SHAMSA FORD:FILAMU YA ‘I HATE MY WIFE’ ILIKUWA NI NGUMU SANA KWANGU KUIGIZA,KWA SABABU YA KUIGIZA KICHAWI.
Msanii wa filamu za Kibongo,Shemsa Ford amefunguka kati ya filamu iliyompa wakati mgumu wakiwa ‘’location’ ni filamu ya I hate my wife kwani aliigiza kama mke mchawi anayemroga mumewe.’Yaani kati ya filamu iliyonipa wakati mgumu kuigiza ni wakati naigiza filamu ya I hate my wife kutokana na kuigiza kama mchawi mshabiki walijua kuwa ndiyo tabia yangu lakini pia kuvaa uhusika wa kiuchawi ni ngumu sana’’alisema Shemsa Ford.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies08 Jun
Neema wa 20%: Sijawahi Kuigiza Filamu za Kikubwa
MWIGIZAJI wa kike mwenye hisia katika filamu za majonzi Asfa Omary ‘Neema wa 20%’ amefunguka kwa kusema kuwa toka aanze kuigiza alikuwa hajawahi kuigiza filamu akivaa uhusika kama mtu mzima bali ni mtoto tu, lakini kwa mara ya kwanza ameigiza kama mama mjamzito.
“Nimeigiza filamu nyingi sana lakini hata siku moja nilikuwasijawahi kabisa kuigiza filamu za kiutu uzima nikiwa kama mama mjamzito au mama wa familia, lakini kwa mara ya kwanza katika filamu ya Huba nimeigiza hivyo ilikuwa kazi...
9 years ago
Bongo Movies16 Nov
Sijawahi Kuigiza Filamu za Kikubwa- Neema 20%
MWIGIZAJI wa kike mwenye hisia katika filamu za majonzi Asfa Omary ‘Neema wa 20%’ amefunguka kwa kusema kuwa toka aanze kuigiza alikuwa hajawahi kuigiza filamu akivaa uhusika kama mtu mzima bali ni mtoto tu, lakini kwa mara ya kwanza ameigiza kama mama mjamzito.
“Nimeigiza filamu nyingi sana lakini hata siku moja nilikuwasijawahi kabisa kuigiza filamu za kiutu uzima nikiwa kama mama mjamzito au mama wa familia, lakini kwa mara ya kwanza katika filamu ya Huba nimeigiza hivyo ilikuwa kazi...
11 years ago
GPL9 years ago
Bongo529 Oct
Rihanna kuigiza kwenye filamu mpya ‘Valerian’
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Rihanna akubali kuigiza katika filamu mpya
10 years ago
Bongo Movies23 Feb
Jb: Mzee wa Swaga Ndio Movie Yangu Ninayoipenda Sana Tangu Niaze Kuigiza
Mwigizaji na muongozaji wa fiamu hapa Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ ameitaja filamu ya Mzee wa Swaga kua ndio bora zaidi kati ya filamu zake zote tangu aanze kuigiza.
“Kosa la defence ...ni goli....nafasi ya 1.ndugu zangu. Tangu nianze kuigiza hii movie naipenda sanaaa....”-JB aliandika.
Wakati ya filamu ya Mzee wa Swaga ambayo imetoka mwanzoni mwa mwaka huu akiitaja kuwa namba moja, namba mbili ilikwenda kwa filamu yake ya 14 Days, tatu, Senior Bachelor , nne, DJ Ben, huku tano akiitaja...
9 years ago
Bongo522 Dec
Meek Mill kukosa shavu la kuigiza filamu ya Will Smith kutokana na kesi yake
Rapper Meek Mill atashindwa kuigiza uhusika wake katika filamu ya Will Smith kutokana na hivi karibuni kupatikana na hatia ya kukiuka masharti ya muda wa matazamio aliopewa na mahakama kufuatia kesi ya miaka 15 iliyopita ya kumiliki silaha na madawa ya kulevya.
Rapper huyo wa Philadelphia, anatarajiwa kusomewa hukumu yake February 5.
Kwa mujibu wa mtandao wa Page Six, Meek Mill alikuwa amepanga kusafiri kwenda Hollywood November kujadili uwezekano wa kuigiza kwenye filamu iitwayo ’12...
9 years ago
Bongo529 Oct
Shamsa Ford kuja na kampuni yake ya filamu
10 years ago
Bongo Movies27 Apr
Shamsa Ford ndani ya burundi : Aalikwa kufanya filamu na wasanii wa huko
Mwanadada anayefanya vizuri kwenye filamu nchini Shamsha Ford a.k.a mama Ney wa mitego ameendelea kuiwakilisha vyema tasnia ya filamu nchini baada ya kualikwa nchini Burundi na wasanii wakubwa wa filamu nchini humo kwa ajili ya kufanya filamu pamoja nao.
Shamsa amesema kuwa filamu hiyo itawahusisha wasanii tofauti kutoka Rwanda,Burundi,Uganda Tanzania, na amewaomba watanzania wamuombee heri ili afanye vizuri kwenye filamu hiyo.
Hapo jana mwanadada Shamsa alipata nafasi ya kuongea na...