Meek Mill kukosa shavu la kuigiza filamu ya Will Smith kutokana na kesi yake
Rapper Meek Mill atashindwa kuigiza uhusika wake katika filamu ya Will Smith kutokana na hivi karibuni kupatikana na hatia ya kukiuka masharti ya muda wa matazamio aliopewa na mahakama kufuatia kesi ya miaka 15 iliyopita ya kumiliki silaha na madawa ya kulevya.
Rapper huyo wa Philadelphia, anatarajiwa kusomewa hukumu yake February 5.
Kwa mujibu wa mtandao wa Page Six, Meek Mill alikuwa amepanga kusafiri kwenda Hollywood November kujadili uwezekano wa kuigiza kwenye filamu iitwayo ’12...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo521 Jul
Davido azungumzia collabo yake na Rick Ross na Meek Mill
9 years ago
Bongo509 Oct
Mdogo wa kiume wa Lupita Nyong’o, Peter Nyong’o apata shavu la kwanza la kuigiza filamu ya Hollywood
10 years ago
CloudsFM23 Jan
SHAMSA FORD:FILAMU YA ‘I HATE MY WIFE’ ILIKUWA NI NGUMU SANA KWANGU KUIGIZA,KWA SABABU YA KUIGIZA KICHAWI.
Msanii wa filamu za Kibongo,Shemsa Ford amefunguka kati ya filamu iliyompa wakati mgumu wakiwa ‘’location’ ni filamu ya I hate my wife kwani aliigiza kama mke mchawi anayemroga mumewe.
’Yaani kati ya filamu iliyonipa wakati mgumu kuigiza ni wakati naigiza filamu ya I hate my wife kutokana na kuigiza kama mchawi mshabiki walijua kuwa ndiyo tabia yangu lakini pia kuvaa uhusika wa kiuchawi ni ngumu sana’’alisema Shemsa Ford.
10 years ago
Bongo509 Jun
New Video: Davido Ft Meek Mill — Fans Mi
9 years ago
Bongo510 Dec
Meek Mill kurudi tena jela?
![Meek-Mill](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Meek-Mill-300x194.jpg)
Huenda furaha ya Meek Mill kumchumbia mpenzi wake Nicki Minaj ikaingia dosari Jumanne ijayo atakapopanda kizimbani huko Philadelphia.
Mtandao wa Page Six umedai kuwa Mill atapanda kizimbani kwenye kesi kuhusu masharti ya kusafiri.
Chanzo kimeiambia Page Six kuwa akilemaa anaweza kurudi tena jela.
Mwaka jana msanii huyo alilazimika kusitisha show zake baada ya kuhukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kukiuka masharti ya probation.
Awali Mill alipewa probation ya miaka mitano mwaka 2009...
9 years ago
Bongo505 Sep
Music: Meek Mill — ‘Preach (Remix)’
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-5SLYQMORvjQ/VXcJy4Dzz0I/AAAAAAAAB_g/AEbXxl-7-mY/s72-c/Davido-Fans-Mi-featuring-Meek-Mill-620x350.jpg)
10 years ago
GPL09 Jun
9 years ago
Bongo510 Dec
Picha: Meek Mill amchumbia Nicki Minaj
![12276932_1722929857930146_52455195_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12276932_1722929857930146_52455195_n-300x194.jpg)
“Ntalalalala..you may now kiss the bride! Huenda muda si mrefu Meek Mill na Nicki Minaj wakawa wanachama wapya wa ndoa.
Nicki Minaj akionesha pete aliyovishwa na Meek Mill
Picha za Instagram za Nicki Minaj zinaonesha kuwa rapper huyo amechumbiwa na mpenzi wake, Meek.
“Now this is what I’m talking about baby. Lol. Love u @meekmill,” ameandika Nicki kwenye picha ya mkono wake unaonesha pete ya uchumba kwenye kidole chake cha chanda.
“This stone is flawless. (My voice) lol,” ameandika kwenye...