Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHAMSA FORD:FILAMU YA ‘I HATE MY WIFE’ ILIKUWA NI NGUMU SANA KWANGU KUIGIZA,KWA SABABU YA KUIGIZA KICHAWI.

Msanii wa filamu za Kibongo,Shemsa Ford amefunguka kati ya filamu iliyompa wakati mgumu wakiwa ‘’location’ ni filamu ya I hate my wife kwani aliigiza kama mke mchawi anayemroga mumewe.’Yaani kati ya filamu iliyonipa wakati mgumu kuigiza ni wakati naigiza filamu ya I hate my wife kutokana na kuigiza kama mchawi mshabiki walijua kuwa ndiyo tabia yangu lakini pia kuvaa uhusika wa kiuchawi ni ngumu sana’’alisema Shemsa Ford.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Neema wa 20%: Sijawahi Kuigiza Filamu za Kikubwa

MWIGIZAJI wa kike mwenye hisia katika filamu za majonzi Asfa Omary ‘Neema wa 20%’ amefunguka kwa kusema kuwa toka aanze kuigiza alikuwa hajawahi kuigiza filamu akivaa uhusika kama mtu mzima bali ni mtoto tu, lakini kwa mara ya kwanza ameigiza kama mama mjamzito.

“Nimeigiza filamu nyingi sana lakini hata siku moja nilikuwasijawahi kabisa kuigiza filamu za kiutu uzima nikiwa kama mama mjamzito au mama wa familia, lakini kwa mara ya kwanza katika filamu ya Huba nimeigiza hivyo ilikuwa kazi...

 

9 years ago

Bongo Movies

Sijawahi Kuigiza Filamu za Kikubwa- Neema 20%

MWIGIZAJI wa kike mwenye hisia katika filamu za majonzi Asfa Omary ‘Neema wa 20%’ amefunguka kwa kusema kuwa toka aanze kuigiza alikuwa hajawahi kuigiza filamu akivaa uhusika kama mtu mzima bali ni mtoto tu, lakini kwa mara ya kwanza ameigiza kama mama mjamzito.

“Nimeigiza filamu nyingi sana lakini hata siku moja nilikuwasijawahi kabisa kuigiza filamu za kiutu uzima nikiwa kama mama mjamzito au mama wa familia, lakini kwa mara ya kwanza katika filamu ya Huba nimeigiza hivyo ilikuwa kazi...

 

11 years ago

GPL

HEMEDY AALIKWA ZAMBIA KUIGIZA FILAMU

Hemedy Suleiman'PHD'.…

 

9 years ago

Bongo5

Rihanna kuigiza kwenye filamu mpya ‘Valerian’

Director atakayeiongoza filamu mpya iitwayo ‘Valerian’, Luc Besson ametangaza rasmi kuwa mwimbaji maarufu Rihanna ataigiza kwenye filamu hiyo na atakuwa na nafasi kubwa. Kupitia Instagram Luc aliandika, “RIHANNA is in VALERIAN!!!!! ….and she has a big part!! I’m Sooo excited!!!”. Filamu hiyo ambayo itakuwa na bajeti kubwa itaanza kushootiwa mwezi January, 2016 huko Ufaransa, huku […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Rihanna akubali kuigiza katika filamu mpya

Mwelekezi wa filamu kutoka Ufaransa Luc Besson amefichua kwamba mwanamuziki mashuhuri duniani Rihanna ataigiza kwenye filamu yake ijayo.

 

10 years ago

Bongo Movies

Jb: Mzee wa Swaga Ndio Movie Yangu Ninayoipenda Sana Tangu Niaze Kuigiza

Mwigizaji  na muongozaji wa fiamu hapa Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ ameitaja filamu ya Mzee wa Swaga kua ndio bora zaidi kati ya filamu zake zote tangu aanze kuigiza.

“Kosa la defence ...ni goli....nafasi ya 1.ndugu zangu. Tangu nianze kuigiza hii movie naipenda sanaaa....”-JB aliandika.

Wakati  ya filamu ya Mzee wa Swaga ambayo imetoka mwanzoni mwa mwaka huu akiitaja kuwa namba moja, namba mbili ilikwenda kwa  filamu yake  ya 14 Days, tatu,  Senior Bachelor , nne, DJ Ben,  huku tano akiitaja...

 

9 years ago

Bongo5

Meek Mill kukosa shavu la kuigiza filamu ya Will Smith kutokana na kesi yake

Meek-Mill

Rapper Meek Mill atashindwa kuigiza uhusika wake katika filamu ya Will Smith kutokana na hivi karibuni kupatikana na hatia ya kukiuka masharti ya muda wa matazamio aliopewa na mahakama kufuatia kesi ya miaka 15 iliyopita ya kumiliki silaha na madawa ya kulevya.

Meek-Mill

Rapper huyo wa Philadelphia, anatarajiwa kusomewa hukumu yake February 5.

Kwa mujibu wa mtandao wa Page Six, Meek Mill alikuwa amepanga kusafiri kwenda Hollywood November kujadili uwezekano wa kuigiza kwenye filamu iitwayo ’12...

 

9 years ago

Bongo5

Shamsa Ford kuja na kampuni yake ya filamu

Shamsa Ford amesema anatarajia kufungua kampuni yake ya filamu baada ya kumaliza mkataba wake na kampuni ya Jerusalem Films ya Jacob ‘JB’ Stephen. Muigizaji huyo ameiambia Bongo5 jana kuwa kwa sasa anaweza kusimama yeye kama yeye akiwa na kampuni yake ya kuzalisha filamu. “Kwanza kabla sijamaliza mkataba na Jerusalem Films kuna filamu mpya inatoka inaitwa […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford ndani ya burundi : Aalikwa kufanya filamu na wasanii wa huko

Mwanadada anayefanya vizuri kwenye filamu nchini Shamsha Ford a.k.a mama Ney wa mitego ameendelea kuiwakilisha vyema tasnia ya filamu nchini baada ya kualikwa nchini Burundi na wasanii wakubwa wa filamu nchini humo kwa ajili ya kufanya filamu pamoja nao.

Shamsa amesema kuwa filamu hiyo itawahusisha wasanii tofauti kutoka Rwanda,Burundi,Uganda Tanzania, na amewaomba watanzania wamuombee heri ili afanye vizuri kwenye filamu hiyo.

Hapo jana mwanadada Shamsa alipata nafasi ya kuongea na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani