ya kupost sex tape yake. Leviston ana mtoto na Rick Ross.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata...

 

9 years ago

Bongo5

Davido atangaza ujio wa collabo yake na Joh Makini

Hakuna surprise nzuri kama ile ambayo hukuwahi kuona hata dalili, na kwenye muziki hasa kwa msanii wa Bongo hakuna kitu kizuri kama msanii mkubwa wa nje kuanza kutease ujio wa kazi yenu hata kabla yako. Ndicho kilichotokea usiku wa Sept 18 pale staa wa Nigeria, Davido alipotweet kuwa kuna collabo yake na Joh Makini inakuja. […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: Meek Mill — ‘Preach (Remix)’

Meek Mill has officially moved on from his beef with Drake. The MMG rapper resurfaces with a freestyle to Young Dolph’s “Preach”. Over the Zaytoven-produced beat, Meek—who’s currently in Dubai with Nicki Minaj—counts his money and calls out the “sheisty bitches,” but makes no reference to Drizzy. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani